Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Kuwatusi upande wa pili kunalipa sanaMawaidha ni Biashara kumbe! Kweli biashara za dini zinalipa sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwatusi upande wa pili kunalipa sanaMawaidha ni Biashara kumbe! Kweli biashara za dini zinalipa sana...
Nadhani Tale kachanganya file [emoji23] angesema ilikuwa Partnership [emoji23] yenye partners wawili ... Hivyo kale ka General Rule kangeapply...Kwan huyo Abdu bonge marehem alikua anaswihi kuingia huo mkataba, na je huyo mzee ana Bussines Entity inayoeleweka yenye Tin Number na analipa kodi au ni mdau tu, pia sheria inasemaje kuhusu hisa endapo mwanahisa mmoja anakua na burden je linakua ni la kampuni au mtu binafsi?
Walisaini mkataba as Tip Top Connection ambayo katika jicho la sheria ni CompanyKwan huyo Abdu bonge marehem alikua anaswihi kuingia huo mkataba, na je huyo mzee ana Bussines Entity inayoeleweka yenye Tin Number na analipa kodi au ni mdau tu, pia sheria inasemaje kuhusu hisa endapo mwanahisa mmoja anakua na burden je linakua ni la kampuni au mtu binafsi?
Ila kodi hawataki kulipa ili hali wanaingiza pesa kwa mgongo wa diniMawaidha ni Biashara kumbe! Kweli biashara za dini zinalipa sana...
What if Abdu Bonge aliingia mikataba kwa kutumia jina na mhuri wa Tip Top Connection ambayo Babu Tale nae ni Director?Kama huyo Abdu Bonge aliingia mkataba na huyo shekhe bila kuihusisha tip top, inaamanisha kuwa BABU TALE hahusiki,kwani deni binafsi la director haliihusu kampuni, ila kama makubaliano yalikuwa ni kati ya shekhe na kampuni ya tip top, basi Shekhe alipwe fedha zake.
1.
4. Inavyoonekana tip top ni kampuni na mzee alikuwa kaingia mkataba na kampuni ya tip top (naamini hivyo) na Tale ni mmoja Ma-director wa hiyo kampuni ...katika hali ya kawaida kampuni ndo ilipaswa kudaiwa na wala sio wanahisa au Directors
Baadae aanzishe GSM? Bongo raha sana aisee!!!Atangaze kampuni kufilisika km home shopping....
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1]kama akishindwa kulipa amuuze tu domo! alipe deni![emoji28]
Inawezekana pia imesajiliwa kama PARTNERSHIP BUSINESS ambayo wadaiwa kisheria huwa ni wamiliki personally, na hutoa pesa yao ya mfukoni kulipa madeni ya biashara.
Babu Tale hawezi kujifanya hii kesi imemshtukiza, mpaka kufika hapo ilipo ali ignore court summons nyingi na kumpiga chenga ndefu Ustaadhi. Ndio maana anasema Mzee mwenyewe simjui. Mkurugenzi hujui watu wanaoidai kampuni? Reckless and costly mismanagement.
Yeye amekariri kuwa akishaenda tu kwa mganga tu shuhuli imeishaJinga kabisa hili sasa kama alitaka kujitoa kwenye hio kampuni si angejitoa? Iki abaki marehemu kaka yake na huyo iddi? Shida ni sheria kufanya vitu ki layman kuna cost sasa watu wamelift corporate veil unalalamika nini? Maana huyu jamaa kipindi kesi inaendelea alishawahi leta utetezi wa kijinga na majigambo
kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya ulimbo""Elimu tatizo kwa bwana Babu tale....[emoji23][emoji23][emoji23],anakubali yeye ni miongoni mwa wamiliki wa kampuni lakini anagoma kulipa ,amekufa kaka lakini kampuni iliyoshtakiwa IPO...hapo alipe tu,au akate rufaa