Babu wa Loliondo ashitakiwe ICC

Babu wa Loliondo ashitakiwe ICC

ismase

Senior Member
Joined
Feb 12, 2010
Posts
116
Reaction score
16
Hivi wana Jamii Forum kwani babu wa Loliondo asishitakiwe katka mahakama ya kimataifa? wengi watanishangaa kwa maoni yangu lakini naamini na ninachokisema na nitakisimamia. Babu wa loliondo anasababisha mauaji ya halaiki ya watanzania na hata wajinga wa nchi jirani. hii ni kutokana na uzushi wake wa kusema anatibu magonjwa sugu ikiwemo ukimwi, magonjwa ya moyo, kisukari kansa na pumu.

kutokana na uzushi huu maarufu sasa kama kikombe cha babu, watu wengi wamepoteza maisha na baadhi ya miili kutelekezwa porini. kwa mjibu wa vyombo vya habari hadi wiki jana watu takribani 78 walishapoteza maisha yao. hatuwezi kuwalaumu wagonjwa moja kwa moja kwani wao wanahangaika hata wakiambiwa kuleni nyama ya mtu ili mpone watafanya hivyo. Ila lawama ni lazima ziwe juu ya babu, serikali yake na maaskofu wenzake wanao-support uongo huu mtakatifu.

ukiachilia mbali wanaotangazwa kufa kufuatilia kukumbilia kwa babu, bado wengi mitaani wanapoteza maisha kwa kuacha kunywa dawa za kurefusha maisha wakiamni babu kawaponya. madaktari wanadhibitisha hakuna hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepona baada ya kunywa kikombe.

Natoa wito kwa jumuiya za kimataifa, ili kunusuru maelfu ya raia wasio na hatia kuendelea kupoteza maisha yao, waingilie kati na kumkamata babu mara moja ili wamepeke the hague kujibu tuhuma za mauaji ya halaiki. kama wakenya wametumbukizwa huko, babu ana kinga gani ya kisheria?
 
Lakini watu walikufa wengi mwanzo kutokana na utaratibu wa kwenda kule haukuwa planned vizuri kama sasa.Vile vile hata ma hospitalini watu huwa wanakufa,je na hao madaktari washitakiwe ICC?
 
Hizi ni tuhuma porojo!
Babu kamwita nani?
Huko mahospitallini watu wanakufa wangapi kwa cku?
Kwa mfano muhimbili kila cku watu wanakufa wengi tu bac vile hospital huwezi kuuliza.
Hao mahututi wameshindikana kwa hospital wanaanza safari ya mbali na ya taabu kwenda kwa babu lazma wapatwe na madhara zaidi.
Babu alishasema watu mahututi wasiende kwake , but watu hawasikii.
Na kwaidadi ya watu waliokufa kama ni hiyo na ukiangalia idadi ya number iliyoenda kwa babu, babu anajitahidi sana..!
 
Hivi wana Jamii Forum kwani babu wa Loliondo asishitakiwe katka mahakama ya kimataifa? wengi watanishangaa kwa maoni yangu lakini naamini na ninachokisema na nitakisimamia. Babu wa loliondo anasababisha mauaji ya halaiki ya watanzania na hata wajinga wa nchi jirani. hii ni kutokana na uzushi wake wa kusema anatibu magonjwa sugu ikiwemo ukimwi, magonjwa ya moyo, kisukari kansa na pumu.

kutokana na uzushi huu maarufu sasa kama kikombe cha babu, watu wengi wamepoteza maisha na baadhi ya miili kutelekezwa porini. kwa mjibu wa vyombo vya habari hadi wiki jana watu takribani 78 walishapoteza maisha yao. hatuwezi kuwalaumu wagonjwa moja kwa moja kwani wao wanahangaika hata wakiambiwa kuleni nyama ya mtu ili mpone watafanya hivyo. Ila lawama ni lazima ziwe juu ya babu, serikali yake na maaskofu wenzake wanao-support uongo huu mtakatifu.

ukiachilia mbali wanaotangazwa kufa kufuatilia kukumbilia kwa babu, bado wengi mitaani wanapoteza maisha kwa kuacha kunywa dawa za kurefusha maisha wakiamni babu kawaponya. madaktari wanadhibitisha hakuna hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepona baada ya kunywa kikombe.

Natoa wito kwa jumuiya za kimataifa, ili kunusuru maelfu ya raia wasio na hatia kuendelea kupoteza maisha yao, waingilie kati na kumkamata babu mara moja ili wamepeke the hague kujibu tuhuma za mauaji ya halaiki. kama wakenya wametumbukizwa huko, babu ana kinga gani ya kisheria?

