Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Kabla ya huo ubunge walikua wanaishi maisha gani? Na akienda akiukosa ataishi maisha gani?
Kwa hio mama akifariki.. baba asiende kutafuta kazi kwa ajili ya watoto wake waishi maisha mazuri?

Huyo huyo babu tale watoto wake wakikosa ada mtamsema mtandaoni..

Hujui ubunge unalipa sana... unajua watoto wa wabunge wanavyoishi maisha mazuri.. sasa babu tale kuwatafutia hayo maisha watoto wake mnamponda. Mnajifanya hamjui ubunge unapatikana kwa kugombea jimboni na sio kila siku kuna mda wake.. babu tale akichelewa aseme amlilie mkewe itambidi asubiri tena hadi 2025.. huku hio miaka mitano watoto wanasota maisha ya kubahatisha.. hadi diamond ampe posho
 
Duuhhh kweli hata uwe competent vipi ila kama huna referee au kujua mchezo unachezwaje kupata ni ngumu..
so hapo unaanza huko chini kumbe target ni 2025 uingie mjengoni
Na huyo referee awe na mzizi uliojichimbia chini zaidi, pia lazima utafte na waganga wakung'arishie nyota.
 
Na huyo referee awe na mzizi uliojichimbia chini zaidi, pia lazima utafte na waganga wakung'arishie nyota.

Ila hizi hela ase watu wanahangaika nazo. Ubunge tatizo una mambo mengi ndio maana kigezo cha elimu kinawekwa low hadi leo maana wakiweka mfano degree, sijui wangapi wataachia viti
 
Ila hizi hela ase watu wanahangaika nazo. Ubunge tatizo una mambo mengi ndio maana kigezo cha elimu kinawekwa low hadi leo maana wakiweka mfano degree, sijui wangapi wataachia viti
Wangeweka tu kigezo degree ujue bunge letu limekuwa kimbilio la wapuuzi wasio weza hata kutunga sera, yani imekuwa sehemu ya watu kwenda kupiga hela kiurahisi, iweje dereva wa mbunge awe na form four qualification, plus Veta training huku mbunge yeye ajue tu kusoma na kuandika huko ka si kurogwa Nini?
 
Wangeweka tu kigezo degree ujue bunge letu limekuwa kimbilio la wapuuzi wasio weza hata kutunga sera, yani imekuwa sehemu ya watu kwenda kupiga hela kiurahisi, iweje dereva wa mbunge awe na form four qualification, plus Veta training huku mbunge yeye ajue tu kusoma na kuandika huko ka si kurogwa Nini?

Ukitumia akili sana bongo utawehuka au kuwa bitter siku zote. Hicho kitu hata mimi huwa naona haki_make sense
 
Tatizo kwa Diamond mgawo ni wengi. Na madawa ya kulevya biashara Magufuli kabana. Sasa kisa ni popular kishajiona anafaa kuwa mbunge. Any way ni haki yake kikatiba.
Nadhani bado wana penyeza kimtindo madawa ,serikali ikae vizuri na yule mnaita uncle shamte ana genge pia la madawa.....kijiwe chake kiko morogoro misufini na nyuma ya soko jipya ,
 
Kabla ya huo ubunge walikua wanaishi maisha gani? Na akienda akiukosa ataishi maisha gani?

Umeneja wake kuna maslahi anapata kiasi.. amelinganisha na ubunge maslahi atapata makubwa zaidi..

Ni sawa na mfanyakazi anavyotafuta kazi kampuni nyingine yenye maslahi zaidi kwa ajili ya familia yake.

Sio sababu una hela ya kula usitafute fursa yenye hela nyingi zaidi

Kama akikosa ubunge ataendelea na kipato chake cha wastani.. ila hata watoto wakikua wataelewa baba alijaribu kututafutia maisha bora.. hakua baba bwege bwege

Mpumbavu ndie anaogopa kujaribu
 
Ukitumia akili sana bongo utawehuka au kuwa bitter siku zote. Hicho kitu hata mimi huwa naona haki_make sense
Sio kutumia akili sisi tumewekeza vitu vya kipuuzi that's why akili hazitumiki effective
 
Kabisa. Maana mwanamke ndo anaemjua vizuri mmewe. Aliona mwanaume hawezi kulea watoto. Amekalia ushirikina tu. Picha za social media zinacover mengi.
Awali nilikua sikuelewi, ila sasa nakuelewa , sema sasa nahisi wewe ni kigogo2014 [emoji38][emoji38][emoji38] ila umekuja kivingine maana una taarifa za ndani
 
