Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

"Utakapo kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya hofu na mashaka n kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu❤, usiku kucha silali nakuota wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glasi....wallahi ntakunywa sumu juu yako"

Hapo barua imechorwa moyo na mkuki umepita katikati kuonyesaha namna gani mtu anaumia. Karatasi imepuliziwa marashi kama yote. Enzi zile hebu na zirudi basiii Shadeeya😀😂😀
Hapo ukipata zile karatasi za kuandikia barua za rangi ya light blue zilizoandikwa By Air unajiona lazima demu akubali ombi lako,Zile zama hazirudi tena.
 
"Utakapo kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya hofu na mashaka n kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu❤, usiku kucha silali nakuota wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glasi....wallahi ntakunywa sumu juu yako"

Hapo barua imechorwa moyo na mkuki umepita katikati kuonyesaha namna gani mtu anaumia. Karatasi imepuliziwa marashi kama yote. Enzi zile hebu na zirudi basiii Shadeeya😀😂😀
Ewaaa!! Halafu mwisho unamalizia "Wako akupendaye Sesten Zakazaka" 😀😀😀

Zile enzi haziezi rudi kwani kwa sasa kuna Utandawazi.
 
I
She is smart,lakini kwenye uzuri sio sana! Sema sijui akiwa 6*6 hua anakuaje aiseee!! Aweza kua ana maneno yaki jamaica sana,si kipindi akiwa channel 5,she used to call Sister Dread,na alikua na kipindi cha Reggae! Unganisha dot mwenyewe!!!

Sent using, Mashikoro Mageni
[Nimeshajua ameona hii post macho yake yameniambia kitu Mungu akubariki wewe dada.
 
Kwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo.
Ni mzuri
Ana exposure
C mjivuni
Social
Mambo Safi

Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake.

Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post angalau nipate faraja kwamba umenisoma.

Wako akupendae;

Superbug!
Babe Kabaye nayemjua mimi mwenye mvuto ni yule aliyekuwa East Africa Redio miaka ya 99-2000 huyu wa SASA ni BABE KABAYE TETEMA TIPWATIPWA, nakumbuka kibao flani hivi cha UB40 - The way you do the things you do alikipiga na alivyokuwa anaki introduce mpaka sasa bado kipo akilini mwangu.
 
Mkuu Kama kweli Kuna mtu anamfahamu amuambie basi aisee Yani dah I feel Kama ananidai hivi Yani hata Kama hajawahi kunikopesha chochote.


kama ulikuwa unaangalia DTV ama EATV kipindi hicho (sina hakika sana )... alikuwa anajulikana kama Sister Dread.. alikuwa ana endesha kipindi cha miziki ya vijana...alikuwa ana dreadlocks... sijui kama kazitoa... then inasemekana akatimkia ulaya ... karudi mama wa familia sasa anatumia jina halisi.... kimfananoi alikuwa anafanana na Fredinah a.k.a Rah P aliekuwa anaimba bongo flava
 
Yupo huyu mwingine wa TBC ktk kipindi cha aridhio na yeye si haba.
mkabesah___BjAPb0xHqtW___.jpeg
mkabesah___B-joLkenqpg___.jpeg
mkabesah___B-6eCGKnosv___.jpeg
mkabesah___B1-zWBKnEaC___.jpeg
mkabesah___BkCobAAnaN2___.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ewaaa!! Halafu mwisho unamalizia "Wako akupendaye Sesten Zakazaka" 😀😀😀

Zile enzi haziezi rudi kwani kwa sasa kuna Utandawazi.
Siku hizi vijana hawajui kubembeleza. Hawana yale maneno tuliyokua tunayaita "ya kumtoa nyoka pangoni". Maneno mataam sana ambayo binti hawezi kuchomoka

Sasa sijui siku hizi kama na Ke nao hawataki maneno matamu! Hebu tuambieni basi maneno ya kumtoa nyoka pangoni siku hizi hayawavutii tena ndio maana wanaume/vijana nao wameacha?
 
Siku hizi vijana hawajui kubembeleza. Hawana yale maneno tuliyokua tunayaita "ya kumtoa nyoka pangoni". Maneno mataam sana ambayo binti hawezi kuchomoka

Sasa sijui siku hizi kama na Ke nao hawataki maneno matamu! Hebu tuambieni basi maneno ya kumtoa nyoka pangoni siku hizi hayawavutii tena ndio maana wanaume/vijana nao wameacha?
Hahahaaa! siku hizi hela ndio inamtoa nyoka Pangoni na sio maneno.
 
kama ulikuwa unaangalia DTV ama EATV kipindi hicho (sina hakika sana )... alikuwa anajulikana kama Sister Dread.. alikuwa ana endesha kipindi cha miziki ya vijana...alikuwa ana dreadlocks... sijui kama kazitoa... then inasemekana akatimkia ulaya ... karudi mama wa familia sasa anatumia jina halisi.... kimfananoi alikuwa anafanana na Fredinah a.k.a Rah P aliekuwa anaimba bongo flava
Umenifurahisha Sana pia sikujua kwamba kumbe ni mdada legendary kitambo toka enzi za dtv day Safi Sana preseviarence and discipline vitakupaisha juu zaidi mama.
 
Back
Top Bottom