hommie leo No Via mobile bana....At least hauposti Via Mobile babu anapata matumaini kuwa uko hai.
Salamu usalule hapo. Tunapatafutia sababu.
Safari ya USALULE WING!!
Kwa hiyo ile sentensi isemayo ukimpata infii anayejituma muhabarishe na mwenzio mnaiondoa?? basi mtabadilisha katiba yote maana mnashauriwa pia neva fall kwa infii sasa ukianza kumwonea wivu ina maana unafall
Mshiki inakuwaje we na Teamo mnanitenga pale kwa Mama Sande?MMmmmmmmmmmmmmmm! DEM/BUZI, ATM nk nk nk,
APPLIED
Kimey................nakupostia limbwata saa hivi.....via bluututhihommie leo No Via mobile bana....
hahaha can't wait to c you guys....yaani itakua kamwene kamwene.....unagage.....ndimnofu hela....makasi ......lol:welcome:
Kimey................nakupostia limbwata saa hivi.....via bluututhi
hujasema feelings zako bwana, mpenzi kakukosea kakutosa kwa mbwembwe zote kiasha baada ya muda we ndo unaanza kumfuta taratibu anakuja na Baby it was my mistake, shetwan alinipitia nisamehe come back..........utapata hisia gani?
ha ha ha ha!
FOLLOW YOUR HEART MAMA!hatuna principles za moja kwa moja kwenye hili swala
Kimey................nakupostia limbwata saa hivi.....via bluututhi
hujasema feelings zako bwana, mpenzi kakukosea kakutosa kwa mbwembwe zote kiasha baada ya muda we ndo unaanza kumfuta taratibu anakuja na Baby it was my mistake, shetwan alinipitia nisamehe come back..........utapata hisia gani?
Kuna vitu vingine shetani tunamtendea dhambi... Vingine tunamsingizia wallah.
Binafsi naona hilo ndo neno kubwaaaaaaa katika swala kama hili.
MJ1,
Mbona tumeshasema sana kuhusu hilo? Kama chemistry haiku-drop had kwenye negatives... na kulingana na hizo mbwembwe jamaa anaweza kupewa nafasi na wakati huo ukatupilia mbali mtu aliyekuokota wakati una agony ya kulimwa kibuti kwa mshindo mkuu zaidi ya land mine!! Hii kitu muiche tu.. Ni zaidi ya bangi!
Umekaa na mtu wako kwa muda, then out of blues akaamua kusitisha mahusiano yenu (wengine kwa mbwembwe/Ugomvi/maumivu) e.t.c but after a while anarudi na kukuomba mrudiane.....
Mshiki inakuwaje we na Teamo mnanitenga pale kwa Mama Sande?
Babu yupi unamwongelea wewe Rose?
Umeona LD,
Mimi nashindwa kuelewa kwa nini watu wanadhani kwamba wakati wote mtu anaweza kuufunga mlango wa moyo wake? Hizo kufuri zinanunuliwa wapi?
hahaha mi nalindwa mjukuu bana hilo lijitu litadunda tu hapa......lolKimey................nakupostia limbwata saa hivi.....via bluututhi
hujasema feelings zako bwana, mpenzi kakukosea kakutosa kwa mbwembwe zote kiasha baada ya muda we ndo unaanza kumfuta taratibu anakuja na Baby it was my mistake, shetwan alinipitia nisamehe come back..........utapata hisia gani?
Naona leo umeamua kukumbushia machungu...pole sana mshiki!!
Najiuliza tu....how do people feel when they are facing this kind of situation..
Umekaa na mtu wako kwa muda, then out of blues akaamua kusitisha mahusiano yenu (wengine kwa mbwembwe/Ugomvi/maumivu) e.t.c but after a while anarudi na kukuomba mrudiane..................
What kind of feelings do people get?? Imeshawahi kukutokea? How did you feel and what was your reaction??
Mapenzi ah......................
hahahaha ngoja tutaongea na Pope kuhusu huu mswaada!! lolHivi kumbe ulichukua katiba?
Katiba ya JMT inafanyiwa marekebisho seuze ya ISC.... Chama kimejaa makabaila lazima katiba ifanyiwe mabadiliko kwa maslahi ya babu.
mwenye mvi na mkongojo.....!!!!!!!