Pre GE2025 Babu tale atoa elf 50 Kwa kila mjumbe jimbon kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaaaan anajua hata akitangaza hadharan chama kina mlinda hakuna WA kumshtaki
 
Ahahahahaha! Lissu yupo bize anawakamua wananchi walalahoi kwa michango ya kila siku, halafu anadai akiwa Rais na chama chake eti watawaletea maendeleo! Ahahahahaha!!
 
Tafsiri ya rushwa ni kwamba ni lazima kuwepo na ombi la hongo na pili *kupokea na tatu *manufaa ya kupokea hongo.

Hapa tumeona tu wajumbe wamepokea fedha kitu ambacho ni kawaida sana, na siyo kosa.

Mleta taarifa hajaonyesha iwapo hao wajumbe waliomba na iwapo waliomba na ili wamtendee nini mtoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…