Hivi wameshurutishwa kwenda kwa babu? mimi sioni sababu ya kumlaumu babu ni kama vile mwanaume unakwenda kwa malaya halafu unawalaumu malaya kwa uwepo wao!
 
Hivi mtu akifia njiani wakati anapelekwa hospitali ya Muhimbili, daktari atashtakiwa?
 
Kama ni kushitakiwa nadhani hata wahuburi wa baadhi ya makanisa yanayojiita ya kiroho nao washitakiwe. Ukiangalia na kusikiliza mahubiri yao utasikia akiwaambia waumini wao " njooni hapa kuna nguvu ya MUNGU ya uponyaji wa magonjwa yote sugu (kama yale anayotibu babu wa loliondo) na watu wanaenda na hawaponi na wanakufa.
 
Kwani kamshika nani mkona na kumlazimisha kwenda? Hajawahi kujitangaza badala yale walotibiwa naye ndo wanaomtangaza. Mwisho mahakama za Tanganyika hazijashindwa kufanya kazi yake hata wampeleke ICC. Ushauri: file kesi na mashtaka ulonayo kisha peleka mahakamani!
 
Subiri tu!atapelekwa iwapo waziri au mtoto wa kigogo atakapokufa.mtanzania wa kawaida hana thamani!
 
Subiri tu!atapelekwa iwapo waziri au mtoto wa kigogo atakapokufa.mtanzania wa kawaida hana thamani!

ndio maana watu wanajinyonga, serikali haifuatilii! Watu wanauwana, watu wanasema wanajipeleka wenyewe?
Kumbe siku hizi mtu akitaka kuijinyonga si kosa la jinai, maana anajinyonga mwenyewe!
 
Chukueni ripoti ya wanaokufa wakiwa njiani kwenda mahospitalini na wanaokufa wakiwa hospitalini na pia ongezeni na wanaokufa baada ya kutumia dawa hizo. Baada ya hapo mlinganishe na hiyo ya kwa babu ndio muamue jinsi ya kujadili!
 
Kwani kamshika nani mkona na kumlazimisha kwenda? Hajawahi kujitangaza badala yale walotibiwa naye ndo wanaomtangaza. Mwisho mahakama za Tanganyika hazijashindwa kufanya kazi yake hata wampeleke ICC. Ushauri: file kesi na mashtaka ulonayo kisha peleka mahakamani!
Anawalazimisha watu waende Loliondo kisaikologia!
Subiri uumwe upime uwezo wako wa kuamua!
 
Kukaa na chuki dhidi ya jambo au mtu fulani, kunaweza kukuharibia hata uwezo wa kufikiria.
Yaani mtu anakuja na post ya kumpeleka Babu ICC? Simple reasoning tu (nje ya chuki) itakupa ukweli kuwa hilo jambo haliwezekani...

Ni rahisi hata kuishtaki hospitali ya serikali kwa kushindwa kumtibu mgonjwa kwa vile wajibu wa hospitali ni wa kisheria, lakini huwezi kumshitaki babu wakati hajakuita. Na hata ukienda usipone, ana jinsi ya kujitetea, kuwa hukuwa na imani....

Chuki zingine hizi, mngezipeleka kwenye kuchukia ufisadi na umasikini, tungefika mbali sana.
 
Kwani kamshika nani mkona na kumlazimisha kwenda? Hajawahi kujitangaza badala yale walotibiwa naye ndo wanaomtangaza. Mwisho mahakama za Tanganyika hazijashindwa kufanya kazi yake hata wampeleke ICC. Ushauri: file kesi na mashtaka ulonayo kisha peleka mahakamani!

hapo kwenye red ni hatari!
mtu akijinyonga ni kosa ua si kosa? watu wanaoacha madaktari na kwenda kwa babu ni sawa na kujinyonga. Wanapaswa kulindwa au kushitakiwa kwa kutaka kujiua.
 
