Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Aiss siyo kwa kuyafufua huku[emoji12]!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
[HASHTAG]#TunafukuaMakaburi[/HASHTAG]
Alitabiri nini!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
[HASHTAG]#TunafukuaMakaburi[/HASHTAG]
kupatiwa msamaha babu seya baada ya kumuandikia Rais Magufuli barua ya wazi kumtaka msamaha!Aliabiri nini
Nashukuru mkuu kwa mtazamo wako huku nzuri, watu wanahusisha kufungwa kwa babu seya na mzee wa msoga, watz kama tulivyo vitu vya uwongo na uzushi ndio vinapewa vipaumbele kuliko ukweli. Wakati hili sakata linaanza nilikuwa naishi Jirani na mtaa aliokuwa anaishi babu seya, s/m mashujaa sinza kama sikusahau jina la shule. Ivi MTU anaweza kupika tukio kubwa namna hiyo lihusishe umma wote huu bila kutokea hata jaji au wakili wa kulizuia? Sisemi kwamba maamuzi yote ya mahakama ni ya haki lakn kwa hili hakukuwa na uwezekano wa kupika kituMchunguze nini tena watoe ushuhuda wa nini? Kwamba mtawahukumu tena? Kwa wahanga huko kuachiwa tu maumivu, sasa wewe unataka waanze kuuelezea umma jinsi walivyochezewa. Katika nchi yetu hii ambapo vitu vya kila siku havipewi kimbaumbele, sembuse mambo ya nadra/ kificho kama kuchezewa kwa watoto na watu wazima, unafikiri wamepata ushauri nasaha kuwatuliza akili/fikra zao? Hayajakupata bila shaka, usitake kuamsha machungu ya wenzako.
Mkuu usijisumbue na watu ambao hawawezi kukuelewa kwa sababu ya fikra zao ndogo,wanafurahia jambo hili bila kuvaa viatu vya watoto wale na wazazi na mtu kujiweka ndio mzazi wa wale watoto.Siasa ikiingia katika kila jambo madhara yake ni makubwa.Mchunguze nini tena watoe ushuhuda wa nini? Kwamba mtawahukumu tena? Kwa wahanga huko kuachiwa tu maumivu, sasa wewe unataka waanze kuuelezea umma jinsi walivyochezewa. Katika nchi yetu hii ambapo vitu vya kila siku havipewi kimbaumbele, sembuse mambo ya nadra/ kificho kama kuchezewa kwa watoto na watu wazima, unafikiri wamepata ushauri nasaha kuwatuliza akili/fikra zao? Hayajakupata bila shaka, usitake kuamsha machungu ya wenzako.
Ni kweli mkuu,siamini hata mimi kwamba High court,High court appeal,Court of appeal,African petition wote wafanye uonevu bila kufuatta sheria wala mawakili wao wote na rufaa zote washindwe tu?something is right here hata kama ni % itazidi 75 na maybe the remaining 25 ndio inaweza kuwa exaggeration.Nashukuru mkuu kwa mtazamo wako huku nzuri, watu wanahusisha kufungwa kwa babu seya na mzee wa msoga, watz kama tulivyo vitu vya uwongo na uzushi ndio vinapewa vipaumbele kuliko ukweli. Wakati hili sakata linaanza nilikuwa naishi Jirani na mtaa aliokuwa anaishi babu seya, s/m mashujaa sinza kama sikusahau jina la shule. Ivi MTU anaweza kupika tukio kubwa namna hiyo lihusishe umma wote huu bila kutokea hata jaji au wakili wa kulizuia? Sisemi kwamba maamuzi yote ya mahakama ni ya haki lakn kwa hili hakukuwa na uwezekano wa kupika kitu
Tufanye kama Babu Seya angekuwa ndio baba yako mzazi ungefanyaje kwa mfano?Kama kweli walibakwa hawawezi kujitojeza, kama angaliku ni mwanangu miongoni mwa waathirika na kwa jinsi nilivyokua "psycho" muda huu ningekua na plot "revange" na kuhakikisha nawapoteza hao jamaa kwa kwa njia moja very "gruesome" ili iwe fundisho kwa wengine pamoja na "JPM"
Sasa ndio umeongea nini??Nashukuru mkuu kwa mtazamo wako huku nzuri, watu wanahusisha kufungwa kwa babu seya na mzee wa msoga, watz kama tulivyo vitu vya uwongo na uzushi ndio vinapewa vipaumbele kuliko ukweli. Wakati hili sakata linaanza nilikuwa naishi Jirani na mtaa aliokuwa anaishi babu seya, s/m mashujaa sinza kama sikusahau jina la shule. Ivi MTU anaweza kupika tukio kubwa namna hiyo lihusishe umma wote huu bila kutokea hata jaji au wakili wa kulizuia? Sisemi kwamba maamuzi yote ya mahakama ni ya haki lakn kwa hili hakukuwa na uwezekano wa kupika kitu
Mkuu tafadhari, ile albadiri ya Tundu Lisu bado inalitesa Taifa mpaka leo wewe tena unataka albadiri nyingine?Ipigwe albadil tu ukweli ujulikane,si mahakama siviongozi ni waongo tu
Ukiona ya tundulisu haijafanyika basi ujue ni kweli watu wakubwa walitekeleza hiloMkuu tafadhari, ile albadiri ya Tundu Lisu bado inalitesa Taifa mpaka leo wewe tena unataka albadiri nyingine?
Kwani hizo COURTS ulizotaka zilifanya uonevu wapi??Ni kweli mkuu,siamini hata mimi kwamba High court,High court appeal,Court of appeal,African petition wote wafanye uonevu bila kufuatta sheria wala mawakili wao wote na rufaa zote washindwe tu?something is right here hata kama ni % itazidi 75 na maybe the remaining 25 ndio inaweza kuwa exaggeration.