Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

mie mpaka kesho huwa siamini km bb na wanae wanaweza kufanya hivyo

MKUU wakongo hawana hulka ya kugombana gombana, popote waendako wanachanganyika na raia na kuonekana wastaarabu - sasa ujanja wao huo ndio uwapatia wenyenji - baadhi ya Wakongo ni waharibifu sana wa watoto wa kike na wake za watu asikudanyanye mtu, husije ukawa carried away na mambo yao ya kuigiza/kijifanya wastaarabu.

Kitu kingine wana amini na ku-practice mambo ya ushirikana sana, hiwe kwenye biashara zao za kwawaida au mambo ya miziki! Kuna Mkongo aliwahi kuniambia kwamba wapigapo mziki basi kesho yake asubuhi sana wanamtuma mtu wao aende akusanye vizibo vya soda na bia kwenye kumbi wanakwenda sijui kuvifanyia matambiko gani!! Vile vile haya mambo ya kufuata fuata vitoto vidogo vya shule za msingi ni kwa ajili ya mambo yao ya imani ya kishirikina sio kwamba wanakosa wanawake wa lika lao.

Niliwahi vile vile kuhadithiwa kisanga cha kweli na muhandisi mwenzangu Mzambia tukiwa Ndola Zambia - Ndola inapakana na Kongo, alinisimulia kisanga cha kutisha sana cha kishirikana alicho wahi kufanyiwa na rafiki yake Mkongo baada ya kukihuka masharti aliyo pewa na rafiki yake, kwamba hata siku moja hasichungulie au kujaribu kufungua chumba cha katikati ya nyumba yake, jamaa alikahidi masharti baada ya kuona rafiki yake ameondoka kikazi kwenda Livingstone kusini mwa Zambia - kwa kuwa alihachiwa nyumba na funguo zote akawa na shahuku ya kuchungulia kwenye chumba hicho, yaliyo mpata siwezi kuyarudia hapa.

In short ninacho taka kuzungumza hapa ni kwamba tusijaribu kuwa tetea sana jamaa hawa, wana mambo yao ambayo si ya kawaida - haya mambo ya kufikiri eti kamtogoza mwanamke sijui wa nani ndio maana aliwekwa lupango - mimi hilo sihafikiani nalo hata kidogo, mbona DAR kuna wanawake wa kila sampuli, ni mwanamume gani mwenye akili timamu anaweza kuhangahika na mwanamke ambaye amekwisha ji-tune kisaikolojia kufuata wanaume wa nje ya ndoa, piga kill atafanya tu - na kama hiyo ikitokea wa kulahumiwa pale ni mwanamke sijui kwa nini watu huwa wanalahumu wanaume!!
 
We watoto wanakwambia waliona sperm zinatembea kwenye majimaji waliyokuwa wanamwagiwa utaamini? Hata huyo daktari aliyefanya uchunguzi ni mjinga, hafai kuitwa daktari. Sperms hata kwenye microscope ni ishu kuziona sembuse watoto waone viluwiluwi vinatembea kwa macho! Inaonekana jamaa wanamwaga sperms zenye ukubwa wa viluwi luwi ndo maana saliima alimng‘ang'ania.

Watanzania kwa kuongea maneno kama wamekatwa vichwa! Maskini wee! Unaandika uongo mchana kweupe! Hayo maneno uliyasikia kijiweni na wewe unakariri kama kasuku. Uliwahi pitia hukumu ya ile kesi? Ukiambiwa uonyesha sehemu waliyosema namna hiyo utaonysha!
 
Hawa jamaa hawakubaka subiri jk aondoke madarakani tuitishe mafaili upya labda awaue kwa sumu huko jela vinginevyo ukweli utawekwa hadharani na kila mwenye sikio atasikia.
 
Kama ulikuwa ukifuatilia mwenendo wa ile kesi, ni wazi hao watu wa familia walifanya ushenzi wa ajabu kwa vijana wetu na hiyo adhabu waliyopata haitoshi walitakiwa wahukumiwe kunyongwa mpaka wafe!!

hakuna ukweli wowote juu ya hili jambo!,kesi yenyewe mwanzo mwisho ilikua ikiendeshwa kimazabemazabe
 
Ndugu watanzania,

Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka.

Tukisubiri usanii tena wa serikali yetu,tujiulize mimi na wewe je kweli walibaka ?

Tusubiri october 30.

Dunia duara! Tuombe Mungu siku ifike, wawe salama na kiza kinene kilicho mbele yao kigeuke na kuwa nuru!!
 
Hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. kwa hasira hata panya hakubaki...
I have laughed and laughed "nimecheka na kuseka"
 
'wanaandaa andaa mazingira ya 2015 mkuu si unajua tena 13 ndo inaishia ishia hivyo..................ngoja tusubiri tuone watakachokuja nacho asee'
Ni bora akawasamehe yeye mwenyewe, kuliko kusubiri waje kusamehewa na mtu mwingine.
 
Ndugu watanzania,

Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka.

Tukisubiri usanii tena wa serikali yetu,tujiulize mimi na wewe je kweli walibaka ?

Tusubiri october 30.

Bongolala tunaletewa zilipendwa tucheze ili tuachane na kiduku (rasimu ya katiba) kwa muda!! Kama kawaida mambo ya upepo!!
 
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.

Cc: Madame B

Hakuna cha Kassongo7 wala nini, dawa ni Mkuyati tu wa hapa hapa Tanganyika.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mimi mbona kama sielewi,shida iko wapi?Kama alibaka anastahili adhabu.Kama wengine wanavyosema kama alimla mke wa mtu si anastahili adhabu pia?Au ungekuwa wewe ndie umeliwa mke,ungempa mkono jamaa eti amekuzidi kete?YOTE ni makosa na yanastahili adhabu kali hata kama ni ya kuonewa.Lakini kama hakubaka na hakumla mke wa mtu basi hapo kesi nyingine.
Tunaokula wake za watu tuwe tunawauliza mapema wana uhusiano na wakuu wenye rungu? Keko na Ukonga ni sawa na kitanda.:tape:
 
Ukisikia nimekufa usiweke msiba,,,, ila sherekea kwa sababu una roho mbayaaa!!!
 
Ndugu watanzania,

Redio kadhaa na magazeti zimetuambia tar 30 Oct wana review tena kesi ya Babu Seya na wanae waliofungwa maisha milele kwa kubaka.

Tukisubiri usanii tena wa serikali yetu,tujiulize mimi na wewe je kweli walibaka ?

Tusubiri october 30.

Hivi unajua review kisheria hufanywa na majaji au hakimu yuleyule aloamua kesi hiyo hapo awali?
That means,inabidi uje na sababu za kuwaridhisha kwamba walikosea wakati wanafanya maamuzi au kuna hoja hawakuizingatia au imekuja within your knowledge kwa sasa ambayo pengine ingefanya waamue tofauti.

Sasa je, unadhani akina babu seya wana lipi jipya?unajua walianza Kisutu,wakaenda HC na CAT?wana lipi jipya ambalo hawakulijua?
 
Back
Top Bottom