Babutale aeleza yake kuhusiana na amri ya mahakama ya kukamatwa na kumlipa sheikh

Babutale aeleza yake kuhusiana na amri ya mahakama ya kukamatwa na kumlipa sheikh

huyu kihiyo kweli,yaani kwenye kampuni jina lake lipo lakini kwenye kudaiwa hataki,kama aliamua kujiondoa si wangeenda kwa mwanasheria kabla brother hajafariki
Kwan huyo Abdu bonge marehem alikua anaswihi kuingia huo mkataba, na je huyo mzee ana Bussines Entity inayoeleweka yenye Tin Number na analipa kodi au ni mdau tu, pia sheria inasemaje kuhusu hisa endapo mwanahisa mmoja anakua na burden je linakua ni la kampuni au mtu binafsi?
 
Inadaiwa kampuni. Kampuni ni mali ya wakurugenzi wake. Yeye ni mmoja wa wakurugenzi/wamiliki. Kesi ipo wazi kabisa. Akubali wamalize nje ya mahakama ili apate nafuu lakini kulipa hatakwepa.
 
Inadaiwa kampuni. Kampuni ni mali ya wakurugenzi wake. Yeye ni mmoja wa wakurugenzi/wamiliki. Kesi ipo wazi kabisa. Akubali wamalize nje ya mahakama ili apate nafuu lakini kulipa hatakwepa.
wabongo wanajua maana ya kampuni sasa?
anajiita meneja ahahaa yaani hii story inanichekesha sana
 
Inadaiwa kampuni. Kampuni ni mali ya wakurugenzi wake. Yeye ni mmoja wa wakurugenzi/wamiliki. Kesi ipo wazi kabisa. Akubali wamalize nje ya mahakama ili apate nafuu lakini kulipa hatakwepa.
Inavyoonekana aliidharau hii kesi na hakujua kwamba ina matokeo mabaya kwake. Sasa mambo yameshaharibika ndio anataka kuyaunda. Lakini hili suala linaonyesha nyuma ya pazia Babutale haelewi masuala ya uendeshaji wa kampuni.
 
Atangaze kampuni kufilisika km home shopping....
 
Kwa faida yangu na wenzangu wasioijua lugha hii tusaidianeni wakuu, ukisema ''I know nothing'' kosa lake ni nini? na badala yake ilitakiwa asemaje? longi mapexa sanif Azulene
nimeuliza kwania njema wakuu, asanteni.
hapana sidhani kama amekosea mimi nilisema vile kwa kuwa sijui chochote kuhusu mkasa huo kama tu "babu tale" asivyoelewa chuchote kuhusu tuhuma zile
 
Amtafute mwanasheria amshauri nini cha kufanya, na aache kuropoka kwenye media anawapa faida wabaya wake wajiandae.
Mwanasheria wa ma celebrity yupo atamsaidia Albert msando hope will overcome this
 
1.Kwan huyo Abdu bonge marehem alikua anaswihi kuingia huo mkataba, na 2. je huyo mzee ana Bussines Entity inayoeleweka yenye Tin Number na analipa kodi au ni mdau tu, pia 3.sheria inasemaje kuhusu hisa endapo mwanahisa mmoja anakua na burden je linakua ni la kampuni au mtu binafsi?

1. Kwenye kampuni wanaoingia mikataba ni WAKUREGENZI (ma DIRECTOR) wa kampuni tu...hata share holders hawana hayo mamlaka labda kama ni director wa kampuni pia..hata hivyo mtu ambaye sio director anaweza kuingia katika mkataba kwa niaba ya kampuni kama kampuni itakuwa imempa mamlaka hayo kisheria. Vilevile mkataba halali wa kampuni lazima ushuhudiwe na DIRECTOR WAWILI AU director mmoja na company secretary na muhuri wa kampuni uwepo

2.Hata mtu binafsi anao uwezo wa kuingia mkataba na kampuni.

3.mwanahisa mambo yake binafsi kwa namna yoyote vile hayawezi kuingia kwa kampuni hiyo ni juu yake.

