Pre GE2025 Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

Pre GE2025 Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu anatoa rushwa hadharani kabisa na anajisikia fahari kufanya hivyo 🙆🏿‍♂️Hizi ndio sehemu takukuru walikua wanapaswa kuchukua point tatu muhimu za ugenini, lakini mfumo wa serikali ya ccm ndio una tengeneza na kulea huu upumbavu
Yaaaan anajua hata akitangaza hadharan chama kina mlinda hakuna WA kumshtaki
 
Mbunge wa morogoro kusini masharik
Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800.

Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe

Hii ingekua imefanywa na chadema
tungekua tunaongea mengine mda huu
View attachment 2999978
Ahahahahaha! Lissu yupo bize anawakamua wananchi walalahoi kwa michango ya kila siku, halafu anadai akiwa Rais na chama chake eti watawaletea maendeleo! Ahahahahaha!!
 
Tafsiri ya rushwa ni kwamba ni lazima kuwepo na ombi la hongo na pili *kupokea na tatu *manufaa ya kupokea hongo.

Hapa tumeona tu wajumbe wamepokea fedha kitu ambacho ni kawaida sana, na siyo kosa.

Mleta taarifa hajaonyesha iwapo hao wajumbe waliomba na iwapo waliomba na ili wamtendee nini mtoaji.
 
Back
Top Bottom