Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
kabisaaaaaaaaaaa Dena.....za asubuhi
Nzuri nzuri nipo nipo nipo sema kiongozi mgomo umekwishaaa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisaaaaaaaaaaa Dena.....za asubuhi
Babu tangu asubuhi nilikuwa sijacheka nimecheka mpaka nimezimia haya bwana. Lakini mgongee na B_E basi
Tangazo:
Namtafuta Smiles, dada yake Wiselady huku mlimani, ananung'unika kuwa ananihudumia PEKE YAKE. yeyote atakayemwona, ampe ujumbe huu maalumu kutoka kwa Mwenyekiti.
Asanteni.
There are currently 12 users browsing this thread. (8 members and 4 guests)
No 5, upo wakuchakachua?
long time no see you!!!!
Tatizo unacheka sana halafu unasahau kunigongea SENSKI KAMU BAKI!
you need to consult her protector first....!!Tangazo:
Namtafuta Smiles, dada yake Wiselady huku mlimani, ananung'unika kuwa ananihudumia PEKE YAKE. yeyote atakayemwona, ampe ujumbe huu maalumu kutoka kwa Mwenyekiti.
Asanteni.
Tatizo unacheka sana halafu unasahau kunigongea SENSKI KAMU BAKI!
Wivu ama?Halafu wewe usianze kuchakachua thread kaanzishe yako hukooo ya kumtafuta huyo Smiles wako
Aisee...nadhani hii thread ifungwe sasa.
Skulimeti umeongea ya kuongea. Pale kwa Leyla kuna bia zako 5 za baridi kwa hisani ya hii "baby come back" stuff.
I, babu, salute you skulimet, and this yuziful post!
you need to consult her protector first....!!
Yaani we acha tu nikugongee thanks ngapi Babu na wewe bwana si unazo kama nane hivi zangu bwana mie nimezibajeti zikifika 20 ndo mwisho
Umebagua watatu ni nani na nani?? Maana members ni nane wewe umeweka watano what do you mean??
Sasa jana ndiyo ikawaje? Au ndiyo mambo ya Baby Come Back? Pamoja na "Patrol" lakini hadi saa nne mlikuwa tayari mmeshaondoka? Anyways leo jioni nita-come back kwa Emmy!
Halafu bado watu wanabisha hakuna baby come back lol!! Wapi LuLu?
Pearl,
Baby Come Back - Forever Young! Wanna Be!
mm nipo bana niambie kwani kipi kimetokea?
mm nipo bana niambie kwani kipi kimetokea?
Habari yako mama....mm nipo bana niambie kwani kipi kimetokea?
mm nipo bana niambie kwani kipi kimetokea?