Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hata wewe kumbe una akili mbovu kiasi hicho, kila mnachosimuliwa mnaki internalize kama kilivyo.Inasadikika jamaa alimtoa kafara mpaka mdingi wake ...na hivi yupo na yule domo basi kazi ipo
Ipo siku mtu atakwambia wewe ni mwanamke, japo wewe ni mwanaume, utaenda kwenye kioo kujiangalia kama ulichoambiwa ni kweli au sio kweli