Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Duuh
Meneja wa Diamond na WCB, Babu Tale mapema leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Morogoro Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.