Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo mazoezi me nimvivu sana , hapa nakazi ya kupunguza kilo nane zoezi naanza viungo vikiuma naachaUsimfanyie hivyo babu atii.
Kunywa uji na ufanye mazoezi.
Maskini babu wa watu[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
babu usifanye hivyoKumbe we ndo miss chagga
watu wazima hawatongozani siku hizi,unapima tu utu wa wema uliotendewa mwisho unamwachia aliamshe dude,me nimempa dada moja lifi siku tano,siku hiyo nimepitiliza mpaka hotelini kama masihara kaunta nimelipa 50,000 chumbani,bila hata kuomba,ile aibu ya utu niliomfanyia,kwahiyo acha uchoyo bwana hivyo ni vitu vya kupita tu.ha hhahaa hapana babu kanikosa hata stori hapati.. itakuwa dada wa uji kamdanganya aniwekee bili labda nitampa lakini hajawi kuomba wala kuonyesha dalili za kuomba
ha hahahaha mkuu umbo langu nitapoteza mvuto aiseeHesabu gharama mae ili kuona if ukinywa uji kwa kipindi kilichobaki itakuchukua muda gani kurudia hali ya kawaida... Cha kutosahau ni kwamba uji haucheleweshi matokeo chanya... Pia jitaidi sana kumrudishia babu furaha yake maana hawa watu wa umri wanajistukia kwa mengi usijechangia kupunguza siku zake za kuishi kikawaida.... Pia (nong'onezo) nahisi babu alikuwa anarusha mahindi kuelekea bandani sasa umemtoroka ktk mazingira tatanishi..huu ni utani my sister..... Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa
si kwa offer ya ujiwatu wazima hawatongozani siku hizi,unapima tu utu wa wema uliotendewa mwisho unamwachia aliamshe dude,me nimempa dada moja lifi siku tano,siku hiyo nimepitiliza mpaka hotelini kama masihara kaunta nimelipa 50,000 chumbani,bila hata kuomba,ile aibu ya utu niliomfanyia,kwahiyo acha uchoyo bwana hivyo ni vitu vya kupita tu.
Hata babu ningemfaidi, hahhahahahhahanaona ungefaidi asubuhi ulezi jioni mchele acha tu sema unene
nataka awe na furaha lakini kama anania ya kunimwagia uji mwingine me sitakiKwa kuwa unamuonea HURUMA Basi MUHURUMIE ZAIDI
Haaaa haaaa haaaa uwe unanisalimia sitakuchunia tena mjukuu wangubabu usifanye hivyo
ha hahahaha nasikia ukifanya na wazee na wewe unzaeeka ha hahahahhaHata babu ningemfaidi, hahhahahahhaha
sawa babu .. uniite kwa uchangamfu mjukuu wanguHaaaa haaaa haaaa uwe unanisalimia sitakuchunia tena mjukuu wangu
umeanzaPole babu amezoea tayari mpe nafasi akumwagie uji uji,
ha haha mkuu mwili huu jamaniKunywa uji Acha kumzingua babu
huyo ni kumfanyia manjonjo hadi ananipa nywila ya kadi ya benkiha hahahaha nasikia ukifanya na wazee na wewe unzaeeka ha hahahahha
ila sio zile za vitasa vya Meco
au ukawa na umbo kama TANGAWIZI.
Huyo ni babu kweli au au Mzee kijana??tatizo mazoezi me nimvivu sana , hapa nakazi ya kupunguza kilo nane zoezi naanza viungo vikiuma naacha
kwa hiyo mkuu alikuwa ananilisha ni none kabla siku ya mnada ... ha hahahaha jf bwanaHakunaga cha bure Dunia hii ya leo...babu kakujali kwa lishe ili akubomoe vizuri sasa wewe unaleta machejo.
Mpe mzee wa watu nae ajione mtu kwa hii Dunia.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]sawa babu .. uniite kwa uchangamfu mjukuu wangu