Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika

Kuna mtu anasema ubunge ataishi maisha mazuri kuliko sasa najiuliza huwa wabunge wanalipwa 12m kwa mwezi ila yeye manager show ya msanii wao wananegotiate hadi 100m na walisema kila mtu anapercent yake kwenye hiyo hela tuseme kwa show moja manager anakula 15mna msanii wao huwa unaweza kuta kwa mwezi mzima yuko booked au hata miezi miwili so anauhakika wa kuwa na more than 50m kwa mwezi inakuaje sasa mbunge akawa na maisha mazuri kuliko manager? Au vikao hivyo anawaza per day ni 300k lakin hapo hapo ni kula kodi ya nyumba dodoma kama hajajenga na dereva wake hapo hapo wakat yeye manager show za nje ya mkoa au nchi wanalipiwa kila kitu iweje mtu aseme ubunge ubaishi maisha mazuri kuliko umanager anaofanya? Au ndo tuamini kwamba hii industry ya music hailipi bongo ndo maana kashindwa kujenga huko kwao na bado mjini bado kapanga? Au kazi zake zinamtaka aishi kwa kupanga mjini maana angejenga Goba au Msakuzi au Madale atakosa wadau wa shows? Au huko mbali atakapokaa hamna network so negotiation za shows kwa emails itakua shida? Hii industry ina makandokando mengi sana bila kureason utakua unashabikia kitu usichojua kiundani.
[emoji16][emoji16][emoji16]hizi tunaita rough calculation,bahati mbaya hazina uhalisia zaidi ya showoff.
 
Watanzania tuna ujuaji mwingi.tuko bize na maisha ya mtu mwingine kuliko maisha yetu..
Mara ohooo kamtoa kafara mkewe ili ashinde ubunge sasa wewe inakuhusu nini?


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mkuu , hilo jina lako la avatar,,, na akili zako za kufikiria,,,,aibu naona Mimi..
 
Haya mambo ya kafara mnayaongea mna ushahidi nayo?.
Sisi humu ndani ni watu wazima.
Tusipelekeshane kama watoto.
Unapotaka kuwaaminisha watu kitu ni LAZMA UWE NA USHAHIDI.
Vinginevyo itakuwa ni KUMUONEA BABU TALE.
kosa lake ni lipi kutangaza kugombea ubunge baada ya mkewe kufa ndo maana mnasema kamtoa kafara.?.
JE ASINGETANGAZA KUGOMBEA UBUNGE MNGEYASEMA HAYO YA KAFARA?
Hivi ingekuwa aliyetolewa kafara ni binti yako,,au ndugu yako ungesema mambo ya dunia?wale watu wote waliopo magerezani hawakufanya ya dunia? mbona wamehukumiwa? mlozi hana option ikifikia kipindi cha kafara,,,,utapewa sharti utoe mwanao tena unayempenda,,au mke....yeye tale kachaguwa kutoa mke,,,kwa anachokifanya sasa ,,ni athari za damu ya mkewe kujidhihirisha maovu yake,,na atafanya mengi ya aibu kabla ya 40 ya mkewe.....na tunamjadili tale kama tunavyowajadili walozi na washirikina wengine..

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Yap comrade, am not going to be biased with those who blame tale, funerals are ceremonies and when you take a look on our culture there are minimum number of days he should overstay there more than three days, am sure he walked out even before the arrival of some mourners who live far from moro, why didn't he wait for sometimes?
 
Acha nicheke khaahaaaaaaaa haaaaaa uyo anajisumbua awezi kabisa kumtoa abood bus hapo Youngtong ndani ya nyumba labda aenda akagombanie samvura chore
Umejiona mjaaaanja kweli. Yaani hata hujasoma kuwa yeye Tale anataka kugombea Morogoro vijijini wakati Abood ni wa Morogoro mjini.
 
