Uchaguzi 2020 Babu Tale achukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia CCM katika jimbo la Morogoro

Uchaguzi 2020 Babu Tale achukua fomu ya kuwania Ubunge kupitia CCM katika jimbo la Morogoro

Bwana eh siasa haina formula tatizo Hawa wakina babu tale wanaijua ccm kwa nje kwa undani hawaijui

Ova
Kama SAS alisemwa si mtanzania alipotaka urais na ccm ilhali alishahudumu nafasi nyeti (Foreign Minister, Ulinzi, uPM...) vipi waliofikwa majanga wakiunganishiwa dots wawe na ngozi ngumu

Kamtoa kafala mke wake Kwa sababu ya ubunge
 
Back
Top Bottom