Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Kwani Babutale ana elimu gani tuanzie hapo kwanza ndio tujue katumwa au imekuaje
 
Hata kama ubunge unalipa, ndy lishatokea hilo la msiba mbele yake,,,anapaswa aachane nalo hilo,,,imeshakuwa mkosi huo,,,na kama ataendelea na mipango yake hiyo? basi hicho kifo cha mkewe ni sehemu ya mipango ya babu tale kugombea ubunge,,,,damu ya mtu ni nzito sana...hiyo story ya babu tale ni sawa na wale majambazi waliovamia sehemu wakafanya ubakaji na uuaji kisha wakatokomea,,, halafu asubuhi yake wakafuata mapanga yao walioyasahau Jana,,,, hyo yote ni nguvu za roho za marehemu,,,ubaya unajidhihirisha waziwawazi...
Umenena jambo zito mnoo
 
Kwa hio mama akifariki.. baba asiende kutafuta kazi kwa ajili ya watoto wake waishi maisha mazuri?

Huyo huyo babu tale watoto wake wakikosa ada mtamsema mtandaoni..

Hujui ubunge unalipa sana... unajua watoto wa wabunge wanavyoishi maisha mazuri.. sasa babu tale kuwatafutia hayo maisha watoto wake mnamponda. Mnajifanya hamjui ubunge unapatikana kwa kugombea jimboni na sio kila siku kuna mda wake.. babu tale akichelewa aseme amlilie mkewe itambidi asubiri tena hadi 2025.. huku hio miaka mitano watoto wanasota maisha ya kubahatisha.. hadi diamond ampe posho
Hii comment yako imesukumwa na pepo baya linalokupeleka puta.
Unataka kutuaminisha kwamba bila kuwa mbunge hawezi kuishi vizuri sio?
Kwani sasa hivi ni mbunge?
Maisha yake yanaenda ama yamekwama?
Kiutaratibu wa binadamu aliyefiwa ni lazima asimamishe mambo yake kwa muda ndio maana halisi ya kuanua tanga, sasa yeye hata siku bado au kamtoa mwenzake kafara ili akashindanie ubunge?

Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
 
umeruka point ya msingi yani unataka kufika kigoma ila unazungukia marekani
unasema kua autafute ubunge ili awe na maisha mazuri, ndio nauliza hayo maisha mazuri hajawapa wanae au na mkewe akiwa bado yupo hai? Mume upo ila mkeo anazunguka kuomba msaada kwanini...

Unataka kuniambia kua Tale hakuwa na msaada kwa mke wake? Una uhakika? Ni stori tu hizo unaziskia kwa watu mkuu.
 
Wasalaam,

Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo ameanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa Morogoro vijijini tiketi ya CCM.

Pamoja na mpango huo ndugu zake wa karibu wamekuwa wakiweka shinikizo la kupinga ndugu yao kugombea ubunge hasa kipindi hiki ambacho amefiwa na mke wake na uchaguzi umekaribia, na bahati mbaya ni juzi ametoka kufiwa na mke wake hivyo haitaleta picha nzuri kwenye jamii kwani ubunge usimfanye akasahau utu na yeye ni mfiwa hata msiba hajapoa na hata udongo kwenye kaburi la mkewe haujashikana.

Lakini ushauri wa ndugu na watu wa karibu wa Tale umegonga mwamba kwani waki ijayo Babu Tale anatarajia kwenda kuweka kambi Morogoro kwaajili ya maandalizi ya kugombea ubunge wa Morogoro Mjini.
Anapiga kambi! Kwani ameshapitishwa na chama? Au ndio michakato ya Mwanzo
 
Hasa alipokuja Mh. flani ambaye ameachiwa jukumu la watoto na ambapo Mke alienda kule kuacha wosia basi kilio kikapandishwa weeeeeee.....lakini ukiendelea kuangalia picha na matukio unaona kabisa ni mapichapicha..................mbaya zaidi haya mambo hayajifichi SIJUI NI KWANINI
Kweli aisee japo si jambo jema kujudge mtu ila kuna muda nilishangaa pale ndo wanaenda kupanda gari waondoke kwnd kibaha akapiga ukunga fulani halafu within a second kuna mtu alimgusa mgongoni aligeuka mweupee hana hata lepe la huzuni akamkumbatia .Any way Mungu anisamehe kama nilivyoona na navyodhani ni ndivyo sivyo.
 