4. Inavyoonekana tip top ni kampuni na mzee alikuwa kaingia mkataba na kampuni ya tip top (naamini hivyo) na Tale ni mmoja Ma-director wa hiyo kampuni ...katika hali ya kawaida kampuni ndo ilipaswa kudaiwa na wala sio wanahisa au Directors moja kwa moja ambao wana kinga kisheria 'COOPERATE VEIL" ....lakin unaweza OMBA mahakama iwaondelee kinga (kwa sababu maalumu kama wamefanya udanganyifu kwa makusudi kabisa ili kujinufaisha kupitia mgongo wa kampuni) ma director na ma shareholders ya kutoshtakiwa......"LIFTING COOPERATE VEIL'' na hii naamini ndiyo walichofanya upande wa pili..........

5. Mlango wa kwanza wa kutokea ni kuangalia ''UHALALI WA HUO MKATABA'' hata hivi kwa sasa yaweza isiwe msaada sana kwa hatua kesi ilipofikia

6. Aangalie jinsi ya "kumpooza kiaina'' ustaadhi
 
ujanja ujanja mbele giza.....ajilini wataalam msiogope kuwalipa pesa mingi.......hakuna namna nyie si mliona madaftari mazito?.....sasa mnataka kazi zote mzifanye wenyewe kujiita meneja mwaweza umeneja sio jazi ya vihio/vilaza......kampuni ina wamiliki watatu mkataba umesainiwa na kampuni sheikh anaidai kampuni hamdai marehemu labda mniambie kampuni imekufa
 
Duh Babu Tale nae ni meneja alafu hata ABC's za kampuni hana kwa kifupi kwenye hii ishu Tale kanasa kwenye nyavu ni bora akubali wayamalize nje ya mahakama kama vipi amnunulie ustaadh kanzu mpya,msuli,makubasi na kofia pamoja na plate za biriani ili amtulize ndio ugonjwa wao huo.
 
Kwa uelewa wangu mdogo wa mtaani naamini iko hivi; inayodaiwa ni kampuni (tip top connection ) na sio babu tale direct (ingawa inamuhusu akiwa kama moja ya wakurugenzi)..

Now, kama ndio ningekuwa mimi ningefanya kama wanachofanya masupastaa huko 'duniani', unatangaza bankruptcy alafu unaomba kampuni ufutiwe madeni.. Sijui kisheria imekaaje but naona huko mbele hii loophole huwa inawaokoa watu..
 
Wasanii Ni wasanii tu anavoruka sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mali alizoacha marehemu walizitupa kwa kuwa mwenyewe amekufa?
Suala la marehemu kudaiwa ni la kawaida na ikithibitika ni kweli ndugu wa marehemu ndio wenye kustahili kulipa.
Sema hapo naye shehe kazidisha', kueneza elimu ya mungu ni wajibu kwa kila mwenye elimu kwa kuwa katia hilo mungu ndiye anayelipa.
Pamoja na hayo kwa kuwa shehe ni mcha mungu na aangalie pia upande wa pili. Wakae chini wayamalize tu.
 
Hekma inatakiwa itumike pande zote mbili sababu kama walifanya biashara ikastawi na mikataba wakaandikishiana sheikh ana haki ya kudai chake tale asimchukulie poa sheikh sababu kuna wabobezi wa sheria ndo wanamuongoza
 
t
Kwa faida yangu na wenzangu wasioijua lugha hii tusaidianeni wakuu, ukisema ''I know nothing'' kosa lake ni nini? na badala yake ilitakiwa asemaje? longi mapexa sanif Azulene
nimeuliza kwania njema wakuu, asanteni.
hakuna tatizo hapo, I know nothing has same meaning with I dont know, its just the matter of double negation but yupo sahihi kabisa, wenye matatizo ni hao wanaoshangaa na kujifanya wanajuaaa


ngaaachoooka
 
Ha ha tale hana uelewa wowote wa uendeshaji wa kampuni, naye anadhani hili ni zengwe tuu anaundiwa

1. Sidhani hata kama tip top kama kampuni imeshawahi kupeleka taarifa zake za fedha TRA, kulipa kodi na stahiki zote za serikali

2. Hivi hata annual returns wanapeleka BRELA?

3. Vipi kuhusu leseni ya biashara?

4. Vipi vibali vya kufanya kazi kutoka BASATA wanavyo?

Hakika siku watakapoanza kutumbuliwa hawa watu wataisoma namba, wanajisahau sana na kampuni zao ziko mdomoni tuu

Hawa ndio wale wanafanya kazi mapato yanaingia mfukoni
 
Back
Top Bottom