Hivi ile cocktail ina apply??
ipi hii................"Floccinaucinihilipilification"
au?
Hivi ile cocktail ina apply??
ipi hii................"Floccinaucinihilipilification"
au?
hahahahha lol
ka kuna cocktail ya jina hilo
mmmhhh mie ntainusa. ntaivuta ntailamba halafu ndo naiweka mdomoni taaraatibu..
hahah lol
Sina raha, sina raha eheee naumia na mawazo kama haunipendi jua unipendi haiwezekani wee daily unazingua habari yake Teamo, gy, kIMEY habari ya Al-batar
Yeah :: Na huwa hilo jina linanikumbusha hii nyimbo:: Katika ile Bajaj yangu nilikuwa na-rewind mara mia kwa siku!
YouTube - lulu
U see the best way kumfuta mtu machozi ni kumpa hii cocktail...............
I'm in love with machozi
Wondering umejuaje hizi nyimbo za kwetu...
na bado nimekwambia mpaka ukaniombe msamaha kwa mama we si ulijifanya bby cme bak?mwambie sasa AD ukweli
hivi si kuna mtu anakuita baba watoto hapo huu?
mmhh kuna mtu hapa mwenye guts ambae anaweza niambia huo ukweli??
au wote mmeamua kujificha..
mmhh Pearl niambie tu dear...
Hafanani nasi ujue...
mumeo karudi hme na kusema bby cme bak
hiyo si alikuwa ananiambie mie??
Au nimechemsha?
mmmhh mimi bado thijakupata....
kithwahili anaongea..
kathaliwa na kuithi Bongo..
thatha thi mmoa wetu jamani..
au unahitaji nini ku qualify kuwa mmoja wetu??
Mmm ebu muulize tena uone maana bora ya kinyonga kuliko yeye ,mm kupenda tena basi jamani lol