cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mmmh dea sio watasema, ni uhalisia kamtoa kafara mkewe ili apate ubunge.Wanazengo watasema kamtoa mkewe sababu ya ubunge[emoji848]
Nawaza tu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh dea sio watasema, ni uhalisia kamtoa kafara mkewe ili apate ubunge.Wanazengo watasema kamtoa mkewe sababu ya ubunge[emoji848]
Nawaza tu hapa
Aisee..kumbee ndiyo Mambo yenyewe haya..kazi ipo.Mmmh dea sio watasema, ni uhalisia kamtoa kafara mkewe ili apate ubunge.
Kabisaaaah mpe tu ukweli wote abaki mdomo wazi. Maan anajifanya yey talle anamjua sana kuliko wenzie.Namsubiri kwa hamu. Tumfungue macho ya mjini.
Acha nicheke khaahaaaaaaaa haaaaaa uyo anajisumbua awezi kabisa kumtoa abood bus hapo Youngtong ndani ya nyumba labda aenda akagombanie samvura chore
Lakini umesema tu wanafiki huku na wewe unashiriki unafiki huo huo, Sasa tukueleweje jomoni by the way huku changamsha genge kusogeza mda tu wa masaa.Ningekuwa nasapoti haya mnayosema ndo ungesema ni umbea.
Mwanaume hauwezi ukakaa kujadili maisha ya mwenzio. Hata kama babu tale kafanya hayo mnayosema mwanaume wa kweli hawezi kushangaa maana ni mambo ya dunia yapo.
Ila muwe na uhakika.
Na msimpangie mtu aishi vipi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Inawezekana Uo umeneja wake ni bora kuliko uo Ubunge usione wanaendesha yale ma V8 ukawaona wa mana sana uliza uambiwe
Sasa mtu unajiita "Mjinga Mimi" Huoni watu tunapoteza muda kukuhabarisha mtu Mjinga Sampuli Yako.Ningekuwa nasapoti haya mnayosema ndo ungesema ni umbea.
Mwanaume hauwezi ukakaa kujadili maisha ya mwenzio. Hata kama babu tale kafanya hayo mnayosema mwanaume wa kweli hawezi kushangaa maana ni mambo ya dunia yapo.
Ila muwe na uhakika.
Na msimpangie mtu aishi vipi
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hata kama ubunge unalipa, ndy lishatokea hilo la msiba mbele yake,,,anapaswa aachane nalo hilo,,,imeshakuwa mkosi huo,,,na kama ataendelea na mipango yake hiyo? basi hicho kifo cha mkewe ni sehemu ya mipango ya babu tale kugombea ubunge,,,,damu ya mtu ni nzito sana...hiyo story ya babu tale ni sawa na wale majambazi waliovamia sehemu wakafanya ubakaji na uuaji kisha wakatokomea,,, halafu asubuhi yake wakafuata mapanga yao walioyasahau Jana,,,, hyo yote ni nguvu za roho za marehemu,,,ubaya unajidhihirisha waziwawazi...
Siyo aibu peke yake na AKILI HANA, tukisema kamtoa mkewe kafara atakataa?Huyu jamaa hana aibu.
Ndiyo maana huna amani na furaha ya maisha kisa woga usiokuwepoWe nae kama we huamini mi naamini vipo ok?
Kuna jamaa fulani waliiba ,,wakabaka na kuua Dada Fulani hivi usiku,,, jambazi mmoja asubuhi akafata panga lake alilisahau Jana,,,,,watu wakapiga hadi umauti...ni muda sana hata miaka kumi imepita ,,,sikumbuki vzr ila maeneo ya goba kama sikosei,,,,damu ya mtu haiendi bureMkuu ilitokea wapi na lini?
Mkuu nani kakwambiya ulaya hakuna uchawi?,,sisi waafrica wazungu wametuzidi kila kitu,,,isipokuwa roho mbaya tu,,,na majungu tumewazidi,,,Ndiyo maana huna amani na furaha ya maisha kisa woga usiokuwepo
Yaan uchawi unafanya kazi afrika tu ukienda ulaya au mtu mweupe unadunda
Talle n mlozi hatareeehAisee..kumbee ndiyo Mambo yenyewe haya..kazi ipo.
Sasa mtu unajiita "Mjinga Mimi" Huoni watu tunapoteza muda kukuhabarisha mtu Mjinga Sampuli Yako.
Lakini umesema tu wanafiki huku na wewe unashiriki unafiki huo huo, Sasa tukueleweje jomoni by the way huku changamsha genge kusogeza mda tu wa masaa.
Na wewe unapenda kukaa kuwajali like wanaume wenzio?.
Au ni wa kike.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hata mie inanisukuma niamini kwa kweli, hakiwezekani hata 7 hakijaisha kufanya hayo anayoyafanyaAtafanya yanasemwa juu yake watu wayaamini sasa
Thibitisha unaloongeaMkuu nani kakwambiya ulaya hakuna uchawi?,,sisi waafrica wazungu wametuzidi kila kitu,,,isipokuwa roho mbaya tu,,,na majungu tumewazidi,,,