Babu anatakiwa kuingia kwenye records za dunia kwa kusaidia watu bure! Kweli babu anasaidia Watanzania bure. Inabidi ukokotoaji wa watu ambao amewatibu ukichukuliwa magonjwa sugu kama kisukari, cancer, pumu, pressure na ukimwi kuwa mtu huwa anatumia shilingi ngapi (on average) mpaka atakapoitwa maisha ya milele halafu kukisia kuwa babu ameokoa shs ngapi kwa taifa na Watanzania. For sure itakuwa hela ndefu sana. Ukichukulia tu kuwa mtu mmoja on averaga anacost serikali Shs10million, babu akiweza kuhudumia watu 100,000/= atakuwa ameliokolea taifa zaidi ya Tshs1trillion. Haya ni mahesabu ambayo ni ya kubuni kwani in actual sense gharama ni zaidi ya hapo!!!!!
Ee Mwenyezi Mwingi wa Rehema umruhusu huyu Babu aishi muda mrefu aendelee kuwahudumia waja wako. Ee Mungu utunusuru.