Kweli aisee japo si jambo jema kujudge mtu ila kuna muda nilishangaa pale ndo wanaenda kupanda gari waondoke kwnd kibaha akapiga ukunga fulani halafu within a second kuna mtu alimgusa mgongoni aligeuka mweupee hana hata lepe la huzuni akamkumbatia .Any way Mungu anisamehe kama nilivyoona na navyodhani ni ndivyo sivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23] wee hukumuona alivokuwa anazurura pale barabaran kuitafuta pikipiki yenye king'ora ianze kuongoza safari? Nlibaki hoi kwa kweli khaaaah.
 
Aisee mm mke wangu akifa itanichukua miaka 3 mpaka 4 kuja kukaa sawa kiakili na hii timu ya mpira ya watoto 6 nilio nayo mbn nitapagawa nitalia na kugalagala kama mtoto mdogo japo mke wangu anamapungufu Mengi mno lakini nitapagawa na kudata mno nitamkubuka kwa Mengi sana hasa nikiwa namuangakia uyu mtoto wa mwisho binti wa miaka 2 aisee nitadata mno yani nikiwa nakiangalia kitanda nitakuwa silala aisee nitakuwa

Nawaza nitamtania nani?,nitapikiwa na nani?,nitafuliwa nguo na nani,?nitanyolewa kipara changu cha kichwani na nani dongo,?nitanyolewa ndevu na nani mana nature ya kazi yangu ndevu kila wiki na nyoa tena zote na iyo kazi ya wife.,?nitakatwa kucha zangu na kusuguliwa miguu na nani.,?? Aisee ni Mengi sitachanganyikiwa mno
Acha kabisa kusu mke wewe wanatusumbua lakini wao ndo kila kitu ndani ya nyumba...MUNGU muweke mke wangu tuzeeke pamoja..

POLE babu tale kwa kipindi iki kigumu mke anauma mno...japo wanawake wapo wengi kumpata mtu sahihi ni ishu sana...
Fala we we. U got a very little understanding of the things of the spirit.

U have pronounced a satanic decree against yourself.

Futa uchafu ulio andika haraka Sana.
U have cursed urself.
Ur a kind of a father who can call his son " Mateso"
 
Wasalaam,

Meneja wa Diamond Platinumz ambaye amefiwa siku tatu zilizopita ,kuanzia leo ameanza mchakato na kuendelea na mchakato wa kugombea ubunge wa Morogoro vijijini tiketi ya CCM.

Pamoja na mpango huo ndugu zake wa karibu wamekuwa wakiweka shinikizo la kupinga ndugu yao kugombea ubunge hasa kipindi hiki ambacho amefiwa na mke wake na uchaguzi umekaribia, na bahati mbaya ni juzi ametoka kufiwa na mke wake hivyo haitaleta picha nzuri kwenye jamii kwani ubunge usimfanye akasahau utu na yeye ni mfiwa hata msiba hajapoa na hata udongo kwenye kaburi la mkewe haujashikana.

Lakini ushauri wa ndugu na watu wa karibu wa Tale umegonga mwamba kwani waki ijayo Babu Tale anatarajia kwenda kuweka kambi Morogoro kwaajili ya maandalizi ya kugombea ubunge wa Morogoro Mjini.
Eti picha nzuri kwa jamii.

Jamii hii ambayo mtu akifulia inachoweza kukusaidia ni majungu tupu
 
Ukiwataka kujua tabia halisi za watanzania walio wengi , angalia post 1 hadi 100 kama sample.
Utaona mawazo yao yamejaa kwenye
1. Uvivu wa fikra
2. Wivu
3. Kupiga majungu
4. Kupenda udaku
5. Kufuatilia maisha ya watu
6. Unafki
7. Ushirikina
8. Ignorance
9. Kutokunitambua.
 
Back
Top Bottom