Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Hata Bushoke aluvyooimba ule wimbo wa kumkumbuka Papii Kocha,aliitwa Bushoke akaulizwa unataka nini..toa wimbo redioni...akaanza oooh mzee nimetumia hela nyingi kurekodi,mara ndio ntapigia show unitoe mana umehit sana
Jamaa Bushoke akapewa mkwanja.wa hatari akajumlishwa kwenye kampeni ya 2005 kuzunguka nchi nzima...kimyaaaa,na wimbo haujapigwa tena..
”ilikuwa jmos fulani,siku ya visitors..nilikwenda kumcheki msela jela na mAzagazaga kibao.... amenipa kweli juu ya kesi yake,watu wanaimiliki kesi yake..msela kanambia yeye hakukosa,msela anasema ushahdi haukutosha..Rais mtoe P watu wanampenda P
Japo ataanza maisha upya tumuombee atatoka...“
Hii ni sehemu ya mashairi ya wimbo.wa Bushoke unaitwa msela jela...aliutoa kama dedication kwa Papiii...lakini aliutoa usipigwe radion akala dili la kuzunguka na kampeni za CCM nchi nzima.
 
Mimi huyo Paulina naweza kumtoa jasho bila cha mkuyati wala nini, mwambieni ani PM aje aone mziki wangu.
.
.
inawezekana ila ni balaa tupu....yaani paulina alikuwa hasikii hata ukitumia mkuyati ndio ikaja version spesheli kwa ajili yake.....teh teh teh watu waliingia maabara kwa ajili yake.
 
ngoja mbakwe ndo mtajua machungu na kutia akili

Sielewi hili jambo kwa undani zaid, ila nasita kuamini kuwa baba wa kiafrika anaweza shirikiana mtungo na watoto wake wa kuzaa
 
Hivi walihukumiwa wakati wa utawala wa nani? Kama wamewekwa ndani kisheria hakuna rais atakaepindisha sheria hasa kwenye tukio kama hili.

unajua hela za EPA zilizotoka benki kuu kusaidia kikwete ashinde urais zilitoka kwa kwa amri ya kikwete na yeye akiwa sio rais messenger alikuwa rostam aziz kwenda kwa balali, kivuli cha kikwete kili overlap utawala wa mkapa. mambo haya yako wazi tafuta ukweli kina papii hawakutiwa ndani kwa sheria ni usanii ambao unachunguzika na kuwa busted.
 
Mmh samahani ila naomba kuuliza maana nipo gizani, mama Seya ni nani hasa??....

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Ngoma ni nzito kwa Babu Seya na papii baada ya kupitia mwenendo wa kesi yao kisutu chini ya hakimu Lyamuya.
1. Jamaa walikosa uwakilishi mzuri wa kisheria. Sioni kama H. Nyange aliwawakilisha ipasavyo wateja wake. Alikuwa akipangua hoja kirahisi kama mtu wa kawaida. Hakujua hakimu Lyamuya maamuzi yake uyafikia vipi.
Kuna njia 7 ivi mahakimu/majaji uzifuata ili kufikia uhamuzi wa kesi.
(a). Textual yani kufuata maneno kama sheria ilivyoandika ikiwa maneno haya utata.
(b). History of the law yani kuzingatia kiini kilichopelekea kutungwa sheria husika.
(c). Functional yani kuzingatia sheria zote zinazoendana na sheria mama.
(d). Doctrinal yani maamuzi yanaangalia na kesi zilizowahi kuamuliwa huko nyuma.
(e). Prudential yani kuzingatia zaidi maslahi ya wahusika (pande zote au mmoja) au jamii nzima mfano kesi kupinga matokeo ya urais hata kama kasoro zilijitokeza.
(f). Equitable/Ethical kufuata Usawa yani dhamila ya kweli kuona haki inatendeka kwa kila upande.
(g). Natural yani kufuata Asili au utamaduni mfano ndoa za jinsia mmoja kwa bongo hata kama kusingekuwepo sheria zuio hakimu atawatia hatiani kwani hatuna huo utamaduni.
2. Ukisoma hukumu ya Lyamuya aliresearch akatumia (c), (d) na (e). Advocate Nyange alitaka jamaa wachomoke kwa makosa ya kiufundi lakini hakimu alisimama kwenye (d) na (e) kwa kutoa kesi nyingi za zamani na ameangalia zaidi maslahi ya mtoto kwamba mbali na umri wao mdogo walionekana wakweli kuliko akina Seya. Kiukweli akina Seya walikosa credibility, hawakukumbuka mambo mengi hata yale kabla ya kukamatwa. Huyu anasema polisi walituvamia mwingine anasema wabisha hodi nikafungua.
Kama watoto wametiririka tena wakilia ukiweka (g) asili, hakimu aliamini mtoto akilia ni mkweli kabisa.
3. Advocate Nyange akuangaika kutafuta hata madaktari kupingana na waupande wa mashtaka. Anasema mteja wake ana matatizo ya kusimamisha yani erectile dysfunction (ED) kwamba yuko on and off. Hakimu katoa madesa na sheria kuonyesha kwamba inawezekana alisimamisha kidogo akaingiza, na kubaka si lazima uingize uume. Shahidi namba 9 mama yake alikuta shaawa lakini hazikupimwa DNA kujua za nani. Sijaona Nyange akilipinga hilo na kama aliliamsha bado hakimu angeendelea kuegemea kwenye (e) prudential kwa manufaa ya mtoto kwani tayari waliweza kuwatambua, walikuwa na majeraha ya kutanuka sehemu zao za siri mbele nyuma.
Nimalizie kwa kusema Nyange akuleta mashahidi wa kumchanganya hakimu na hakuwaandaa wateja wake kujitetea kizimbani.
MWISHO: mtizamo wangu ni kwamba kama wangeappeal kwamba waliwakilishwa vibaya na wakili wao, wamfukuze na kuweka mwingine wanaweza kupata nafasi lakini kwa kusema hukumu ya kwanza walipwaya mno na wakili pia alipwaya. Kwa njia nilizotaja hapo juu ilikuwa rahisi kwa hakimu Lyamuya kuwahukumu jamaa.
 
