Babu Tale amnyonyoa Mrisho Mpoto, amwambia aache kiherehere na kutafuta kiki

Babu Tale amnyonyoa Mrisho Mpoto, amwambia aache kiherehere na kutafuta kiki

Diamond yeye ajitafakari na atambue nafasi yake kwenye jamii kwa sasa, kuna wakati wa kuwaridhisha Wachache na kupoteza kwa wengi na vice versa...muhimu ni aangalie tukio lililopo mbele yake kwa wakati huo.

Suala la msiba ni jambo zito na lenye mguso kwa jamii nzima, busara inahitajika kuliko kufuatisha kila wanachokitaka Mashabiki/Wafuasi, Wao wana nafasi yao na yeye vile vile ana ya kwake mbele ya jamii.

Ni vizuri akatafakari ni kwa nini ameandamwa yeye na si wengine? nani kahangaika na jide kwa mfano.

Diamond alipaswa kuonyesha mapema kuwa amechukua mwelekeo tofauti mara tu baada ya msiba, sio lazima kwamba angemposti ama vipi...ila bado kuna mengi angeweza kufanya tena kwa busara tu.

Diamond anaangaliwa na kufuatiliwa na wengi haswa kwa ulimwengu huu wa mtandaoni, awe makini sana na mwenendo wake haswa kwa yale yanayohitaji busara.

Mondi kaenda mwishoni siku ya kuaga bado mnaongea,Makonda kashiriki mwanzo mwisho na kulia kalia bado mmemwita mnafiki,Jide hajaenda kabisa katika msiba mnamwita ana roho mbaya.Hivi mlitaka Diamond afanyeje.

Alafu unamlaumu Jide ,Jide alifiwa na mama yake mzazi lakini si staff wa CMG wala marehemu walioenda kwenye msiba Jide,lkn sijaona watu kuwalaumu CMG.
 
Diamond hata tatizo lolote, tatizo lipo kwa mashabiki maandazi hawa,Hivi hukujua Diamond alkua anausoma mchezo?

Watz ni wanafki sana,unavyotaka Diamond afanye mkuu,,watu bado wangemuita mnafki,angalia wenzie walivyo post wakaitwa wanafki,

The best way ni kukaa kimya na kufanya yaliyo sahihi,kama alivyo fanya and yet bado wakazid kumsema.

Kiboko wa hizi kazi ni Jide,kafuta picha zote kaacha moja na kamute comments,,labda uende DM ,muda mwingne mashabiki wanaweza kukupa stress tu..

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ni bora kuitwa Mnafiki kwa tukio ambalo ni la muda tu, kuna kesho, kuna mwezi ujao, mwaka ujao n.k ambapo atahitaji kuona kuwa jana, Mwezi uliopita au mwaka uliopita nilifanya jambo sahihi.

Akishakosea hakuna namna ya kurejea.
 
Mondi kaenda mwishoni siku ya kuaga bado mnaongea,Makonda kashiriki mwanzo mwisho na kulia kalia bado mmemwita mnafiki,Jide hajaenda kabisa katika msiba mnamwita ana roho mbaya.Hivi mlitaka Diamond afanyeje.

Alafu unamlaumu Jide ,Jide alifiwa na mama yake mzazi lakini si staff wa CMG wala marehemu walioenda kwenye msiba Jide,lkn sijaona watu kuwalaumu CMG.
Hapa unalinganisha vitu hata havihusiani, Modi, Makonda, jide.
 
Hapa unalinganisha vitu hata havihusiani, Modi, Makonda, jide.
Vinahusiana kwa sababu watu watatu tofauti,wameshiriki TUKIO MOJA kwa style tofauti kila mmoja akapewa jina tofauti.Sasa wewe ulitaka Mondi ashiriki vipi,kama angeshiriki kama Makonda mngemwita mnafiki,kama angeamua kukaa kimya mpaka mwisho kama Jide mngewita ana roho mbaya,sasa kaamua kushiriki yeye kama yeye bado mnaongea,sasa wewe ulitaka ashiriki huu msiba kwa style gani.
 
Ni bora kuitwa Mnafiki kwa tukio ambalo ni la muda tu, kuna kesho, kuna mwezi ujao, mwaka ujao n.k ambapo atahitaji kuona kuwa jana, Mwezi uliopita au mwaka uliopita nilifanya jambo sahihi.

Akishakosea hakuna namna ya kurejea.
Lakini mbona hujiulizi kwa nini hao CMG ,marehemu pamoja na staff wake walishindwa basi,kuvaa huo unafiki unao usema wewe kwenda kushiriki msiba wa Mama yake mzazi Jide ,basi hata kutokea siku ya mwisho mbona walishindwa au nao wana roho mbaya.
 
Lakini mbona hujiulizi kwa nini hao CMG ,marehemu pamoja na staff wake walishindwa basi,kuvaa huo unafiki unao usema wewe kwenda kushiriki msiba wa Mama yake mzazi Jide ,basi hata kutokea siku ya mwisho mbona walishindwa au nao wana roho mbaya.
Mkuu mimi namuongelea Mondi.
 
