Relief
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 254
- 47
hii imekaa poa,kupimaaaa kupimaaaaaa, sisi tunataka dawa tupone full stop.
Babu is not looking for fame anafanya aliyoagizwa, wanamdistract tuu na sayansi hapa, waende hukoo...:hand:
kwani wamespend how many years na dawa ya UKIMWI/KANSA/SICKLE CELL hawajazipata leo babu wanataka kumpima, ebo!! huo ni ushankunaku:hand:
Babu is not looking for fame anafanya aliyoagizwa, wanamdistract tuu na sayansi hapa, waende hukoo...:hand:
kwani wamespend how many years na dawa ya UKIMWI/KANSA/SICKLE CELL hawajazipata leo babu wanataka kumpima, ebo!! huo ni ushankunaku:hand:
Babu amekwambia anatibu kwa dawa ya mti aliooteshwa pamoja na maombi. Sasa unaweza kuyapima maombi kwa kisayansi!