Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna sample ya huo mti hapo kwa babu.....wapime huo
umepona?? au ulienda kutalii??
Ina maana babu hajatoa hata namba ya account tuchangie huduma! Anyway tenda wema nenda zako usitizame nyuma. Anachofanya babu ndiyo utumishi wa kweli yeye hayuko kibiashara na hii inadhihirisha babu kweli katumwa na Mungu kuokoa watu. Zidumu harakati za babu. Vipi mustakabali wa akina ndodi??
Kuna sample ya wafanyakazi wengi tu pale Wizara ya afya/Muhimbilli/NIMR/TFDA ya watu wenye magonjwa Sugu, TAFADHALI TUMIENI HAO JAMANI NA SI KUMBUGUDHI BABU WA WATU
mimi nimekumiss hivyo halafu wewe hujui......njoo basi unisindikize kwa babu naenda ijumaa
1-Niliambiwa niwapelekee sample kwa kila dawa kilo moja. Aina ya dawa zangu ni mbegu.
2-Niwatajie zinapatikana wapi?
3-Niwatajie zina tibu maradhi gani?
4-Na taratibu ya dose!
.
Kwani nawewe PRETA una kale kaugonjwa??