zacha
JF-Expert Member
- Feb 28, 2009
- 1,205
- 1,880
Aisee mm mke wangu akifa itanichukua miaka 3 mpaka 4 kuja kukaa sawa kiakili na hii timu ya mpira ya watoto 6 nilio nayo mbn nitapagawa nitalia na kugalagala kama mtoto mdogo japo mke wangu anamapungufu Mengi mno lakini nitapagawa na kudata mno nitamkubuka kwa Mengi sana hasa nikiwa namuangakia uyu mtoto wa mwisho binti wa miaka 2 aisee nitadata mno yani nikiwa nakiangalia kitanda nitakuwa silala aisee nitakuwa
Nawaza nitamtania nani?,nitapikiwa na nani?,nitafuliwa nguo na nani,?nitanyolewa kipara changu cha kichwani na nani dongo,?nitanyolewa ndevu na nani mana nature ya kazi yangu ndevu kila wiki na nyoa tena zote na iyo kazi ya wife.,?nitakatwa kucha zangu na kusuguliwa miguu na nani.,?? Aisee ni Mengi sitachanganyikiwa mno
Acha kabisa kusu mke wewe wanatusumbua lakini wao ndo kila kitu ndani ya nyumba...MUNGU muweke mke wangu tuzeeke pamoja..
POLE babu tale kwa kipindi iki kigumu mke anauma mno...japo wanawake wapo wengi kumpata mtu sahihi ni ishu sana...
Mkuu,
Mula umenena maneno kuntu sana
Hilo lijamaa halina soni kabisa na yawezekana
maneno yanayosemwa hapa na wadau yakawa ya kweli.
Hivi kweli cheo kina thamani kushinda utu?
Ama kweli wonders shall never cease.