Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha - Soma hukumu

Kuna shida gani. Haya tuletee hukumu za wale waliohukumiwa kunyongwa na wameachiwa tuone. Au umeshupalia hii ya Nguza kwa maslahi gani. Zwazwa style
Uzi huu ni wa professionals, law professionals , jurists, tatizo wengi mnaojadili ni "mama ntilie"
 
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi..sipati picha namna wazazi wa wale watoto walivyo jisikia hiyo jana


Mkuu hao wazazi wa watoto waliobakwa wapo kweli au geresha tu?
 
Ila mdogo wa Shonza aisee,so aje niwe naipiga ile dyudyu kuliko Yale ayafanyayo!!!!
Kwa sheria za SAUT Yani watakuwa wamekata jina mapema hana chuo tena
 
Kwani mipaka ya kikatiba na kisheria ya Rais kisamehe ni zipi? Hapa wanaochangia ni walewale kama mimi
 
Hoja hapa si kwamba wakisa seya walisingiziwa au lah.

Issue hapa ni kwamba katiba inampa raisi mamlaka yasiyo na kikomo..."kusamehe kosa lolote kwa mtu yoyote".

.
Nafikiri watu wanaona wivu kuona hawa wazee wamesamehewa kwa mtizamo wa kisiasa ila ukweli ni kwamba hao akina babu Seya ni wabakaji kwa mujibu wa hukumu ya kimahakama.
 
Mimi nashangaa watu wanabishana kwamba hawa watu wana hatia au hawana. Hivi mnajua maana ya kusamehe?. Kusamehe hakujalishi kama una hatia au hauna, msamaha ni msamaha tu.
 
I guess you are not a lawyer, an academician and a lover of Rule of law, if you are then you are not rational. SOMA HII CHINI.


Release of Babu Seya: Is it Arbitrary use of power


Laws place constraints on a person’s arbitrary power to do as he or she wishes without consideration for the harm it could do to others.


The Rule of Law, in its most basic form, is the principle that no one is above the law. The principle is intended to be a safeguard against arbitrary governance, whether by a totalitarian leader or by mob rule. Thus, the rule of law is hostile both to dictatorship and to anarchy.


Rule of Law cannot exist without a transparent legal system, the main components of which are a clear set of laws that are freely and easily accessible to all, strong enforcement structures, and an independent judiciary to protect citizens against the arbitrary use of power by the state, individuals or any other organization.


The general principle under the law is that......

..... discretionary power is exercised so as to do justice to the case and must be exercised judiciously with due consideration of all the facts and circumstances…. (ingawa hapa ni Katiba katika babu seya case)


Is Babu Seya release an arbitrary use of power?
Hujatoa hoja yoyote ya kisheria hapo. Ulicopy ni maoni ya kisomi tu ambayo kama ulivoonesha yakiwekwa kwenye kiingereza inaonekana kama kitu chenye mantiki sana.

Hoja iliyoko mezani ni uwezo wa raisi kusamehe bila kutoa sababu. Raisi ana mamlaka ya kikatiba kusamehe kosa lolote lile. Kusamehe hakumaanishi aliyesamehewa kaonewa hapana. Mtu aliyeonewa hasamehewi anaachiwa huru kwa kuwa ameonewa.

Sasa katika swala hili....mahakama ya rufani iliwaona wanahatia kama walivotiwa hatiani wengine na ikatoa hukumu yake stahiki. Alichofanya raisi si kutengua hukumu ya mahakama...bali kusamehe.

That is it.
 
Never, Mihayo is one of the highly respected judge in the judiciary with regard to expertise in law when on the bench

respected by who

you can't write a ruling on appeal without stating the standard of review
 
hakika limetimia
ooh thanks for reminding me about this insight observations Seven years ago ....

infact hii yote ni uwezo wa kufanya calculations based on chain and sequence of events [Chronological studies ]...., kama mnajuwa hata kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa Sequence and Series .... hata in really life kwenye any intelligent approach lazima kufanya chronological assumptions na hii ndio inawezesha basing on factors utakuta kuna mambo mengi humu ndani watu tulisema na yanakuwa ....

Mfano kuna post moja humu ndani ten years ago, wakati Magufuli anahamishwa kwenda kuwa waziri wa ardhi au mifugo ...nilisema kuna muelekeo mkubwa kuwa ana ndoto za URAIS ...na atakuwa ..
Tofauti ya Magufuli na wagombea wengine kama ambavyo hata yeye anasema ni kuwa ...nafikiri alikuwa mbio zake anakimbiza mwizi taratibu saana , wakati wenzake walikuwa wanakimbia kwa fujo na makelele .
Magufuli aliujenga vizuri Mtandao wa TANROAD na kuutumia vizuri sana na kwa siri kubwa pengine akijua yeye mwenyewe malengo yake . Hakuna mtaka nia aliyemuona tishio .
 
Unasema hakuna shida mtoto/mama yako/dada yako/shangazi yako etc wako anatoa ushahidi kama huu chini halafu unamsamehe mbakaji/mfilaji


"The trial magistrate delt with this and concluded that it was not true and even if it was true, it did not matter. She said:

"Even if the first accused could not have full erection there being the slightest penetration was sufficient to prove rape as per law established. The victims proved that the first accused put his penis into their vaginas (sic) and anus and they sucked his penis. "

Watoto kumi hawawezi kudanganya/kurubuniwa wakaulizwa maswali wakaw athat much consistent!
Baba na wanawe hawawezi kufila kwa wakati mmoja.
 
Back
Top Bottom