Ndugu yangu kupima ufanisi na kupima kilichopelekea ufanisi ni vitu viwili tofauti
Kwa mifano uliyotoa, ile sementi, nondo n.k navyo vilipimwa kama vinaweza kufanya ujenzi huo ndiyo maana kuna TBS kwa hapa TZ
Mkandarasi anapimwa ufanisi kama amevitumia vipelekea ufanisi kisahihi ambavyo hupelekea uimara wa ujenzi huo
Wizara inachotaka kupima ni je hii dawa ni kitulizo tuu ama ni ya kutibu kwa kudumu? Je endapo inavilaza virusi, bacteria n.k kwa miezi au miaka kadhaa tu na kurudi na mashambulizi itakuaje?
We real need to think about it very very carefully