Baby Come Back.........

nimekuuliza unampenda nani kimapenzi zaidi
maana najua kwenye nyumba yako ndogo ndo ulichokifuata....

Kwa hiyo nataka useme jina langu au huyo dada wa huko nje(pearl)
afro denzi the one and the only
 
yani mmeshafunga ndoa humu humu, sasa hivi mnagombana........ninahakika mtaachana humuhumu.........na mm nipo nangoja kum-console Afrodenzi.

Kimpango mkakati zaidi..........a sholder to cry on.

niambie mm nitampelekea ujumbe Via face to face

Just to let ya know I am around.

Just in case ........si unajua. You come this way babe. No going back.
Nimeipenda staili yako,mi niliambiwa ninyamaze.
 
Kwenye appeal court ctakua na maneno mengi ni kumwaga evidence tu kwa muheshimiwa judge..!

hahahah lol
ur doing a great job there..
mmhhh via mobile siwezi hata kukugongea senks lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…