Meneja wa Diamond na WCB, Babu Tale mapema leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Morogoro Vijijini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Mkuu usishangae... atakayokutana nayo kwenye kampeni za ndani yatamkumbusha msiba... "maana jamaa wanajua kuchafuana"Duh
Ova
Kamtoa kafala mke wake Kwa sababu ya ubungeMbona anaact kama kanuna.. hacheki!
Kwamba tutafsiri kuwa bado anauchungu wa msiba.
Bwana eh siasa haina formula tatizo Hawa wakina babu tale wanaijua ccm kwa nje kwa undani hawaijuiMkuu usishangae... atakayokutana nayo kwenye kampeni za ndani yatamkumbusha msiba... "maana jamaa wanajua kuchafuana"
Una ushahidi/uthibitisho na hili?Kamtoa kafala mke wake Kwa sababu ya ubunge
Kama SAS alisemwa si mtanzania alipotaka urais na ccm ilhali alishahudumu nafasi nyeti (Foreign Minister, Ulinzi, uPM...) vipi waliofikwa majanga wakiunganishiwa dots wawe na ngozi ngumuBwana eh siasa haina formula tatizo Hawa wakina babu tale wanaijua ccm kwa nje kwa undani hawaijui
Ova
Kamtoa kafala mke wake Kwa sababu ya ubunge
Ndio tunaita kuwajali wateja mkuu😁...na Tale anapepea tuAlafu alipokaa?