Pre GE2025 Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

Pre GE2025 Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

usser

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
13,956
Reaction score
14,032
Mbunge wa morogoro kusini masharik
Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800.

Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe

Hii ingekua imefanywa na chadema
tungekua tunaongea mengine mda huu
Screenshot_2024-05-26-15-30-56-649_com.instagram.android.jpg
 
Mtu anatoa rushwa hadharani kabisa na anajisikia fahari kufanya hivyo 🙆🏿‍♂️Hizi ndio sehemu takukuru walikua wanapaswa kuchukua point tatu muhimu za ugenini, lakini mfumo wa serikali ya ccm ndio una tengeneza na kulea huu upumbavu
 
Back
Top Bottom