Babu wa Loliondo afungiwa kwa muda kutoa huduma...

Babu wa Loliondo afungiwa kwa muda kutoa huduma...

mkuu ... mungu ni yule yule ...jinsi ya kumjua , kumheshimu na kumwomba ndiyo inayopelekea kuwa na imani tofauti ...... imani anayosema babu ni ya aina yeyote ile ....! wamepona watu wa imani mbalimbali na hakuna doubt ya imani fulani kwa babu ...

Niulizacho hapo ni kiwango cha imani wala si dini!!!

  • Kama una kiwango kikubwa basi unapona sanaaaaa
  • Kama una kiwango kidogo unapona kidogooo
  • Kama huna imani basi huponiii kabisaaa
Ama sivyo mkuu
 
Niulizacho hapo ni kiwango cha imani wala si dini!!!


  • Kama una kiwango kikubwa basi unapona sanaaaaa
  • Kama una kiwango kidogo unapona kidogooo
  • Kama huna imani basi huponiii kabisaaa

Ama sivyo mkuu

kiwango kikubwa kinapimwa na nini kilograms, millimeters, centigrades, kilowatts, Megabits....... magnitude ya imani haipo .... imani is too personal ..... kuamini ni kujua mungu yupo na kufuata matendo yake
 
Nabii hasaminiwi kwao!!Wao Babu wangemwacha tu atibu watu kwani hakutangaza juu ya tiba yake kupitia chombo cha habari chochote kile.
Watu wanawatoa wagajwa wao hospital hii ni kutokana na huduma mbovu za matibabu.Doctor kusahau mkas tumbon kwa mgonjwa.Doctor kuchanganya wagonjwa kupasua kichwa badal ya mguu.Babu afanye kaz yake aliyopewa na Mungu.
 
Je na wale watu waliokwisha kuwa kwenye mstari wameambiwaje?
Kwa kweli hapa serikali inatafuta mtafaruku
 
Wanaokufa ni sehemu ya mpango mzima wa matibabu.:A S 13:
 
Wanaokufa ni sehemu ya mpango mzima wa matibabu.:A S 13:

Hata mahospitalini si wote wanapona, na wengi tuliosikia wamekufa hawajanywa kombe la babu..

Mungu mnusuru babu aendelee kutoa huduma yake kama ulivyo mtuma.
 
watu sehemu nyingi wameombewa kwa jina la Yesu wakapona. je walipeleke jina la Yesu TFDA!
 
kiwango kikubwa kinapimwa na nini kilograms, millimeters, centigrades, kilowatts, Megabits....... magnitude ya imani haipo .... imani is too personal ..... kuamini ni kujua mungu yupo na kufuata matendo yake

Kwa nini YESU alisema ukiwa na imani kiasi cha chembe ya haradani anaweza kuamisha mlima! Unafikiri hapo unafikiri nini? Inamaana Imani ina kiwango tena vinatofautina kabisa
 
Kupima ufanisi wa kitu kuna njia nyngi: mfano, ufanisi wa mkandarasi unaweza kupimwa kwa kupima ubora wa jengo au barabara aliyojenga na si kukagua vyeti vyake au zana alizotumia. Nawashauri wapime wagonjwa kama wamepona au la.

Mkuu, Don't come with simple mind kwani swala la kumpina mtu ukimwi ni hiari ya mgonjwa, labda washawishi waliotumia dawa ya babu huyo kupima kwa hiari yao kuona kama wamepona na si vinginevyo na wakikataa wajaribu njia nyingine mbadala
 
Wana lao jambo ho viongozi wameshitukia kuwa watu wanapona wameona foleni ndefu wakatafuta kisingizio ili waanze wao
 
Jambo la msingi ni kuongea na babu kuona ni jinsi gani anaweza kutoa huduma ya matibabu nje ya eneo ambamo yupo kwa sasa. Kama inawezekana dawa ikatengenezwa na kuweza kutumika eneo lolote tofauti na LOLIONDO itafaa. Na kama masharti yake kuwa ni lazima
mgonjwa aende LOLIONDO basi taratibu za kuhakikisha upatikanaji wa HUDUMA ZA JAMII na hasa vyoo, nyumba za wageni, na mengineyo
ambayo yatatoa ustawi mzuri wa afya za wagonjwa na wasindikizaji itakuwa vizuri. hata hivyo Babu aangalie njia ya kuhudumia wagonjwa
kwa haraka ili kupunguza msongamano. Na mimi nataka kwenda
 
Kwa nini YESU alisema ukiwa na imani kiasi cha chembe ya haradani anaweza kuamisha mlima! Unafikiri hapo unafikiri nini? Inamaana Imani ina kiwango tena vinatofautina kabisa

umetoka kwenye mada ya dawa na babu ....... asante sana tutaona majaliwa ......?
 