Haya mambo ya kafara mnayaongea mna ushahidi nayo?.
Sisi humu ndani ni watu wazima.
Tusipelekeshane kama watoto.
Unapotaka kuwaaminisha watu kitu ni LAZMA UWE NA USHAHIDI.
Vinginevyo itakuwa ni KUMUONEA BABU TALE.
kosa lake ni lipi kutangaza kugombea ubunge baada ya mkewe kufa ndo maana mnasema kamtoa kafara.?.
JE ASINGETANGAZA KUGOMBEA UBUNGE MNGEYASEMA HAYO YA KAFARA?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hivi mkuu suala la kafara ni yeye tale na mganga wake,,,sisi wengine ushahidi wa moja kwa moja hatuna,,ila tunaweza kuunganisha dots tukapata hisia kamili za kilicho nyuma ya kugombea ubunge,,,,kwanza inasemekana kulikuwa hakuna mahusiano mazuri baina ya tale na mkewe siku kadhaa kabla ya kifo chake,,ikapelekea mkewe Ku comment post za tale ,,,na ikapekelea babu tale kufuta post hizo.,,pia kitendo cha maigizo ya kilio cha babu tale inaonyesha kwa jinsi gani tukio la kifo cha mkewe halipo moyoni mwake,,,na mwisho kabisa tukio la kutangaza nia ya kuendelea na kugombea,,, wakati hata 7 ya mkewe bado,,hapo ndy kazidi kujidhihitisha ulozi wake,,, hakupaswa hata kuzungumzia uchaguzi kwa kipindi hiki,,,hyo ni mlozi mkuu,,
 
NI NGUMU KUAMINI
Hivi mkuu suala la kafara ni yeye tale na mganga wake,,,sisi wengine ushahidi wa moja kwa moja hatuna,,ila tunaweza kuunganisha dots tukapata hisia kamili za kilicho nyuma ya kugombea ubunge,,,,kwanza inasemekana kulikuwa hakuna mahusiano mazuri baina ya tale na mkewe siku kadhaa kabla ya kifo chake,,ikapelekea mkewe Ku comment post za tale ,,,na ikapekelea babu tale kufuta post hizo.,,pia kitendo cha maigizo ya kilio cha babu tale inaonyesha kwa jinsi gani tukio la kifo cha mkewe halipo moyoni mwake,,,na mwisho kabisa tukio la kutangaza nia ya kuendelea na kugombea,,, wakati hata 7 ya mkewe bado,,hapo ndy kazidi kujidhihitisha ulozi wake,,, hakupaswa hata kuzungumzia uchaguzi kwa kipindi hiki,,,hyo ni mlozi mkuu,,

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Halafu kwani watu before ubunge walikuwa wanaishije?
Maana majority ni raia wa kawaida kwani hatuishi, pesa zipo na zinataftwa tu lakini when ur loved one is gone atleast Kuna kipindi, flani hivi.
[/QU. Asubiri kwa kipindi gani ?
 
Unahisi Trump alifuata hela kugombea urais.. ?Lowassa,Anord Shwizenigger,Abood???
It's not about money mate.
It's a Title,Stutus and Legacy whether bad or Good.
Ukiwa na Status hiyo itakuwezesha kupata vingi unavyohitaji.
Btw katika maisha pambana sana kudhibiti Tamaa ya Umaarufu,Tamaa ya mafanikio kipesa,Tamaa ya Uongozi.
Usimwingize Trump huku kabisa wala Anorld na wala Urais hapa hapatawatosha hao wengine sawa waligombea ubunge kupata pesa na huyu mtu wenu Status anayo, umaarufu anao alivyobakiza ni hivyo viwili mafanikio ya kipesa na tamaa ya uongozi
 
