Babu Tale jipange sana awamu hii; awamu ijayo usiuwaze Ubunge

Kiukweli hata mimi huwa najiuliza sana iliwezekana vipi tale kuwa mbunge. Yule jamaa namfahamu sana kichwani hamna kitu kabisa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Aisee wala wasisubutu nitawalamba wabunge wote wa viti maalumu pale bungeni plus watoto zao pia

Utawalamba au mtalambana😮😮😮😮😮😮
Mimi nafikiri hicho ni kitendo shirikishi tena kwa makubaliano
 
Hivi hiyo 250M inakatwa kodi kama walivopitisha sheria kwamba viinua mgongo vya wengine vikatwe?
 
Yule jamaa ni hewa na hajuagi hata kuchangia hoja
Bingwa ndumba tu kwa wasanii ....na kuzuia mvua ukitaka kutoka yeye akupeleke wachawi zaidi hapo hakuna ajualo...mmkewe RiP kamtoa kafara apate ubunge shame....
 
Jamaa alisema : “itategemea atakavyoamka siku ya kupitisha majina ya kura za maoni”

[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…