Hivi unajua review kisheria hufanywa na majaji au hakimu yuleyule aloamua kesi hiyo hapo awali?
That means,inabidi uje na sababu za kuwaridhisha kwamba walikosea wakati wanafanya maamuzi au kuna hoja hawakuizingatia au imekuja within your knowledge kwa sasa ambayo pengine ingefanya waamue tofauti.

Sasa je, unadhani akina babu seya wana lipi jipya?unajua walianza Kisutu,wakaenda HC na CAT?wana lipi jipya ambalo hawakulijua?

Nimesoma kesi huku ya kwanza kisutu walichemka mbaya yani ngoma nzito kwa babu seya. Mchango wangu huko juu
 
ebu tujiulize wanasema zile video zilikwishaanza kusambaa uko ughaibun, bas wale walizokwisha kuziona hasa watanzania wanaoish kule c wangezivujisha hapa bongo, nan aliyewah kuziona? aya cku walivyokuwa wanaionyesha mahakaman raia wa kawaida walizuiliwa kuingia ndan ni watu special ndo waliongia kuiona why? kwann? hvyo ndo vifact vyngu vidogo vinavyonsumbua akil muongo mzima
 
.
.
.
inawezekana ila ni balaa tupu....yaani paulina alikuwa hasikii hata ukitumia mkuyati ndio ikaja version spesheli kwa ajili yake.....teh teh teh watu waliingia maabara kwa ajili yake.
huyo paulina hajawah kupigwa katelelo, angekoma angejaza ndoo
 
Hivi nyie mnaokomenti juu ya hii issue ya P. mnajiamini nini? Any way mi ngoja niende zangu bar nikachangamke,yasije nikuta yakunikuta!
 
