Babu Tale na Salam Sk wamekuwa Mameneja wa hovyo sana wanaombebesha Diamond mzigo wa migogoro na media

Msanii sio lazima ategemee Radio ili akiki...kuna sehemu nyingi zakufikisha wimbo kwa mashabiki.
 
wamesikitishwa na wambea wao kutandikwa na Iyobo,najua Clouds wanacho hitaji ni kuombwa radhi na walitegemea ni Diamond,Tale au Salam ndio wajitokeze kuomba msamaha kwa Clouds saa hilo jambo halijafanyika.
Mkuu we unaamini kama jamaa wametandikwa au unaangalia yale magongo feki?
Hebu chunguza vizuri haya mambo nadhani ni makubwa kuliko unavyojua,kwa nini kila msanii mkubwa lazima akwaruzane na Ruge wakati ruge sio producer wala mtunzi
 
Pande zote mbili zinamapungufu Kusaga amuangalie Ruge kwa jicho la tatu ndio analeta faida kwa kampuni ila yeye ndo chanzo clouds kuanza kuchukiwa mtaani
 
Watakao kuwa wanaumia ni wale vijana wa WCB........
Aliyeleta hii post ajauelewa mziki kiundani yani introduction umeelezea fresh ila huko katikati ndo umeharibu
Rudi nyuma kidogo enzi hzo diamond ommy dimpozi na bell 9 wakiwa wanalinganishwa
Diamond baada ya kutoa nyimbo ya MY NUMBER ONE yy mwenyewe na kuja kufanya na davido, na davido akiwa anatamba na skelewu
Diamond alilokota tuzo za kutosha kupitia hyo Nyimbo nafikiri kama kumi na mbili hv
Baada ya tukio hilo chibudi chibudenga aliutangazia umma kwamba hatabiga show yyt Tanzania chini ya million 10(wakati huo not now) channels watu NA vinginevyo vilimbenza MUNYAMA huyu ila mshikaji akawa kimya anaendelea kuanchia ngoma tuu
Diamond platinum alipouwachia wimbo wake wa Nana aliyomshirikisha mnaigeria Mr Flavour apo ndo alituaga na kuanza kufanya kazi zake international
Sasa baada ya kufanikiwa huko tunarudi kwenye vyombo vya habari vikataka kumrudisha Baba Tiffah Mbagala
Unajua akufukuzaye akwambii toka ata siku moja. Diamond aliona kabisa channels za Tanzania hazitoi support kwenye mziki wake na yy jinsi apendi unafki
Hvy akadondoka povu zito zaidi ya la OMO kwakusema HATEGEMEI CHANNELS ZA KITANZANIA kutangaA mziki wake coz anafollowers wakutosha hapo Instagram kama milioni 3 na ushee pia page yake ya Facebook INA watu zaidi ya million 2.7
Vyombo vya habari vikajiongeza (kama mm nikikuonea na uwezi nipiga utamsaka dogo langu umpige) yani ndo ikawa hvy hvy walivyowafanyia wanamziki wote wa WCB ila diamond anaonyesha support kwa vijana wake mpk rayvanny anachukua BET eatv wanabisha wana sema skendo huo NDO ukweli
HAKUNA MBAYA WCB WATU KAMA WANGEKUWA WABAYA WASINGE WAACHA WAKINA BELL 9 OMMY DIMPOZ NA MSANII WA KULAZIMISHA AFANANE NA DIAMOND ALIKIBA mtu anaimba jikune mapele kwenye wimbo wa mapenzi WCB WANATOA MSAADA KWA JAMII NA SIO KUTAFUTA KIKI KAMA KIBAKULI KWENDA KUMSALIMU MAMA YAKE TINGATINGA
 
Mkuu una ushahidi kuwa Clouds walipanga unayo yasema?
Ugomvi kamwe haujengi kabisa
 
Wait a minute? kama ni kweli Kusaga anafanya biashara na Diamond,how come,au hiyo Clouds ni ya Ruge?? something does not add up. 19.00 hours EAT leo,Sallam atashusha bombshell,labda tutaelewa whats happening
hakuna mwenye uhakika kama Diamond na kusaga wana biashara bali ni hisia tuu
 
Watangazaji wa SHILAWADU wamegombana na dancer, ugomvi umeamia kwa Diamond.
 
Mambo ni[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…