Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kajibu uzi wako kule wewe acha kujidai sio wewe. Au umejianzishia mwenyewe 🤣50000*800= 40,000,000
Watu wana hela!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajibu uzi wako kule wewe acha kujidai sio wewe. Au umejianzishia mwenyewe 🤣50000*800= 40,000,000
Watu wana hela!
TAKUKURU inakimbizana na VEOsMtu anatoa rushwa hadharani kabisa na anajisikia fahari kufanya hivyo 🙆🏿♂️Hizi ndio sehemu takukuru walikua wanapaswa kuchukua point tatu muhimu za ugenini, lakini mfumo wa serikali ya ccm ndio una tengeneza na kulea huu upumbavu
Ukijibu wewe inatosha,Kajibu uzi wako kule wewe acha kujidai sio wewe. Au umejianzishia mwenyewe 🤣
Na ambavyo masikini wakiona noti wanapagawa, hiyo imeendaHiyo 50k inaenda kuwagharimu watu miaka mitano tena
Huko watu ni mazobaHiyo pesa naiman angewajengea hata barabara au hata visîma vya maji viwasaidie ingependeza zaidi
Inasikitisha sanaNa ambavyo masikini wakiona noti wanapagawa, hiyo imeenda
AnazoMbunge wa morogoro kusini masharik
Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800.
Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe
Hii ingekua imefanywa na chadema
tungekua tunaongea mengine mda huu
View attachment 2999978
Nyie pelekeni maneno muone moto 😁😁Rushwa ya wazi
Yaaaan anajua hata akitangaza hadharan chama kina mlinda hakuna WA kumshtakiMtu anatoa rushwa hadharani kabisa na anajisikia fahari kufanya hivyo 🙆🏿♂️Hizi ndio sehemu takukuru walikua wanapaswa kuchukua point tatu muhimu za ugenini, lakini mfumo wa serikali ya ccm ndio una tengeneza na kulea huu upumbavu
Kwanza Watanzania Huwa hawataki mambo mengi Bali ujinga ujinga wa kuwafanya wafurahi na pesa tuu kama hivi 👇Mbunge wa morogoro kusini masharik
Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800.
Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe
Hii ingekua imefanywa na chadema
tungekua tunaongea mengine mda huu
View attachment 2999978
Kwanza Watanzania Huwa hawataki mambo mengi Bali ujinga ujinga wa kuwafanya wafurahi na pesa tuu kama hivi 👇
View: https://www.instagram.com/reel/C7bhRnyq7qf/?igsh=aWh4OG4zbjI0Y2Y0
Utahamia Kwa wale matapeli au? 😁😁😄😄😄😄😄😄😄Aiseee nihame hii nchi sasa jaman
Ahahahahaha! Lissu yupo bize anawakamua wananchi walalahoi kwa michango ya kila siku, halafu anadai akiwa Rais na chama chake eti watawaletea maendeleo! Ahahahahaha!!Mbunge wa morogoro kusini masharik
Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe wa jimbo lake Zaid ya wajumbe 800.
Huku alisema pesa hiyo sio rushwa bali imetoka mfukoni kwake mwenyewe
Hii ingekua imefanywa na chadema
tungekua tunaongea mengine mda huu
View attachment 2999978