Kaka hizo issue za babu seya nakushindwa kupanda mtungi ni ushahidi waliouleta kwa kukurupuka hawakuwa wamejipanga ilikua ni AFTER THOUGHT
kuhusu uwakilishi sio kwamba hawakupata uwakilishi mzuri kwa wanamjua Advocate Nyange wanaujua uzoefu na uwezo wake sema alishikwa kubaya hakuwa na jipya la kuiambia mahakama hata diminer iliwafunga wakina babu Seya walikua na character zote za kiharifu kwenye ushahidi wao.
Waliopoenda CA walibadiri wakili wakamweka Malando afu check ground zao za appeal ndio utakubaliana na mimi hawana jipya la kuiambia mahakama
Ngoma ni nzito kwa Babu Seya na papii baada ya kupitia mwenendo wa kesi yao kisutu chini ya hakimu Lyamuya.
1. Jamaa walikosa uwakilishi mzuri wa kisheria. Sioni kama H. Nyange aliwawakilisha ipasavyo wateja wake. Alikuwa akipangua hoja kirahisi kama mtu wa kawaida. Hakujua hakimu Lyamuya maamuzi yake uyafikia vipi.
Kuna njia 7 ivi mahakimu/majaji uzifuata ili kufikia uhamuzi wa kesi.
(a). Textual yani kufuata maneno kama sheria ilivyoandika ikiwa maneno haya utata.
(b). History of the law yani kuzingatia kiini kilichopelekea kutungwa sheria husika.
(c). Functional yani kuzingatia sheria zote zinazoendana na sheria mama.
(d). Doctrinal yani maamuzi yanaangalia na kesi zilizowahi kuamuliwa huko nyuma.
(e). Prudential yani kuzingatia zaidi maslahi ya wahusika (pande zote au mmoja) au jamii nzima mfano kesi kupinga matokeo ya urais hata kama kasoro zilijitokeza.
(f). Equitable/Ethical kufuata Usawa yani dhamila ya kweli kuona haki inatendeka kwa kila upande.
(g). Natural yani kufuata Asili au utamaduni mfano ndoa za jinsia mmoja kwa bongo hata kama kusingekuwepo sheria zuio hakimu atawatia hatiani kwani hatuna huo utamaduni.
2. Ukisoma hukumu ya Lyamuya aliresearch akatumia (c), (d) na (e). Advocate Nyange alitaka jamaa wachomoke kwa makosa ya kiufundi lakini hakimu alisimama kwenye (d) na (e) kwa kutoa kesi nyingi za zamani na ameangalia zaidi maslahi ya mtoto kwamba mbali na umri wao mdogo walionekana wakweli kuliko akina Seya. Kiukweli akina Seya walikosa credibility, hawakukumbuka mambo mengi hata yale kabla ya kukamatwa. Huyu anasema polisi walituvamia mwingine anasema wabisha hodi nikafungua.
Kama watoto wametiririka tena wakilia ukiweka (g) asili, hakimu aliamini mtoto akilia ni mkweli kabisa.
3. Advocate Nyange akuangaika kutafuta hata madaktari kupingana na waupande wa mashtaka. Anasema mteja wake ana matatizo ya kusimamisha yani erectile dysfunction (ED) kwamba yuko on and off. Hakimu katoa madesa na sheria kuonyesha kwamba inawezekana alisimamisha kidogo akaingiza, na kubaka si lazima uingize uume. Shahidi namba 9 mama yake alikuta shaawa lakini hazikupimwa DNA kujua za nani. Sijaona Nyange akilipinga hilo na kama aliliamsha bado hakimu angeendelea kuegemea kwenye (e) prudential kwa manufaa ya mtoto kwani tayari waliweza kuwatambua, walikuwa na majeraha ya kutanuka sehemu zao za siri mbele nyuma.
Nimalizie kwa kusema Nyange akuleta mashahidi wa kumchanganya hakimu na hakuwaandaa wateja wake kujitetea kizimbani.
MWISHO: mtizamo wangu ni kwamba kama wangeappeal kwamba waliwakilishwa vibaya na wakili wao, wamfukuze na kuweka mwingine wanaweza kupata nafasi lakini kwa kusema hukumu ya kwanza walipwaya mno na wakili pia alipwaya. Kwa njia nilizotaja hapo juu ilikuwa rahisi kwa hakimu Lyamuya kuwahukumu jamaa.
 
Kaka hizo issue za babu seya nakushindwa kupanda mtungi ni ushahidi waliouleta kwa kukurupuka hawakuwa wamejipanga ilikua ni AFTER THOUGHT
kuhusu uwakilishi sio kwamba hawakupata uwakilishi mzuri kwa wanamjua Advocate Nyange wanaujua uzoefu na uwezo wake sema alishikwa kubaya hakuwa na jipya la kuiambia mahakama hata diminer iliwafunga wakina babu Seya walikua na character zote za kiharifu kwenye ushahidi wao.
Waliopoenda CA walibadiri wakili wakamweka Malando afu check ground zao za appeal ndio utakubaliana na mimi hawana jipya la kuiambia mahakama

Ni kweli yani jamaa walikurupuka wakasahau uzito wa kesi. Walikuwa na gap kubwa sana ya credibility. Advocate Nyange uwa namsikia ila inawezekana kesi ya namna hajawahi kukutana nayo na hakufanya homework yake vizuri kama hakimu alivyofanya.
Mungu awatie nguvu tu
 
Back
Top Bottom