Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. kwa hasira hata panya hakubaki...

Na Mungu alivomkomesha babake naniiasha, Akamchukua na demu mwenyewe.
Kufia mbali huko na AIDS.
 
Ila haka ka Mama Seya, Kazuri jamani, khaaa??? Kama hasa unapenda NYAMA KARIBU NA MFUPA. The near the Bones, The Sweeter the Meat.

 
Last edited by a moderator:
Watoto hawakubakwa hata mmoja ni mchezo ulitengenezwa tu na wazazi wenye tamaa ya pesa wakakubali na kuuza utu.
Mimi nilikuwa naishi mtaa mmoja miti mirefu sinza karibu na shule ya mashujaa na katika mtaa wetu walibakwa watoto wanne mmoja ni jirani ambaye tunapakana ukuta na tulikuwa tukishirikiana kwa kila jambo siku ambayo tunaambiwa amebakwa mtoto hakuwa hata na dalili za maumivu and she was fine kipindi hicho alikuwa 6 year. Jiulize mtoto wa miaka
sita abakwe na watu wawili alf awe hana hata maumivu picha haiji kabisa


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

tunakuomba mahakamani kutoa ushahidi ili babu seya arudi mtaani? upo tayari?
 
Ningeliweza, ningelikuletea yule dada anayelala na Wanaume 8 kwa siku ndiyo aridhike...... Angekupelekesha hadi ujione Msengelema.
Umfikishe kwani umemtoa wapi hapo ni kumkomesha tu mpaka siku akikuona ajihisi hana underwear
 
tarajia usanii ikiwemo "Kuachiwa huru""
Kwa hiyo
kama ni kweli WALIBAKA na hiyo Review ikwakuta na makosa tena WANYONGWE?
  • Hivi ni lini wale Mabinti walisimama mbele ya vyombo vya Habari na KUKANISHA
  • Hizo Taasisi za kutetea unyanyasaji walipojitutumua walitumwa kuwakandamiza kina- Nguza?
  • ULAWITI ni kosa na DHAMBI hata Mahakama ikiwaachia bado MOTO wa JEHANAMU utawachoma na kuwa kuni zisizozimika.
Ninachojiuliza hao wenyekuwatetea kina Nguza wangeBAKIWA watoto wao mngedhubutu kuwatetea ? AU HAYAJAWAKUTA
tusubiri hiyo Oktoba 30. 2013

 
Don't jump into conclusions...ile kesi imeshasikilizwa mara 2 wakaonekana wana hatia. Na ninvyofahamu mimi (kwa uelewa wangu mdogo wa sheria), kesi ya kubaka watoto/mtoto unahitajika ushahidi wa aina 2 tu kukutia hatiani...1 - Mtoto mwenyewe kusema kwamba ni mtu 'huyu' ndio kambaka (wale watoto walipoint kuwa babu Seya na wanae wamewabaka wakahadithia kwa ufasaha walivyofanyiwa), 2 - Daktari kuthibitisha kwa watoto wametendewa kitendo hicho (Daktari alithibitisha hilo, namfahamu Daktari aliyewafanyia uchunguzi wale watoto na ni kweli walifanyiwa hivyo, ripoti na picha ya athari walivyoharibiwa zipo kwenye mafaili yao)....Sioni jinsi gani Babu Seya na wanae watatoka hapo.

zaidi ya hapo, mmoja kati ya majaji wanaoreview hiyo kesi ni jaji Nathalie Kimaro...soma historia yake wakati yuko mahakama ya Kisutu kuhusu kesi za ubakaji na kunajisi watoto!
Jamaa yangu Riwa upo sahihi kabisa,
humu JF kuna wanaoshabikia ubakaji na ulawiti na kweli hayajawakuta ngoja tusubiri hiyo Review na sijui wakikutikana kweli waongezewe adhabu ya KUNYONGWA kina Babu Seya
Mimi kuna Bint namfahamu mpaka leo na hajabadili kauli labda nimtafute tena km alishinikizwa
Ila kuna watu wataumbuka
 
