Dah mkuu...kipindi icho wewe ulikuwa na umri gani?Nilikuwa naishi nao yeye na mumewe ni wazee,walinichukulia kama mwanawao
Unajua wazungu hawana aibu alikuwa ananifundisha jinsi ya kuwa msafi,usafi unaanzia na nguo ya ndani.
Mkuu ulikuwa unabemendwaHivi mama D Kijana anaanza kujinunulia chupi akiwa amefika umri gani?Mimi Huyo mama wakati huo nilikuwa teenager alikuwa kwenye manunuzi yake budget ya chupi alikuwa ananunua yeye.
Mitano tenaaaaa.
Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuuu.
Sasa kama hawezi kufua vyupi vyake huyu....Unasema Hata chupi hufui dah Mwaka huu aibu sana
Hiyo haitakua familia bora ila ni bora familia 😅😅😅Inawezekana alitoka katika familia bora chupi asubuhi unatupa chupi kwenye tenga LA nguo chafu HG apambane nazo.
Ni sawa kabisa, teenagers wangu pia bado wapo kwenye hii budget na malezi ya karibu sana kwenye usafi wa mwili na tabiaHivi mama D Kijana anaanza kujinunulia chupi akiwa amefika umri gani?Mimi Huyo mama wakati huo nilikuwa teenager alikuwa kwenye manunuzi yake budget ya chupi alikuwa ananunua yeye.
Atakuoa huyo umsaidie kufua nyupi.Si anunue machine ya kufua na ya kukausha ? Unaturn 60°C kufua chupi.Then unaziweka kwenye ya kuanika. Kazi kwisha. Kilaza kweli huyu.
When wisemen are silent fools multiply....Aiseee kuna kahatua alikaruka itakua.. Unawezaje kuthubutu kutamka hvyo public
Hahah mniombeeeee.Hapanaaaaaa muheshimiwaa
Ni kweli mkuu.
15
Alikua anaongelea viwanda Sasa mtoa mada kachukua kipande tu ameacha sehemu zenye points tupuAcheni kubeza kila mtu kuna namna Kaumbwa huwez kubadilisha hilo na umechukua kipande tu cha clip hujui alikuwa anaongelea nn
Labda Domo huwa analigeuza hasa wakati huu Tanasha Dona yuko NairobiMbona anapngea kama punga!
Dr anatema madini tupuMbunge CCM Babu Tale amekiri kuwa yeye huwa anavaa Underwear japo hawez kufua. Hii ndio dizaini ya wabunge wa CCM tulionao huku tukitegemea ndio watutungie sheria kwa uzwazwa huu
View attachment 1641576