King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Uhuni ni kawaida mbona kina miraji walikuwa wahuni tu na ni wakishua ila daily wapo maskani na kina babuu kina ngwea kina langa, hilo sio swala jamaa Kasoma UCT capetown mambo ya media sijui unajua ada ya pale kaka..jamaa anajichanganya sana huwezi kumjua mimi nimekaa na cousin wake jozi ndio alienipa huo mkanda. Lini umemuona akiwa na maisha mabovu? Hata now anaumwa lkn kwake fresh na anapush ndinga kali, angekuwa hoehae matibabu ya cancer yangemtoa kwenye reli. Anyways sio ishu yakubishania bwana hayo maisha ya watu
Kaka voda ni nani hapo maana katajwa kwenye chorus mara nyingi"Wao wakimwaga ugali nasi tunamwaga mboga roho ngumu siyo uoga Amani kwa Kaka Voda" - Babuu - KIMBIA
"Amani kwa Kaka Voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea" - Jay Mo - JIPANGE
"Amani kwa Kaka Voda Milionea ,Mwambie mdogo wako aache Ushoga na Umbea " - Gangster
Kaka voda ni nani hapo maana katajwa kwenye chorus mara nyingi
Hizo ni nyimbo mbili tofauti, MOJA ya langa kileo, nyingine ya jay moeKaka voda ni nani hapo maana katajwa kwenye chorus mara nyingi
HIvi huyu jamaa kaka voda bado yupo? Eti mrangi Nakumbuka hizi lines zilileta beef kwa Langa na Mo, japo baadae Langa alichana pia huu King Kong III umeusahau kabla ya kifo chake"Wao wakimwaga ugali nasi tunamwaga mboga roho ngumu siyo uoga Amani kwa Kaka Voda" - Babuu - KIMBIA
"Amani kwa Kaka Voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea" - Jay Mo - JIPANGE
"Amani kwa Kaka Voda Milionea ,Mwambie mdogo wako aache Ushoga na Umbea " - Gangster
Hiyo ngoma inatwa KIFO,JELA AU TAASISI-LANGA KILEO(R I.P)HIvi huyu jamaa kaka voda bado yupo? Eti mrangi Nakumbuka hizi lines zilileta beef kwa Langa na Mo, japo baadae Langa alichana pia huu King Kong III umeusahau kabla ya kifo chake
"Amani kwako kaka Voda Milionea, Mwambie mdogo wako sili poda wala mmea"
Ngoja nikukatize mzee, kwa sasa jamaa anaumwa aligundulika na tatizo la Kansa, so futa hii kitu ya madawa kwenye kichwa chakohuyu jamaa kwa sasa anafanana na Geez Mabovu yanii ni kama mapacha kutokana na wote kutumia madawa kupitiliza