Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wamepona na wake zao wanasema wanahisi kama vile wako kwenye enzi za uchumba baada kuishi kama kaka na dada kwa muda mrefu kutokana na mathara ya kisukari. Siyo maneno yangu ni ya mmoja wa mwanamke ambaye mumewe amepona sukari.
Hao waliotumwa nao walikuwa wanatumia kigezo cha kuipima ili wahudumiwe wa kwanza naibu waziri Nkya alishaenda kwa nini wasimuulize alipona au la .
Kama serikali inataka kujua hasira za watz wajaribu kuyumbisha tiba ya babu
Radio imani inawakataza Waislamu wasiende kutibiwa na makafir!
Jamani huyu babu hivi bado yupo???
RipUngewapm tu na kuwapa hizo links mkuu!