Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

Friends of Lowasa na Chadema wamepata pigo sana..kete yao ya mwisho ya kufanyia kampeni 2020 nayo imepokwa..hapo Bado mtu wa Nairobi hospital hajaongea
ARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM (UVCCM) KWA VYOMBO VYA HABARI._______________Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana Agosti 29 kimezindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani JijiniDar es Salaam. Katika uzinduzi huo viongozi kadhaa wa Chama hicho walihudhuria, wakiwemo Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye, Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa yaUfisadi, Edward Lowassa pamoja na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Lawrance Masha ambao walihutubia mkutano huo wa ufunguzi.Ni jambo la kushangaza kumsikia mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CHADEMA, Edward Lowassa akihemewa na Kujikuta akishindwa kuikabili hadhira ya Watanzania wanaofikia milioni 45 kuwaelezea ana malengo gani ya urais, Chama chake kina dira na sera zipi za msingi, pia akizungumza bila kuonyesha mtiririko wa sera kupitia ilani ya Uchaguzi ya chama hicho.Mgombea wa CHADEMA Lowassa ni dhahiri ameshindwa uchaguzi mkuu mapema, amebakia akilalama, kupiga soga na kujenga matumaini hewa kwa Watanzania huku akishindwa kujua ni changamoto zipi za msingi zinazowakabili wananchi katika maisha ya kila siku.Lowassa akiwa anatetemeka jukwaani na kuongea kwa taabu amelizungumzia suala ambalo tayari mahakama ya rufaa imekwisha litolea hukumu. Suala hilo ni kesi ya Mwanamuziki Nguza Vicking na mwanawe Johnson Nguza waliohukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya ubakaji.Mahakama imedhibitisha kuwa Nguza Vicking maarufu kama "Babu Seya" na mwanaye Johnson Nguza maarufu kama "Papii Kocha" ni WABAKAJI, WANAJISI na WALAWITI. Na hivyo wamehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kutokana na tabia hizo chafu katika jamii.*_Lowassa anakuja na hadithi ya kuwaachia huru, kana kwamba anaona vyombo vya sheria vimewaonea na kuwakandamiza. Ifahamike katiya makosa ambayo yameainishwa katika sheriaza Tanzania, kosa la ubakaji halina msamaha. Mbakaji hawezi kupewa msamaha wa Rais. Msaidieni Lowassa maana anaonekana haijui sheria._**_Tangu nchi imepata uhuru, hakuna Rais aliyewahi kutoa msamaha kwa wabakaji, wala walawiti. Lowassa anaonekana kuchanganyikiwa. Ni dhahiri kwamba CHADEMA na mgombea wao Lowassa hawajajipanga kuongoza nchi. Hawana hoja za kuwasaidia watanzania, badala yake wanategemea siasa za matukio ili kujipatia kura. Tunaomba watanzania muwapuuze._*Imetolewa na:Shaka Hamdu Shaka,Kaimu Katibu Mkuu - UVCCM Taifa na Mjumbe wa NEC.30 August 2015.
 
'mungu' kashasamehe tumwachie Mungu atatufungulia mlango tuyajue yanayoendelea ndani huko.
Ikiwezekana hata kuvunja tutavunja
 
Shida ipi? Kusamehe? Amevunja katiba au sheria ipi?
Unasema hakuna shida mtoto/mama yako/dada yako/shangazi yako etc wako anatoa ushahidi kama huu chini halafu unamsamehe mbakaji/mfilaji


"The trial magistrate delt with this and concluded that it was not true and even if it was true, it did not matter. She said:

"Even if the first accused could not have full erection there being the slightest penetration was sufficient to prove rape as per law established. The victims proved that the first accused put his penis into their vaginas (sic) and anus and they sucked his penis. "

Watoto kumi hawawezi kudanganya/kurubuniwa wakaulizwa maswali wakaw athat much consistent!
 
Mahakama zipo huru?

Mahakama hata zikawa huru, uwezo wa jurists wetu mdogo mno. Kama hii ruling naipitia mara mbili mbili sioni Jaji Mihayo alipotaja what was the standard of review.
 
Rejea katiba ya JMWT ibara ya 45(1)(2).