Jamaa yangu Riwa upo sahihi kabisa,
humu JF kuna wanaoshabikia ubakaji na ulawiti na kweli hayajawakuta ngoja tusubiri hiyo Review na sijui wakikutikana kweli waongezewe adhabu ya KUNYONGWA kina Babu Seya
Mimi kuna Bint namfahamu mpaka leo na hajabadili kauli labda nimtafute tena km alishinikizwa
Ila kuna watu wataumbuka

Kweli mdau umenena vema unajua inisikitisha ukiona GT anaamini katika story za vijiweni pasipo kutake initiatives za kutafuta ukweli ka msomi.
Ukisoma hukumu zote kuanzia ya Kisutu RM, High Court na Court of Appeal utaona ni jinsi gani watuhumiwa walikua wana wayawaya tu pasipo kutoa utetezi wao. Especially ukisoma hukumu na mwenendo wa shauli wa kisutu RM utaona watoto wote walitoa ushahidi unaofanana mpaka kuna kitoto kimoja kilimdai babu seya hela yake mahakamani kwa kweli babu seya na wanae walishindwa kabisa kujitetea baadala yake babu seya akaishia kusema eti ye anamatatizo ya nguvu za kiume wakati wote tunajua wazee hunywa mzigo viagra au wa kimasai.
Mi sitalajii jipya kwenye review kwa elimu yangu ndogo ya sheria najua mahakama haitajielekeza kwenye merit ya case na baadala yake itaangalia ka all rules and procedures za kuprovide justice zilizingatiwa na mahakama husika other ways babu seya kaja na ushahidi mpya anaoamini kabisa utabadili mtazamo wa mahakama kwenye shauli husika
 
Kweli mdau umenena vema unajua inisikitisha ukiona GT anaamini katika story za vijiweni pasipo kutake initiatives za kutafuta ukweli ka msomi.
Ukisoma hukumu zote kuanzia ya Kisutu RM, High Court na Court of Appeal utaona ni jinsi gani watuhumiwa walikua wana wayawaya tu pasipo kutoa utetezi wao. Especially ukisoma hukumu na mwenendo wa shauli wa kisutu RM utaona watoto wote walitoa ushahidi unaofanana mpaka kuna kitoto kimoja kilimdai babu seya hela yake mahakamani kwa kweli babu seya na wanae walishindwa kabisa kujitetea baadala yake babu seya akaishia kusema eti ye anamatatizo ya nguvu za kiume
Mbeky unajua watu humu Duniani hawamuogopi MUNGU kabisa sijui hawa kina Nguzo hawana mabinti yaani kweli:-
  • Ukakibake kitoto kidogo hakijavunja Ungo ni uchawi au laana
  • Ufungwe umuandikie barua Rais akufungulie badala ya kumlaani msichana aliyekutolea ushahidi?
  • Umuombe Rais msamaha akutoe badala ya kuwalalamikia Walimu na Waendesha mashtaka aliokusingizia
  • kwa kushirikiana na mashabiki umsingizie jamaa kuwa mlimuingilia anga zake awaweka ndani maisha kwa wivu?
  • Haya madharau ya WaCongoman ndio ufahari na kicheko cha Watanzania wenye mabinti kubakwa hiviohivi?
  • Kama wamesingiziwa wangemuomba Rais wa DRC awaombee msamaha au wakafungiwe DRC?
  • Hivi ingekuwa nchi za Arabuni kubaka, kulawiti awe hata mwanamume wangekosa kitanzi kweli.
MUNGU yupo kwa aliyelawiti na mahakama ikawaachia Wasubiri Moto wa JEHANAMU kwani hawa mabinti wote wapo hai
 
Last edited by a moderator:
Hawakubaka...kosa lao ni kumla na kisha kumuimba tena kwenye heating song... kila dad akisikia songi anatamani awanyonge kabisa!!!
 
Hawakubaka...kosa lao ni kumla na kisha kumuimba tena kwenye heating song... kila dad akisikia songi anatamani awanyonge kabisa!!!

