Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Kwahio alikuwa anaumia ndan kwa ndani ryt?
 
Acha nicheke khaahaaaaaaaa haaaaaa uyo anajisumbua awezi kabisa kumtoa abood bus hapo Youngtong ndani ya nyumba labda aenda akagombanie samvura chore
Abood moro town

Ova
 
Yeah .. Mimi nimewahi kuwa katika industry ya music long time kidogo .. Ukiwa unataka kutoka na u -hit lazima kuna mambo mengi ya uongo udanganye danganye ili uweze kupata kuwin mioyo ya hadhira ...moja ya mambo hayo lazima u-create story ya udanganyifu inayo husu maisha yako strory ambayo itakuwa inasikitisha sikitisha ili upate sympathy toka katika society kisha unampatia muandishi story hiyo ana i-edit na kuipublish katika magazeti au online .....

Pia kwa miaka ile ambayo social network zilikuwa bado hazi take over Africa ... Hapa bongo mastar walikuwa wanamlipa shigongo then wana tengenezewa fake scandal ili wa hit ... Full propaganda

So kwa sisi wengine tunaoelewa hiyo michezo huwa tuna wachora tu vijana jinsi wanavyo geuzwa mapopoma mpaka wanakuwa mashabiki maandazi
 
Kwani hawezi kuomboleza huku anaendelea na shughuli zake? Kwani Mbunge/Kiongozi akifiwa na Mwenza na shughuli zote huwa zinakoma?
 
msichokijua misiba ya kiislam haina mambo mengi hivo kupga kelele kwenu ni sawa na kazi bure.
 
Sioni kama sababu ya kufiwa ni sababu ya msingi ya yeye kutogombea ubunge.

Maisha lazima yaendelee.
 
Maisha lazima yaendelee,hata akijivundika "eda" mwaka mzima hakuna jipya.

Watu wanafiwa mke leo mwezi ujao anaoa mwingine rasmi itakuwa hiyo ya kutafuta mkate week baada ya kufiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…