Unasema hakuna shida mtoto/mama yako/dada yako/shangazi yako etc wako anatoa ushahidi kama huu chini halafu unamsamehe mbakaji/mfilaji


"The trial magistrate delt with this and concluded that it was not true and even if it was true, it did not matter. She said:

"Even if the first accused could not have full erection there being the slightest penetration was sufficient to prove rape as per law established. The victims proved that the first accused put his penis into their vaginas (sic) and anus and they sucked his penis. "

Watoto kumi hawawezi kudanganya/kurubuniwa wakaulizwa maswali wakaw athat much consistent!
 
Mahakama hata zikawa huru, uwezo wa jurists wetu mdogo mno. Kama hii ruling naipitia mara mbili mbili sioni Jaji Mihayo alipotaja what was the standard of review.
Never, Mihayo is one of the highly respected judge in the judiciary with regard to expertise in law when on the bench
 
Unasema hakuna shida mtoto/mama yako/dada yako/shangazi yako etc wako anatoa ushahidi kama huu chini halafu unamsamehe mbakaji/mfilaji


"The trial magistrate delt with this and concluded that it was not true and even if it was true, it did not matter. She said:

"Even if the first accused could not have full erection there being the slightest penetration was sufficient to prove rape as per law established. The victims proved that the first accused put his penis into their vaginas (sic) and anus and they sucked his penis. "

Watoto kumi hawawezi kudanganya/kurubuniwa wakaulizwa maswali wakaw athat much consistent!
Hoja hapa si kwamba wakisa seya walisingiziwa au lah.

Issue hapa ni kwamba katiba inampa raisi mamlaka yasiyo na kikomo..."kusamehe kosa lolote kwa mtu yoyote".

.
 
TATIZO KUBWA LA WATU NI KUDHANI KUWA JPM KATENGUA HUKUMU, HUKUMU IKO PALEPALE NA HISTORIA ITASEMA HIVYO HIVYO. RAIS ALICHOFANYA NI KUWASAMEHE WALIOKUWA WAMEHUKUMIWA, na kikubwa zaidi, katiba ndiyo imemruhusu.
 
Hoja hapa si kwamba wakisa seya walisingiziwa au lah.

Issue hapa ni kwamba katiba inampa raisi mamlaka yasiyo na kikomo..."kusamehe kosa lolote kwa mtu yoyote".

.
Sasa kama ni katiba, inakiwaje mnasema rais aombewe na washauri wake??
 
Friends of Lowasa na Chadema wamepata pigo sana..kete yao ya mwisho ya kufanyia kampeni 2020 nayo imepokwa..hapo Bado mtu wa Nairobi hospital hajaongea
Hiyo si hoja ya kuifanya Chadema ishindwe kufanya kampeni.
Mwambie Mr. Magufuli aturuhusu kufanya mikutano uone kama utabaki salama
 
Hoja hapa si kwamba wakisa seya walisingiziwa au lah.

Issue hapa ni kwamba katiba inampa raisi mamlaka yasiyo na kikomo..."kusamehe kosa lolote kwa mtu yoyote".

.
I guess you are not a lawyer, an academician and a lover of Rule of law, if you are then you are not rational. SOMA HII CHINI.


Release of Babu Seya: Is it Arbitrary use of power


Laws place constraints on a person’s arbitrary power to do as he or she wishes without consideration for the harm it could do to others.


The Rule of Law, in its most basic form, is the principle that no one is above the law. The principle is intended to be a safeguard against arbitrary governance, whether by a totalitarian leader or by mob rule. Thus, the rule of law is hostile both to dictatorship and to anarchy.


Rule of Law cannot exist without a transparent legal system, the main components of which are a clear set of laws that are freely and easily accessible to all, strong enforcement structures, and an independent judiciary to protect citizens against the arbitrary use of power by the state, individuals or any other organization.


The general principle under the law is that......

..... discretionary power is exercised so as to do justice to the case and must be exercised judiciously with due consideration of all the facts and circumstances…. (ingawa hapa ni Katiba katika babu seya case)


Is Babu Seya release an arbitrary use of power?
 
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi..sipati picha namna wazazi wa wale watoto walivyo jisikia hiyo jana

kusamehe ni ngumu sana ila vitabu vya dini vinatushauri tusamehe, nazani hata wao watasamehe
 
Tatizo la uzi huu ni kuwa Tunabishana mambo ya kisheria, rule of law, mgawanyo wa madaraka na "mama ntilie"!
 
Kuna shida gani. Haya tuletee hukumu za wale waliohukumiwa kunyongwa na wameachiwa tuone. Au umeshupalia hii ya Nguza kwa maslahi gani. Zwazwa style
 
Back
Top Bottom