Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Hakika hii ni point ya kuchukua hakuna namna zaidi ya kukuunga mkono kwamba hii ni kafara.Kishatoa kafara anaendelea na kutafuta ubunge. View attachment 1496240
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika hii ni point ya kuchukua hakuna namna zaidi ya kukuunga mkono kwamba hii ni kafara.Kishatoa kafara anaendelea na kutafuta ubunge. View attachment 1496240
Jamaa ni drug dealer kitambo sana .. Ila watu hawajui nawashangaa watu wanaomuitaga marioo .. Yule kwa bi-sandra yupo kwaajili ya mipango yao ya ku-supply powder ..alishawahi kufungwa Pakistan kwa sababu alikuwa anapeleka ngada huko .. So ana connection kibao za kuuza unga that's why kina dai and co. Wakumuweka karibu na wao .. In short wcb yote wanauza unga na ndio issue zinazo wapa pesa mziki ni kivuli tu cha kujifichia .. Na sio Wcb pekee hata alikiba na dimpo ni punda wa Joho 001Nadhani bado wana penyeza kimtindo madawa ,serikali ikae vizuri na yule mnaita uncle shamte ana genge pia la madawa.....kijiwe chake kiko morogoro misufini na nyuma ya soko jipya ,
Ouk sawa nashukuru kwa hilo. But huyu talle tunamtilia shaka couz ameshawahi kukiri hadharan zaidi ya mara 3 kuwa yeye ni mlozi. MmmmmmhKwa hiyo mwenzangu maneno yote unayosoma mtandaoni unayabeba kama yalivyo?
Na inamaana hamjui Tale moro kwao,lazima tu angerudi sababu ya mambo ya msiba hata kama sio ubunge?
Na ni vema kama ameamua amalize maombolezo yake aunge na mambo mengine.
Its all good.Huu ni mtazamo wangu na maoni yangu.Hatupaswi kufanana.Duniani tunatofautiana sana kimtazamo.
Ni kipi ataanza kujenga kati ya Kaburi na Nyumba?, na kama alikuwa anasubiri Ubunge ndo ajenge kwao basi hata watakaomchagua wamepotea......na WAMEJIPOTEZA hajui wajibu wake na wala si mtu wakutegemewa saana naona kuna vitu vinambeba na si kingine ni Nyota za watu.Nimewashangaa sana watanzania wenzangu.
Wana mawazo ya kimaskini maskini.Yani mipango ulopanga miaka 5 ilopita isimame kisa Mke aliyefariki?
Huu unafiki tu.Tena akiwa morogoro ndiyo vizuri awe karibu na kaburi la mkewe ajengee vizuri.Na ikiwezekana akimaliza maombolezo aoe haraka sana asiwe mpweke.
Kunatofauti kati ya FAKE na unchokiita Kanuni............Kumbe mna 'kanuni' zenu maalumu za kuomboleza na kulia japo mmetoka katika background na maisha tofauti?
Eeeh makubwa watu wanajua uncle shamte ni marioo kumbe ana connection kubwa na amewahi kufungwa Hadi jela, hii ya wcb kuuza Ganda naweza Amini hyo ya ommy dimpoz na Ali kiba kumbe ni mapunda wa gavana joho nilikuwa nashangaa Sana urafiki wa kiba, Hadi akaozeshwa mke na sherehe juu. Maana ukiangalia show walizofanya haziendani na vipato vyaoJamaa ni drug dealer kitambo sana .. Ila watu hawajui nawashangaa watu wanaomuitaga marioo .. Yule kwa bi-sandra yupo kwaajili ya mipango yao ya ku-supply powder ..alishawahi kufungwa Pakistan kwa sababu alikuwa anapeleka ngada huko .. So ana connection kibao za kuuza unga that's why kina dai and co. Wakumuweka karibu na wao .. In short wcb yote wanauza unga na ndio issue zinazo wapa pesa mziki ni kivuli tu cha kujifichia .. Na sio Wcb pekee hata alikiba na dimpo ni punda wa Joho 001
Hapa si tunaongelea yeye kuendelea na shughuli zake za kisiasa?Ouk sawa nashukuru kwa hilo. But huyu talle tunamtilia shaka couz ameshawahi kukiri hadharan zaidi ya mara 3 kuwa yeye ni mlozi. Mmmmmmh
Sawa!Kunatofauti kati ya FAKE na unchokiita Kanuni............
Hilo ni maamuzi yake binafsi sasa.Ni kipi ataanza kujenga kati ya Kaburi na Nyumba?, na kama alikuwa anasubiri Ubunge ndo ajenge kwao basi hata watakaomchagua wamepotea......na WAMEJIPOTEZA hajui wajibu wake na wala si mtu wakutegemewa saana naona kuna vitu vinambeba na si kingine ni Nyota za watu.