Hivi wana Jamii Forum kwani babu wa Loliondo asishitakiwe katka mahakama ya kimataifa? wengi watanishangaa kwa maoni yangu lakini naamini na ninachokisema na nitakisimamia. Babu wa loliondo anasababisha mauaji ya halaiki ya watanzania na hata wajinga wa nchi jirani. hii ni kutokana na uzushi wake wa kusema anatibu magonjwa sugu ikiwemo ukimwi, magonjwa ya moyo, kisukari kansa na pumu.

kutokana na uzushi huu maarufu sasa kama kikombe cha babu, watu wengi wamepoteza maisha na baadhi ya miili kutelekezwa porini. kwa mjibu wa vyombo vya habari hadi wiki jana watu takribani 78 walishapoteza maisha yao. hatuwezi kuwalaumu wagonjwa moja kwa moja kwani wao wanahangaika hata wakiambiwa kuleni nyama ya mtu ili mpone watafanya hivyo. Ila lawama ni lazima ziwe juu ya babu, serikali yake na maaskofu wenzake wanao-support uongo huu mtakatifu.

ukiachilia mbali wanaotangazwa kufa kufuatilia kukumbilia kwa babu, bado wengi mitaani wanapoteza maisha kwa kuacha kunywa dawa za kurefusha maisha wakiamni babu kawaponya. madaktari wanadhibitisha hakuna hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepona baada ya kunywa kikombe.

Natoa wito kwa jumuiya za kimataifa, ili kunusuru maelfu ya raia wasio na hatia kuendelea kupoteza maisha yao, waingilie kati na kumkamata babu mara moja ili wamepeke the hague kujibu tuhuma za mauaji ya halaiki. kama wakenya wametumbukizwa huko, babu ana kinga gani ya kisheria?

Kaka, ICC wanapelekwa watu wanaoshtakiwa kwa kesi za war crime, crime against humanity, genocide etc. Lazima idadi ya watu iwe kubwa, method ya mauwaji iwe ya kukusudia na mara nyingi kuwe na target maalum kama dini, kabia, jinsia etc.
Kwa kesi ya Babu hivyo vitu havipo na hawezi pelekwa ICC.
Ila nadhani serikali ya TZ inatakiwa kuchukulia hatua. Kama watu wanakufa hospitali, ao njiani wakienda hospitali, angalao idadi ya wanao pona inaonekana kua juu.
Kwa kesi ya Babu Kwanza ni kama hakuna daktari alie jitokeza kuhakikisha kua asilimia kubwa ya wagonjwa walipona, na wachache tu ndio waripotiwe katika vifo.
Pili, ingawa Babu mwenyewe anasema wagonjwa wasiache dawa za hosii, anasema anaponya. kusema tu hivo ni sawa na kuwaambia watu waache dawa, na hiyo inawapelekea kufa.
Tatu, kweli serikali imejaribu kuweka order pale, ila mazingira bado hayaswihi kwa kuwahudumia wagonjwa.
Kwa sababu zote hizo mimi ningeshahuri Babu apigwe suspension, dawa yake ifanyiwe uchunguzi kujua kama inadhuru ao inaponya, statistics za wagonjwa ziwe recorded, huku ujenzi wa mazingira bora ukiendelea. Ikiwa uchunguzi huo utaleta result nzuri basi Babu apewe leseni kama traditional practitioner na alipe kodi kama kawaida.
 
nakubaliana na wewe mia kwa mia ismase ila kukusahiisha kidogo sio icc ni mahakama yetu hapahapa hajamshika mtu mkono ila anawashawishi na hilo ni kosa yeye na wale viongozi wote wanaompromote asingitoa mabango kila siku kwenye vyombo vya habari kutusahaulisha dowans na ukali wa maisha watu wasingejazana huko kwanza nani amepona ukimwi?a mere traditional healer pretend to be the hand of God using charm and magic{mauzauza)
 
Jamani ndugu zangu sikieni. Siku zote muhitaji ndio anayemfuata babu kule, watu hawaendi kule kama vipofu wamepata ushuhuda kwa watu wengine. Halafu kila mtu anapewa kama jinsi anavyohitaji kwa imani yake katika kupona ugonjwa wake. Hata ktk maandiko matakatifu yameandikwa "KWA IMANI UTAPONA" (Hii ni sehemu tu ya neno).
 
Sahau mpango huo wa kushitaki ndugu yangu. Hiari yashinda utumwa hata itumiwapo kwa kujidhuru.
Wewe jitahidi kuwashawishi watakaokusikiliza kwamba hakuna tija kwenda kwa babu. Usianze na mimi - nilikwishashawishika tayari.
 
Babu akienda icc nashauri aekwe jirani na charlse taylor ictoshe juzi clouds wametoa ushuhuda hakuna aliyepona na babu kawaita watu km amesema anaponya ina maana kawaita wa2 na kapanga bei
 
Back
Top Bottom