CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Uzi huu ni wa professionals, law professionals , jurists, tatizo wengi mnaojadili ni "mama ntilie"Kuna shida gani. Haya tuletee hukumu za wale waliohukumiwa kunyongwa na wameachiwa tuone. Au umeshupalia hii ya Nguza kwa maslahi gani. Zwazwa style
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi..sipati picha namna wazazi wa wale watoto walivyo jisikia hiyo jana
Wajitokeze hadharani na watoto wao kupingaUchungu wa mwana aujuaye mzazi..sipati picha namna wazazi wa wale watoto walivyo jisikia hiyo jana
Mkuu waite lay person kwan hao mama ntilie ndio walio tuleaUzi huu ni wa professionals, law professionals , jurists, tatizo wengi mnaojadili ni "mama ntilie"
You are right but they do not have knowledge of the law and normally mama ntilie are illiterate!Mkuu waite lay person kwan hao mama ntilie ndio walio tulea
They might be illiterate but its mere defamatory how about those went to hotel management collage think about it dudeYou are right but they do not have knowledge of the law and normally mama ntilie are illiterate!
Nafikiri watu wanaona wivu kuona hawa wazee wamesamehewa kwa mtizamo wa kisiasa ila ukweli ni kwamba hao akina babu Seya ni wabakaji kwa mujibu wa hukumu ya kimahakama.Hoja hapa si kwamba wakisa seya walisingiziwa au lah.
Issue hapa ni kwamba katiba inampa raisi mamlaka yasiyo na kikomo..."kusamehe kosa lolote kwa mtu yoyote".
.
Hujatoa hoja yoyote ya kisheria hapo. Ulicopy ni maoni ya kisomi tu ambayo kama ulivoonesha yakiwekwa kwenye kiingereza inaonekana kama kitu chenye mantiki sana.I guess you are not a lawyer, an academician and a lover of Rule of law, if you are then you are not rational. SOMA HII CHINI.
Release of Babu Seya: Is it Arbitrary use of power
Laws place constraints on a person’s arbitrary power to do as he or she wishes without consideration for the harm it could do to others.
The Rule of Law, in its most basic form, is the principle that no one is above the law. The principle is intended to be a safeguard against arbitrary governance, whether by a totalitarian leader or by mob rule. Thus, the rule of law is hostile both to dictatorship and to anarchy.
Rule of Law cannot exist without a transparent legal system, the main components of which are a clear set of laws that are freely and easily accessible to all, strong enforcement structures, and an independent judiciary to protect citizens against the arbitrary use of power by the state, individuals or any other organization.
The general principle under the law is that......
..... discretionary power is exercised so as to do justice to the case and must be exercised judiciously with due consideration of all the facts and circumstances…. (ingawa hapa ni Katiba katika babu seya case)
Is Babu Seya release an arbitrary use of power?
Aibu sanaaIla mdogo wa Shonza aisee,so aje niwe naipiga ile dyudyu kuliko Yale ayafanyayo!!!!
Kwa sheria za SAUT Yani watakuwa wamekata jina mapema hana chuo tena
Ikiwa Mwenyezi Mungu anasamehe, binadamu iweje uwe mgumu wa kusamehe!?saflii.org/tz/cases/TZHC/2005/4.pdf …
Kuna shida mahali. Tunahitaji kumwombea Sana Rais na washauri wake.
mr mkiki
Never, Mihayo is one of the highly respected judge in the judiciary with regard to expertise in law when on the bench
Umetimia sasaSheikh yahya alisema wote wangetoka...
Utabiri wa mtabiri wetu umegonga mwamba.
Umetimia sasaSheikh yahya alisema wote wangetoka...
Utabiri wa mtabiri wetu umegonga mwamba.
nguza hangeweza kuachiwa labda serikali ije nyingine.....wanaojuwa wameelewa!! hata hao walioachiwa wawili ni at least ..kwa kuwa mahakama ya rufaa ipo somehow free..
ooh thanks for reminding me about this insight observations Seven years ago ....hakika limetimia
Baba na wanawe hawawezi kufila kwa wakati mmoja.Unasema hakuna shida mtoto/mama yako/dada yako/shangazi yako etc wako anatoa ushahidi kama huu chini halafu unamsamehe mbakaji/mfilaji
"The trial magistrate delt with this and concluded that it was not true and even if it was true, it did not matter. She said:
"Even if the first accused could not have full erection there being the slightest penetration was sufficient to prove rape as per law established. The victims proved that the first accused put his penis into their vaginas (sic) and anus and they sucked his penis. "
Watoto kumi hawawezi kudanganya/kurubuniwa wakaulizwa maswali wakaw athat much consistent!