Sasa baby unamfananisha nanani kea mfano katika female stars icon wa hapo bongo!
Usimlinganishe baby na hivyo vitu ulivyovitajaviumbe wote katika uso wa dunia ni wazurii, "beauty in the eye of the beholder" changamoto huwa inaanza pale unapolinganisha viumbe hivyo
Mfano
1) baby kabae VS Umwiza Phiona
2) baby kabae VS Mange - aka dada wa taifa
3)
Mkurugenzi sio DCinasemekana alikataa udisiii,ikabidi apewe yule mwenzie wa kiume