Yeye mwenyewe mbona ameshawahi kukiri mkuu ..kuwa huwa anatumia invisible power ili aweze kufanikisha malengo yake ..so Mimi na wewe nikina nani haswaa mpaka tupinge wisdom yake ... ?Mkuu
Be honest.
Tukiachana na hicho unakiita kusadikika lakini michango yako kwenye suala hilo inajieleza wazi kwamba unaamini yaliyomo yamo
Nasubiria kwa uhamu ubuyu huu nisije kosa usingiziUwiiiiiiiih dea ngja ntakupa tyuuh, naona si sahihi kuumwaga hapa.
Haya basi kamsaidie kupiga kampeni
Sasa km wee hushiriki kwenye kuamini hilo si ukae kimya, Kuamini kitu sio lazima ukione au ukifanye, sasa ndo nakuambia talle kamtoa kafara mkewe ili apate ubunge, kazi kwako kuamini au usiamini, then relaaaaaaaaaaaaaxKati ya mimi na nyinyi nani anaumia ?
Off course sihusiki kwenye ujinga wenu wa kuamini ushirikina so possibly wewe unahusika na hizo mambo.
Waambie nyumbani kwenu huo ujinga.Sasa km wee hushiriki kwenye kuamini hilo si ukae kimya, Kuamini kitu sio lazima ukione au ukifanye, sasa ndo nakuambia talle kamtoa kafara mkewe ili apate ubunge, kazi kwako kuamini au usiamini, then relaaaaaaaaaaaaax
Mbona na wewe umekuja kwa majungu rafikiUkiwataka kujua tabia halisi za watanzania walio wengi , angalia post 1 hadi 100 kama sample.
Utaona mawazo yao yamejaa kwenye
1. Uvivu wa fikra
2. Wivu
3. Kupiga majungu
4. Kupenda udaku
5. Kufuatilia maisha ya watu
6. Unafki
7. Ushirikina
8. Ignorance
9. Kutokunitambua.
Sio hapa bhan labda pm.Nasubiria kwa uhamu ubuyu huu nisije kosa usingizi
Wanavyompangia maisha utafikiri akikosa hela ya mboga watamchangia.Tumuache mtu afanye ANACHOJUA.
yeye ndo anajua ukweli wa kifo cha mke wake.
Mtu alipanga mipango yake muda mrefu kuwa atagombea ubunge.
Alafu ninyi mnataka asogeze mbele mpaka miaka 5 ijayo.muda haumsubiri mtu wakati NI HUU.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ndefu Sana eti anagombea ili awe na maisha mazuri na sio uwakilishi bungeni wa wananchi wakeKwa hiyo anagombea ubunge kwa ajili ya watoto Wake sio?!
Ndio maana bunge limejaza vilaza kazi yao kuitikia ndioooo na kugonga meza as long as posho zinaingia na watoto wao wanaishi maisha mazuri.
They don’t care about poor Tanzanias who suffer everyday under poverty, Ignorance and diseases.
Tuna safari ndefu kama taifa[emoji2954]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] it's simple meza wembeeeeeh, hata usijipe matatzo ya bureeeeh. Poleeeeeeeeeh lolWaambie nyumbani kwenu huo ujinga.
Huyo. Mpenda umbeya hafu anajifanya mjanja kuharibu tu mtiririko wa ubuyuWee unadhan kwamba naropoka? Poleeeeeh huyu prof namjua tangu babu yake hadi vitukuu vyake, kwao napafahamu kinaga ubaga, na watoto wa ndugu zake nimesoma nao. Ila siwezi kuelezea hapa couz hausiki yeye. Tunajadili kuhus talle.
Nashangaa wanachotetea Nini hapoYeye mwenyewe mbona ameshawahi kukiri mkuu ..kuwa huwa anatumia invisible power ili aweze kufanikisha malengo yake ..so Mimi na wewe nikina nani haswaa mpaka tupinge wisdom yake ... ?
MkuuYeye mwenyewe mbona ameshawahi kukiri mkuu ..kuwa huwa anatumia invisible power ili aweze kufanikisha malengo yake ..so Mimi na wewe nikina nani haswaa mpaka tupinge wisdom yake ... ?
Haya mwayaSio hapa bhan labda pm.
Mbona na wewe unapangia watu Cha ku comments na usichotaka waita ignorance, tuvumiliane na kuheshimiana tu basiWanavyompangia maisha utafikiri akikosa hela ya mboga watamchangia.
Collegemate mimi ni anti u busybody.Mbona na wewe umekuja kwa majungu rafiki
No bwana mhhhhCollegemate mimi ni anti u busybody.
Mnajifanya mnawajua kuliko hata wanavyojijua wenyewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] it's simple meza wembeeeeeh, hata usijipe matatzo ya bureeeeh. Poleeeeeeeeeh lol
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawee umekuja kuunga trailer haya uliyoandika [emoji115][emoji115]Ukiwataka kujua tabia halisi za watanzania walio wengi , angalia post 1 hadi 100 kama sample.
Utaona mawazo yao yamejaa kwenye
1. Uvivu wa fikra
2. Wivu
3. Kupiga majungu
4. Kupenda udaku
5. Kufuatilia maisha ya watu
6. Unafki
7. Ushirikina
8. Ignorance
9. Kutokunitambua.