Mkuu mimi namuongelea Mondi.
Kwa hiyo wewe CMG wakikosea unaona ni sawa? hawa stahili kusemwa, Ujue the way unavyo behave kwa wenzako ,hata watu wa kibehave hivyo hivyo usilalamike,wewe umesema Mondi angevaa unafiki hata kwa mda mfupi,kwanini basi Marehemu na CMG walishindwa kuvaa huo unafiki ,kwenye msiba wa mama yake mzazi Jide.
 
Kwa hiyo wewe CMG wakikosea unaona ni sawa? hawa stahili kusemwa, Ujue the way unavyo behave kwa wenzako ,hata watu wa kibehave hivyo hivyo usilalamike,wewe umesema Mondi angevaa unafiki hata kwa mda mfupi,kwanini basi Marehemu na CMG walishindwa kuvaa huo unafiki ,kwenye msiba wa mama yake mzazi Jide.
Mkuu mbona hata hatuelewani.

Hivi hao CMG wana nafasi gani waliyonayo kiumaarufu kama Mondi kwa sasa?

Mondi hapaswi kushindana na yeyote yule..awe ni hao CMG wala Kiongozi fulani, hao wapambane na hali zao, yeye Mondi aangalie nafasi yake.
 
Mkuu mbona hata hatuelewani.

Hivi hao CMG wana nafasi gani waliyonayo kiumaarufu kama Mondi kwa sasa?

Mondi hapaswi kushindana na yeyote yule..awe ni hao CMG wala Kiongozi fulani, hao wapambane na hali zao, yeye Mondi aangalie nafasi yake.
Nafasi yake vipi?.Ila kaa ukijua haijalishi una nafasi gani ,kwani watu wana kujugde kutokana na ushiriki wako na si nafasi yako.
 
Diamond yeye ajitafakari na atambue nafasi yake kwenye jamii kwa sasa, kuna wakati wa kuwaridhisha Wachache na kupoteza kwa wengi na vice versa...muhimu ni aangalie tukio lililopo mbele yake kwa wakati huo.

Suala la msiba ni jambo zito na lenye mguso kwa jamii nzima, busara inahitajika kuliko kufuatisha kila wanachokitaka Mashabiki/Wafuasi, Wao wana nafasi yao na yeye vile vile ana ya kwake mbele ya jamii.

Ni vizuri akatafakari ni kwa nini ameandamwa yeye na si wengine? nani kahangaika na jide kwa mfano.

Diamond alipaswa kuonyesha mapema kuwa amechukua mwelekeo tofauti mara tu baada ya msiba, sio lazima kwamba angemposti ama vipi...ila bado kuna mengi angeweza kufanya tena kwa busara tu.

Diamond anaangaliwa na kufuatiliwa na wengi haswa kwa ulimwengu huu wa mtandaoni, awe makini sana na mwenendo wake haswa kwa yale yanayohitaji busara.
Hivi kwanini nyie watu mnataka kutuaminisha kwamba Diamond ilikuwa piga ua NI LAZIMA AENDE NYUMBANI ULIKOKUWA MSIBA WA RUGE? Tuache unafiki, issue sio kufuatiliwa na wengi bali Wabongo ni ma-haters! 99% ya wale wanaopiga kelele ni HATERS hata kabla Ruge hajaanza kuumwa!!!

Hivi wewe binafsi unaweza kunitajia sababu MOJA TU ya msingi, huo ULAZIMA wa Diamond kwenda nyumbani msibani unatokana nini?!

Nani kahangaika na Jide; jibu simple! Wote wanaohangaika na Mond ni wanafiki na haters, PERIOD! Vinginevyo nitajie sababu moja ya msingi why Diamond and not Jide ambae alilelewa na Smooth Vibe ya Ruge!!!

Tena kimsingi Mond kafanya jambo poa sana, kuwapa HATERS what they didn't expect!!
 
Mkuu mbona hata hatuelewani.

Hivi hao CMG wana nafasi gani waliyonayo kiumaarufu kama Mondi kwa sasa?

Mondi hapaswi kushindana na yeyote yule..awe ni hao CMG wala Kiongozi fulani, hao wapambane na hali zao, yeye Mondi aangalie nafasi yake.
Kwani anashindana na nani?! Kwenye msiba wa Masogange alienda home?! Kwenye msiba wa Zilla alienda home msibani?! Kwanini uone kutokwenda home kwa akina Ruge ni kushindana na watu wa CMG?! Hivi hata wewe nikikuuliza "ugomvi" wa Ruge na Diamond ni upi, unaweza kunitajia?! Nauliza kwa sababu sijawahi kusikia popote kama wanavyosema haters kwamba eti Diamond alimdhalilisha Ruge! Ukiwauliza alimdhalilisha nini, hawajibu!!! Na binasfi sijawahi kumsikia akimlalamikia Ruge personally popote zaidi ya siku aliyoilalamikia Clouds, ambao it's more of business issue than personal kama mnavyotaka kutuaminisha!!
 
