ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Hakuna cha kufanya mjinga pekee ndio anaweza kuamini habari ambayo ata ushahidi hakuna , na bahati mbaya nchi hii ni wengi mno , nguvu kubwa inahitajikaSehemu ambayo ignorance is high that is normal uwezi zuia ndio maana ata Tale nae anaendelea na maisha yake.
Lakini utegemei mtu makini nae asikilize habari za vijiweni na kuzipa maanani wakati marehemu afya ilikuwa mgogoro tunaambiwa tangia mwezi May.
I agreeHakuna cha kufanya mjinga pekee ndio anaweza kuamini habari ambayo ata ushahidi hakuna , na bahati mbaya nchi hii ni wengi mno , nguvu kubwa inahitajika
Jimbo gani baba bulubendi?Mimi leo mchana
tega sikio
huyo dada Victoire ni mpuuzi tena bonge la sengerema nadhani hajasuguliwa siku nyingi, nimemuona tangu siku nyingi anasisitiza kwamba babu tale kamtoa mke wake kafala kwa ajili ya ubunge, siku ile ile ya msiba na kaivalia njuga kila post inayomhusu babu tale, sasa cha kushangaza ni kwamba yeye amejuaje? Wakati hata ndugu zake mwanamke hawajui hili, au walikuwa wote kwa mganga wakapewa haya masharti?Victoire,
Huu ni utamaduni mmbaya sana tulio nao Tanzania, mtu anaanzisha rumours ambazo hazina ukweli wowote halafu unakuta watu wanasimbaza na kuaribu reputation ya mtu kwa upuuzi unaoanza kama mzaha.
Babutale bungeni ata sijui anaenda tafuta nini lakini si sahihi kuusisha kifo cha mkewe na harakati za kutafuta maisha yake.
That is very wrong kwa mtu makini.
aiseAnakwenda kuwatetea wana Mkuyuni. Wewe hautaki million 250 kiinua mgongo kwa miaka 5 tu? Wakati Mwalimu anasotea million 70 kwa miaka 40 ya utumishi.
Unagombea jimbo la mmu ama?Mimi leo mchana
tega sikio
Hizo mbona chache Sanaa akiingia tu anapewa 90 akatafute shangingiAnakwenda kuwatetea wana Mkuyuni. Wewe hautaki million 250 kiinua mgongo kwa miaka 5 tu? Wakati Mwalimu anasotea million 70 kwa miaka 40 ya utumishi.
Bado mishahara na marupurupu. Umanager hela ndogo ukizingatia wanagawana wengi.Hizo mbona chache Sanaa akiingia tu anapewa 90 akatafute shangingi
Msiba uliisha ? Haki kweli tutaona mengiMeneja wa Diamond na WCB, Babu Tale mapema leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Morogoro Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Hapana bado mkopo wa Hadi m400+Bado mishahara na marupurupu. Umanager hela ndogo ukizingatia wanagawana wengi.
Umeneja anapata hela za kubadilishia mboga tu na kulipa Kodi hafikii hata nusu ya mshahara wa mpBado mishahara na marupurupu. Umanager hela ndogo ukizingatia wanagawana wengi.
Mwili jumba, Ndugai au Simachawene? HahahaHapana bado mkopo wa Hadi m400+
Nilikuwa crdb chamwino aliingia mheshimiwa flan Ana mwili nyumba akawa anaongea mmama mmoja mfanyakaz wa pale kisu balaa...anamtetemekea akamwamuru mdada mfanyakaz mwenzie ampishe kiti akapewa mheshimiwa akakaa[emoji28][emoji28]
Alafu alipokaa?Hapana bado mkopo wa Hadi m400+
Nilikuwa crdb chamwino aliingia mheshimiwa flan Ana mwili nyumba akawa anaongea mmama mmoja mfanyakaz wa pale kisu balaa...anamtetemekea akamwamuru mdada mfanyakaz mwenzie ampishe kiti akapewa mheshimiwa akakaa[emoji28][emoji28]
Wakaendelea kuongeaa business zao!Alafu alipokaa?
Ajenge na kwao basi.Meneja wa Diamond na WCB, Babu Tale mapema leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Morogoro Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.