Baby Come Back.........

Oyaaaa...Teamo anawashauri mle na wake zenu kule....
 
hakutendwa na mtu nilimchukua mtu wake just kumuonyesha akisusa wenzie twala sasa nimemrudishia akiwa mbichi baada ya kumtumia vyakutosha.
Mlitenda AD?
Mbona analia....
 
Naona baby come back imefika kwenyewei!!


:closed_2:
 
hakutendwa na mtu nilimchukua mtu wake just kumuonyesha akisusa wenzie twala sasa nimemrudishia akiwa mbichi baada ya kumtumia vyakutosha.

You mean wet or fresh....
 
hakutendwa na mtu nilimchukua mtu wake just kumuonyesha akisusa wenzie twala sasa nimemrudishia akiwa mbichi baada ya kumtumia vyakutosha.

Hivi ulinitumia au tulitumiana??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…