Lakini mbona hujiulizi kwa nini hao CMG ,marehemu pamoja na staff wake walishindwa basi,kuvaa huo unafiki unao usema wewe kwenda kushiriki msiba wa Mama yake mzazi Jide ,basi hata kutokea siku ya mwisho mbona walishindwa au nao wana roho mbaya.
Mkuu May Day, ukishajibu hili swali naomba uni-tag Chifu!
 
Hivi kwanini nyie watu mnataka kutuaminisha kwamba Diamond ilikuwa piga ua NI LAZIMA AENDE NYUMBANI ULIKOKUWA MSIBA WA RUGE? Tuache unafiki, issue sio kufuatiliwa na wengi bali Wabongo ni ma-haters! 99% ya wale wanaopiga kelele ni HATERS hata kabla Ruge hajaanza kuumwa!!!

Hivi wewe binafsi unaweza kunitajia sababu MOJA TU ya msingi, huo ULAZIMA wa Diamond kwenda nyumbani msibani unatokana nini?!

Nani kahangaika na Jide; jibu simple! Wote wanaohangaika na Mond ni wanafiki na haters, PERIOD! Vinginevyo nitajie sababu moja ya msingi why Diamond and not Jide ambae alilelewa na Smooth Vibe ya Ruge!!!

Tena kimsingi Mond kafanya jambo poa sana, kuwapa HATERS what they didn't expect!!
Mbona unauliza na kujijibu mwenyewe bila kujua.

Hao haters 99%(sijui kwa utafiti upi) ndio hao hao mashabiki anaowahofia yeye kwamba watamuandama iwapo atatenda vile wao wasivyopendezwa.

Na mimi kuhoji ni kwa nini Mondi na sio jide, ni dhahiri kuwa Mondi ndiye mwenye wafuasi wengi kwa sasa, impact yake si ya kulinganishwa na Wenzake wengi, anachofanya Mondi athari yake ni tofauti na mwingine walau kwa wakati huu.

Na sijui ni kwa nini unashabikia afanye jambo lenye sura ya ukatili kuliko busara ili hali hana chochote cha kupoteza kwa kuonyesha busara.

Shabiki wa aina yako bila shaka pia umejijumuisha kati ya hao WANAFIKI unaowataja hapo juu.
 
Ila tuwe serious kidogo. Kabisa unaamini bila Tale Diamond asingefika hapo alipo?! Really?!
Atakua hajui history za wote na lini Tale alianza kuwa Manager wa Mondi;Ruge alikua hataki kuwa manage directly wasanii so akina Tale na Fela ndio walikua bosheni ila Ruge ndio Manager wa Mondi aliyemtoa baada ya kuachana Papaa Misifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unauliza na kujijibu mwenyewe bila kujua.

Hao haters 99%(sijui kwa utafiti upi) ndio hao hao mashabiki anaowahofia yeye kwamba watamuandama iwapo atatenda vile wao wasivyopendezwa.

Na mimi kuhoji ni kwa nini Mondi na sio jide, ni dhahiri kuwa Mondi ndiye mwenye wafuasi wengi kwa sasa, impact yake si ya kulinganishwa na Wenzake wengi, anachofanya Mondi athari yake ni tofauti na mwingine walau kwa wakati huu.

Na sijui ni kwa nini unashabikia afanye jambo lenye sura ya ukatili kuliko busara ili hali hana chochote cha kupoteza kwa kuonyesha busara.

Shabiki wa aina yako bila shaka pia umejijumuisha kati ya hao WANAFIKI unaowataja hapo juu.
Kwani MONDI kafanya nini,si ameshiriki msiba au wewe ulitaka afanyeje.mbona mnataka kuchukua uhuru wa mtu kuishi kwa kumpangia afanye atakavyo ww,sasa yeye atakuwa nani.
 
Kwani MONDI kafanya nini,si ameshiriki msiba au wewe ulitaka afanyeje.mbona mnataka kuchukua uhuru wa mtu kuishi kwa kumpangia afanye atakavyo ww,sasa yeye atakuwa nani.
Sasa Mkuu kama kila kitu umeona kuwa kimeenda sawa, sioni tena hata haja ya kulumbana.

Hii ni picha tosha kwake kwamba Mondi ana Mashabiki wa kila aina, wapo watakaomshangilia kila anachofanya, hata kama atamchoma Mtu kisu hadharani.

Kupanga ni kuchagua, na mimi pia kama Shabiki wake nimechagua upande wa kuona anajitahidi kufanya yenye busara kwa kila lililo ndani ya uwezo wake.

Kiufupi Mondi amezengua, ila bado ana nafasi ya kufanya jambo kujifsafisha.
 
Back
Top Bottom