Sasa kwanini mmeambiwa msiba UTABAKI MILELE?.
Mtu kafa keshakufa na wamezika mnataka mwenzenu asiendelee na mipango yake kisa msiba?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Haraka hizo za nini hata arobaini haijafika, mke ni kitu kingine kaawaacha watoto wadogo sana halafu mume kazika tu mbio kaanza na siasa, jipe muda kutafakari.
 
kutangaza nia ya kugombea.nayo inataka hadi arobaini IISHE?
Msipangje watu jinsi ya KUISHI.
Maana haya mnayosema hayapo kwenye biblia wala quran
Haraka hizo za nini hata arobaini haijafika, mke ni kitu kingine kaawaacha watoto wadogo sana halafu mume kazika tu mbio kaanza na siasa, jipe muda kutafakari.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana Uo umeneja wake ni bora kuliko uo Ubunge usione wanaendesha yale ma V8 ukawaona wa mana sana uliza uambiwe
Umeneja wake kuna maslahi anapata kiasi.. amelinganisha na ubunge maslahi atapata makubwa zaidi..

Ni sawa na mfanyakazi anavyotafuta kazi kampuni nyingine yenye maslahi zaidi kwa ajili ya familia yake.

Sio sababu una hela ya kula usitafute fursa yenye hela nyingi zaidi

Kama akikosa ubunge ataendelea na kipato chake cha wastani.. ila hata watoto wakikua wataelewa baba alijaribu kututafutia maisha bora.. hakua baba bwege bwege

Mpumbavu ndie anaogopa kujaribu
 
Inawezekana Uo umeneja wake ni bora kuliko uo Ubunge usione wanaendesha yale ma V8 ukawaona wa mana sana uliza uambiwe

Nitajie mbunge ambaye babu tale anamzidi maisha...

Ubunge una posho lukuki.. huku mziki ni msimu tu.. na hela kubwa anaipata mwanamziki diamond sio babu tale
 
Wasalaam

Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo aneanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa morogoro mjini kupitia tiketi ya CCM!


Pamoja na mpango huo ndugu zake wa karibu wamekuwa wakiweka shinikizo la kupinga ndugu yao kugombea ubunge hasa kipindi hiki ambacho amefiwa na mke wake na uchaguzi umekaribia....na bahati mbaya ni juzi ametoka kufiwa na mke wake

hivyo haitaleta picha nzuri kwenye jamii kwani ubunge usimfanye aka sahau utu na yeye ni mfiwa hata msiba hajapoa na hata udongo kwenye kaburi la mkewe haujashikana!

Lakini ushauri wa ndugu na watu wa karibu wa Tale umegonga mwamba kwani waki ijayo Babu Tale ana tarajia kwenda kuweka kambi morogoro kwaajili ya maandalizi ya kugombea ubunge wa morogoro mjini
Hilo jimbo gumu sana kwake,mimi huko ndipo ninapo tokea kuna kiongozi mmoja wa CCM ambaye yupo ngazi ya mkoa ndiye anayepigiwa sana upatu na CCM labda aende kwa ajili za plan za 2025.
 
Aisee mm mke wangu akifa itanichukua miaka 3 mpaka 4 kuja kukaa sawa kiakili na hii timu ya mpira ya watoto 6 nilio nayo mbn nitapagawa nitalia na kugalagala kama mtoto mdogo japo mke wangu anamapungufu Mengi mno lakini nitapagawa na kudata mno nitamkubuka kwa Mengi sana hasa nikiwa namuangakia uyu mtoto wa mwisho binti wa miaka 2 aisee nitadata mno yani nikiwa nakiangalia kitanda nitakuwa silala aisee nitakuwa

Nawaza nitamtania nani?,nitapikiwa na nani?,nitafuliwa nguo na nani,?nitanyolewa kipara changu cha kichwani na nani dongo,?nitanyolewa ndevu na nani mana nature ya kazi yangu ndevu kila wiki na nyoa tena zote na iyo kazi ya wife.,?nitakatwa kucha zangu na kusuguliwa miguu na nani.,?? Aisee ni Mengi sitachanganyikiwa mno
Acha kabisa kusu mke wewe wanatusumbua lakini wao ndo kila kitu ndani ya nyumba...MUNGU muweke mke wangu tuzeeke pamoja..

POLE babu tale kwa kipindi iki kigumu mke anauma mno...japo wanawake wapo wengi kumpata mtu sahihi ni ishu sana...
 
Back
Top Bottom