ismase
Senior Member
- Feb 12, 2010
- 116
- 16
Hivi wana Jamii Forum kwani babu wa Loliondo asishitakiwe katka mahakama ya kimataifa? wengi watanishangaa kwa maoni yangu lakini naamini na ninachokisema na nitakisimamia. Babu wa loliondo anasababisha mauaji ya halaiki ya watanzania na hata wajinga wa nchi jirani. hii ni kutokana na uzushi wake wa kusema anatibu magonjwa sugu ikiwemo ukimwi, magonjwa ya moyo, kisukari kansa na pumu.
kutokana na uzushi huu maarufu sasa kama kikombe cha babu, watu wengi wamepoteza maisha na baadhi ya miili kutelekezwa porini. kwa mjibu wa vyombo vya habari hadi wiki jana watu takribani 78 walishapoteza maisha yao. hatuwezi kuwalaumu wagonjwa moja kwa moja kwani wao wanahangaika hata wakiambiwa kuleni nyama ya mtu ili mpone watafanya hivyo. Ila lawama ni lazima ziwe juu ya babu, serikali yake na maaskofu wenzake wanao-support uongo huu mtakatifu.
ukiachilia mbali wanaotangazwa kufa kufuatilia kukumbilia kwa babu, bado wengi mitaani wanapoteza maisha kwa kuacha kunywa dawa za kurefusha maisha wakiamni babu kawaponya. madaktari wanadhibitisha hakuna hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepona baada ya kunywa kikombe.
Natoa wito kwa jumuiya za kimataifa, ili kunusuru maelfu ya raia wasio na hatia kuendelea kupoteza maisha yao, waingilie kati na kumkamata babu mara moja ili wamepeke the hague kujibu tuhuma za mauaji ya halaiki. kama wakenya wametumbukizwa huko, babu ana kinga gani ya kisheria?
kutokana na uzushi huu maarufu sasa kama kikombe cha babu, watu wengi wamepoteza maisha na baadhi ya miili kutelekezwa porini. kwa mjibu wa vyombo vya habari hadi wiki jana watu takribani 78 walishapoteza maisha yao. hatuwezi kuwalaumu wagonjwa moja kwa moja kwani wao wanahangaika hata wakiambiwa kuleni nyama ya mtu ili mpone watafanya hivyo. Ila lawama ni lazima ziwe juu ya babu, serikali yake na maaskofu wenzake wanao-support uongo huu mtakatifu.
ukiachilia mbali wanaotangazwa kufa kufuatilia kukumbilia kwa babu, bado wengi mitaani wanapoteza maisha kwa kuacha kunywa dawa za kurefusha maisha wakiamni babu kawaponya. madaktari wanadhibitisha hakuna hata mgonjwa mmoja wa ukimwi aliyepona baada ya kunywa kikombe.
Natoa wito kwa jumuiya za kimataifa, ili kunusuru maelfu ya raia wasio na hatia kuendelea kupoteza maisha yao, waingilie kati na kumkamata babu mara moja ili wamepeke the hague kujibu tuhuma za mauaji ya halaiki. kama wakenya wametumbukizwa huko, babu ana kinga gani ya kisheria?