Babu wangu wa hiyari kaninunia

Babu wangu wa hiyari kaninunia

Usimfanyie hivyo babu atii.
Kunywa uji na ufanye mazoezi.
Maskini babu wa watu[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
tatizo mazoezi me nimvivu sana , hapa nakazi ya kupunguza kilo nane zoezi naanza viungo vikiuma naacha
 
ha hhahaa hapana babu kanikosa hata stori hapati.. itakuwa dada wa uji kamdanganya aniwekee bili labda nitampa lakini hajawi kuomba wala kuonyesha dalili za kuomba
watu wazima hawatongozani siku hizi,unapima tu utu wa wema uliotendewa mwisho unamwachia aliamshe dude,me nimempa dada moja lifi siku tano,siku hiyo nimepitiliza mpaka hotelini kama masihara kaunta nimelipa 50,000 chumbani,bila hata kuomba,ile aibu ya utu niliomfanyia,kwahiyo acha uchoyo bwana hivyo ni vitu vya kupita tu.
 
Hesabu gharama mae ili kuona if ukinywa uji kwa kipindi kilichobaki itakuchukua muda gani kurudia hali ya kawaida... Cha kutosahau ni kwamba uji haucheleweshi matokeo chanya... Pia jitaidi sana kumrudishia babu furaha yake maana hawa watu wa umri wanajistukia kwa mengi usijechangia kupunguza siku zake za kuishi kikawaida.... Pia (nong'onezo) nahisi babu alikuwa anarusha mahindi kuelekea bandani sasa umemtoroka ktk mazingira tatanishi..huu ni utani my sister..... Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa
ha hahahaha mkuu umbo langu nitapoteza mvuto aisee
 
watu wazima hawatongozani siku hizi,unapima tu utu wa wema uliotendewa mwisho unamwachia aliamshe dude,me nimempa dada moja lifi siku tano,siku hiyo nimepitiliza mpaka hotelini kama masihara kaunta nimelipa 50,000 chumbani,bila hata kuomba,ile aibu ya utu niliomfanyia,kwahiyo acha uchoyo bwana hivyo ni vitu vya kupita tu.
si kwa offer ya uji
 
tatizo mazoezi me nimvivu sana , hapa nakazi ya kupunguza kilo nane zoezi naanza viungo vikiuma naacha
Huyo ni babu kweli au au Mzee kijana??
Ana sumu au hana?
Hahahaaa nataka uniunganishe nae
 
Hakunaga cha bure Dunia hii ya leo...babu kakujali kwa lishe ili akubomoe vizuri sasa wewe unaleta machejo.
Mpe mzee wa watu nae ajione mtu kwa hii Dunia.
kwa hiyo mkuu alikuwa ananilisha ni none kabla siku ya mnada ... ha hahahaha jf bwana
 
Back
Top Bottom