Kwa ufahamu wangu, babu kazuiliwa kwa muda kutoa huduma kutokana na wingi wa watu na mazingira magumu ya huduma za kijamii kama maji, choo, vyakula, barabara, malazi nk. Kazuiliwa kwa muda mpaka waliopo waishe ndio wengine waendelee kwenda.

Hukuelewa mkuu na madai mengine ni kwamba dawa zake hazijasajiliwa na maji atumiayo ni machafu
 
Kiukweli katika hili serikali iko sahihi.Nyinyi mnataka watu wakanyagane wauane kisa wanataka dawa.mnatakiwa muangalie ukweli wa mambo.

uwezekano wa magonjwa ya mlipuko no mkubwa sana.je wattu wakipata kipondupindu cha ghafla na wakati hamna vyoo itakuwaje je hamjui serikali yetu itaonekana bomu kwa nini haikuweza kudhibiti mapema.

Je upatikanaji wa maji yenyewe yanapatikan awapi? Je haviingiliwi na uchafu? uchemshwji wake.na vyombo vina usafi wa kiasi gani,kikombe chababu nasikia huwa hakusafishwi,maana ndicho alichopewa na mungu akitumie kugawia dawa.

sasa wandugu tuipe serikali nafasi kutafiti mambo yote hayo na ikijiridhisha basi babu ataendelea na utibabu wake.
 
Kiukweli katika hili serikali iko sahihi.Nyinyi mnataka watu wakanyagane wauane kisa wanataka dawa.mnatakiwa muangalie ukweli wa mambo.

uwezekano wa magonjwa ya mlipuko no mkubwa sana.je wattu wakipata kipondupindu cha ghafla na wakati hamna vyoo itakuwaje je hamjui serikali yetu itaonekana bomu kwa nini haikuweza kudhibiti mapema.

Je upatikanaji wa maji yenyewe yanapatikan awapi? Je haviingiliwi na uchafu? uchemshwji wake.na vyombo vina usafi wa kiasi gani,kikombe chababu nasikia huwa hakusafishwi,maana ndicho alichopewa na mungu akitumie kugawia dawa.

sasa wandugu tuipe serikali nafasi kutafiti mambo yote hayo na ikijiridhisha basi babu ataendelea na utibabu wake.

Serikali inauwezo wa kubadili mazingira yale kwa muda mfupi tu na yakaweza kuwa yanakidhi haja.
Pia watu waliojaa matumain na babu wanawacouncel vipi?
Maana hili laweza zua mtafaruku!
 
Ktk utafiti uliofanywa imeonekana kuwa tanzania ndio nchi ya mwanzo barani africa kwa kuamini mizimu, uchawi na ushirikina. Haya nendeni wajinga.
 
Ktk utafiti uliofanywa imeonekana kuwa tanzania ndio nchi ya mwanzo barani africa kwa kuamini mizimu, uchawi na ushirikina. Haya nendeni wajinga.

kwa nini unaita watu kuwa ni wajinga? Nikupige ban?
 
kwa nini unaita watu kuwa ni wajinga? Nikupige ban?

kwa nini tusiombe invisible atuwekee ngumi kwenye keyboard ili mtu akikuboa unampa kitu inauma.....nadhani tungeheshimiana
 
Kujiridhisha juu ya hiyo dawa! vipi hawa waganga wanaotoa tiba waliotapakaa nchini kote,serikali imejiridhisha juu ya hizo dawa? Huu ni utumwa wa kiakili sasa. Kwa sababu hakuna mkono wa WHO. Hiyo dawa ngoroite ndiyo chakula kikubwa cha twiga.kama ingekua ni hatari twiga wangeteketea kwanza. Mimi binafsi ambaye siyo taasisi nimewahoji baadhi ya watu walioenda huko wamwpata nafuu kubwa sana. Tatizo ni hii elimu ya maghari yaani wewe kama hauna vyeti vyao unakua si mali kitu.Wao wangeboresha mazingira ili waendao huko wapate kuridi salama lakini siyo kusimamisha kwa muda usiojulikana.Ukisoma katika matangazo katika magazeti utashuhudia jinsi ambavyo waganga wa Jadi wanavyojielezea na tiba walizonazo ambazo hazijathibitisha na hiyo wizara ya afya.Hii serikali si serikali kwa ajiri ya watu ni serikali kwa ajiri ya maslahi ya WH0.lengo siyo ku critisize mfumo mzima wa hii serikali bali kuwakumbusha kuwajibika kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Itoe tamko la lini itaruhusu tena jamaa aendelee kutoa dozi.
 
Back
Top Bottom