Story za maskani..ingekuwa hivyo kwa nguvu alizokuwa nazo dad kimamlaka angeweza kuwatengenezea ngese kina nguza kuliwa viboga na hata kuteswa mpaka kufa...hawa mapimbi kina nguza ni wabakaji tu
 
Wapo wazazi wa hao watoto mpk leo nafc zinawauma kukubali kuwatoa watoto na kuwafundisha ujinga waliofanya mpk leo pino na mzee wake wako jela bila hatia km wengine walihama cnza kwa aibu km jambo ulijuo ucshabikie sana kec za kutengeneza na hukumu za kuamuliwa fanya hv coz nchi hii hamu sheria kwa kiongozi na mwenye uwezo wake
 
mwanzo walibiwa wamebaka wote wa4...baadae wakageuza sio wote ni wawili..uongo ndio ulianzia hapo
 
Jamaa yangu Riwa upo sahihi kabisa,
humu JF kuna wanaoshabikia ubakaji na ulawiti na kweli hayajawakuta ngoja tusubiri hiyo Review na sijui wakikutikana kweli waongezewe adhabu ya KUNYONGWA kina Babu Seya
Mimi kuna Bint namfahamu mpaka leo na hajabadili kauli labda nimtafute tena km alishinikizwa
Ila kuna watu wataumbuka

watu wanapopata mashaka kama kweli ilithibitika kuwa wote wa4 walilawiti watoto kwann waliachiwa wawili wakabaki wawili gerezani?hiyo inaleta picha kuwa waliokuwa wanatikiwa ni nguza na papii kocha na sio wale ndugu zao wengine...wake up guyz
 
Mwenendo mzima wa kesi unapatikana wapi kuanzia madaktari , mashaidi na wanaosemekana ni wahanga ili tuweze kuchangia hoja vizuri.
Mzigo ulikuwa kwa waendesha mashtaka kudhibitisha pasipo shaka kwamba walihusika.
 
Na wazazi waliopewa pesa na kukiri watoto wao walibakwa, kuna katoto karikuwa jirani yetu nae mama ake alisema alibakwa alikuwa na 6 yrs nasihi watoto sasa watakuwa na akili nafsi zitawasuta wa kuyumbisha maisha ya watu wasio na hatia

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kwa ushahidi ulionao ingependeza zaidi kama ungewasaidia washtakiwa kwa kutoa ushahidi Mahakamani!!!!
 
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.

Cc: Madame B


Kuna nyingine inaitwa PITUU ya unga unga hivi ukiipaka baada ya masaa mawili inapiga kazi,,,yaani hapo lazima m/Mke aombe poo.
 
Last edited by a moderator:
Don't jump into conclusions...ile kesi imeshasikilizwa mara 2 wakaonekana wana hatia. Na ninvyofahamu mimi (kwa uelewa wangu mdogo wa sheria), kesi ya kubaka watoto/mtoto unahitajika ushahidi wa aina 2 tu kukutia hatiani...1 - Mtoto mwenyewe kusema kwamba ni mtu 'huyu' ndio kambaka (wale watoto walipoint kuwa babu Seya na wanae wamewabaka wakahadithia kwa ufasaha walivyofanyiwa), 2 - Daktari kuthibitisha kwa watoto wametendewa kitendo hicho (Daktari alithibitisha hilo, namfahamu Daktari aliyewafanyia uchunguzi wale watoto na ni kweli walifanyiwa hivyo, ripoti na picha ya athari walivyoharibiwa zipo kwenye mafaili yao)....Sioni jinsi gani Babu Seya na wanae watatoka hapo.

zaidi ya hapo, mmoja kati ya majaji wanaoreview hiyo kesi ni jaji Nathalie Kimaro...soma historia yake wakati yuko mahakama ya Kisutu kuhusu kesi za ubakaji na kunajisi watoto!



Hao watu wawili wote wananunulika kwahiyo sio ishu sana mkuu.
 
Back
Top Bottom