Kuna mtu anasema ubunge ataishi maisha mazuri kuliko sasa najiuliza huwa wabunge wanalipwa 12m kwa mwezi ila yeye manager show ya msanii wao wananegotiate hadi 100m na walisema kila mtu anapercent yake kwenye hiyo hela tuseme kwa show moja manager anakula 15mna msanii wao huwa unaweza kuta kwa mwezi mzima yuko booked au hata miezi miwili so anauhakika wa kuwa na more than 50m kwa mwezi inakuaje sasa mbunge akawa na maisha mazuri kuliko manager? Au vikao hivyo anawaza per day ni 300k lakin hapo hapo ni kula kodi ya nyumba dodoma kama hajajenga na dereva wake hapo hapo wakat yeye manager show za nje ya mkoa au nchi wanalipiwa kila kitu iweje mtu aseme ubunge ubaishi maisha mazuri kuliko umanager anaofanya? Au ndo tuamini kwamba hii industry ya music hailipi bongo ndo maana kashindwa kujenga huko kwao na bado mjini bado kapanga? Au kazi zake zinamtaka aishi kwa kupanga mjini maana angejenga Goba au Msakuzi au Madale atakosa wadau wa shows? Au huko mbali atakapokaa hamna network so negotiation za shows kwa emails itakua shida? Hii industry ina makandokando mengi sana bila kureason utakua unashabikia kitu usichojua kiundani.
Hizo ni tambo tu. Walikuwa wanauza na madawa ya kulevya. Music hauna pesa kihivyo ukizingatia walipe madanser sijui wapiga picha,Dj,wapo mameneja 3 bado kodi. Mengine ni tambo za social media tu. Kiukweli njaa inawapiga. Kina Raynavy anapanga nyumba ya million ili afanye show off tu.Matokeo yake after 3months hana kodi inabidi ahame. Wanamusic Ganda ndo lilikuwa linawasave wengi mapunda wa kina Kinje et al.
 
Sioni kama kuna kitu anakijuwa.
Najua kuna watu huomboleza mwaka, miaka, miezi,wiki na wengine wakishazika tu kesho yake wanaendelea na maisha mengine
kitendo cha hata siku 5 hazijafika kusema Nitaweka kambi Morogoro goro,,means hana uchungu wowote wala majonzi ya msiba,,hicho ni kipimo tosha cha kile kilio chake kisichokuwa cha machozi...tena watu wamemsihi aachane na mipango hyo kwa sasa,,lakini bado kashikilia msimamo wake,,huoni kama kuna kitu anakijuwa?
 
Sometimes hata matukio yanayojiri baada ya tukio kufanyika ndy hupelekea jamii kuanza kupata wasiwasi..na muhusika
Jamii kuwa na wasiwasi sio justification ya hayo yanayosemwa.

Evidence, Evidence, Evidence....!
 
UTUMWA/UFUNGWA WA KIFIKRA
Hili ni tatizo la kitaifa, hivi ndivyo vijana Wakitanzania wanavyoshi mitaani. Vijana ni waoga katika kufanya maamuzi binafsi wakihofia kukosolewa, kuchekwa, kusimangwa na jamii inayowazunguka. Tangu akiwa mtoto mdogo kijana wa Kitanzania anakuzwa kwenye misingi ya kufanya mambo yake kwa kuangalia "macho"na "mawazo" ya watu wengine, yaani kijana anakuzwa kutenda mambo yaliyo sahihi machoni na mawazoni mwa watu wanaomzunguka. Hii kitu imepelekea Tanzania kwa ujumla tuwe na taifa la watu tegemezi tangu kuzaliwa mpaka kuingia kaburini. Uhuru wa kifikra ni jambo la msingi sana katika maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla. Uhuru wa fikra ni silaha kuu katika vita dhidi ya ujinga, naam na adui mkubwa wa Tanzania na Afrika kwa ujumla ni huyu ujinga, hakuna maendeleo yatakayopatikana kutoka kwenye taifa la watu wajinga. Kuwa huru kifikra, tokomeza ujinga, maendeleo yatakuja.

😂😂😂😂
Tusameheane kwa povu, turudi kwenye mada iliyopo mezani. Huyu Babu Talent ni mtu wa ajabu kwelikweli yaani!!! Hivi haoni hata aibu!!? Watanzania tutamfikiriaje katika hili!!?
 
Back
Top Bottom