Sorry dea naweza andka vingi but naona hatutaelewan, na pia hatuwez kuwa na mtazamo sawa,Hapa si tunaongelea yeye kuendelea na shughuli zake za kisiasa?
Kwenye swala lake la ulozi hilo lingine kabisa.Na lisemwalo lipo ama halipo.Tena kama aliua kwa malengo haya ni sawa tu amalizie mauchawi yake kabla hayaja expire.
Na hata kama hajafanya faulo yeyote kuendelea na shughuli zake huko moro ni sawa tu.
Vee ameamua kuwa Mkweli asee kuna UTOPOLO Mwingi sana kwenye hivi vitu vinaitwa Sanaa...Jamaa ni drug dealer kitambo sana .. Ila watu hawajui nawashangaa watu wanaomuitaga marioo .. Yule kwa bi-sandra yupo kwaajili ya mipango yao ya ku-supply powder ..alishawahi kufungwa Pakistan kwa sababu alikuwa anapeleka ngada huko .. So ana connection kibao za kuuza unga that's why kina dai and co. Wakumuweka karibu na wao .. In short wcb yote wanauza unga na ndio issue zinazo wapa pesa mziki ni kivuli tu cha kujifichia .. Na sio Wcb pekee hata alikiba na dimpo ni punda wa Joho 001
Kusafiri nje ya inchi...mfano ulaya ,,marekani ,,,Canada,,Australia,,, China,,nk,,Heheehe baba yao siyupo mkuu wa jiji ...biashara inakuwaje ngumu kwao
Morogoro vijijini mbunge alikuwa Mzee Mbena. Hilo jimbo ukiwa chama tawala unachukua mapema.Ni Morogoro vijijini ndo anagombea. Sijui ni nani mbunge wa Morogoro vijijini anaemaliza muda wake.
Hagombei Moro Mjini ni Moro Vijijini?Ila kumtoa Abood moro mjini ni shughuli sana na wananchi wanamkubali mno uyo babutale akamuulize afande sele alipata kula ngapi 2015
Naam ndio maisha ya sanaa yalivyo duniani kote ..je haujaisikia ile taarifa iliyo chapishwa na fobes wakadai kwamba Kyle Jenner alitoa fake report kuhusu thamani ya utajiri wake ili aanekane kuwa ndiye tajiri namba 1 kijana duniani . or umesahauVee ameamua kuwa Mkweli asee kuna UTOPOLO Mwingi sana kwenye hivi vitu vinaitwa Sanaa...
Mleta mada kama vile ana umama kambo Nan hilo jimbo . Nawaza tuWasalaam,
Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo ameanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa Morogoro vijijini tiketi ya CCM.
Pamoja na mpango huo ndugu zake wa karibu wamekuwa wakiweka shinikizo la kupinga ndugu yao kugombea ubunge hasa kipindi hiki ambacho amefiwa na mke wake na uchaguzi umekaribia, na bahati mbaya ni juzi ametoka kufiwa na mke wake hivyo haitaleta picha nzuri kwenye jamii kwani ubunge usimfanye akasahau utu na yeye ni mfiwa hata msiba hajapoa na hata udongo kwenye kaburi la mkewe haujashikana.
Lakini ushauri wa ndugu na watu wa karibu wa Tale umegonga mwamba kwani waki ijayo Babu Tale anatarajia kwenda kuweka kambi Morogoro kwaajili ya maandalizi ya kugombea ubunge wa Morogoro Mjini.
Yeah true ameshawahi kujinasibu hivyoOuk sawa nashukuru kwa hilo. But huyu talle tunamtilia shaka couz ameshawahi kukiri hadharan zaidi ya mara 3 kuwa yeye ni mlozi. Mmmmmmh
Niliwahiona hiyo taarifa ilinishangaza, nakubaliana na wewe kwamba Nje wanatofautiana kidogo na huku sababu ya ubora wa maisha na maendeleo halisi yaliyopo kule, nchi za wenzetu watu wanajielewa hivyo kukosolewa nje nje chaap tu, huku kuna tatizo lengine la uelewa ambalo ndo linapelekea kuwepo na majanga mengine kijamii na hasa kwenye hiyo sanaa yenyewe.Naam ndio maisha ya sanaa yalivyo duniani kote ..je haujaisikia ile taarifa iliyo chapishwa na fobes wakadai kwamba Kyle Jenner alitoa fake report kuhusu thamani ya utajiri wake ili aanekane kuwa ndiye tajiri namba 1 kijana duniani . or umesahau
Ila sasa tofauti ya mbele na huku kwetu wenzetu ijapokuwa kuna mambo wana fake lakini katika uhalisia ukwasi wanao kweli but kuna wakati wanakuzwa zaidi ya uhalisia