Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Heee!! 😳 Kiaje tena?U
Umekata ngebe za kina shaadeya walahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee!! 😳 Kiaje tena?U
Umekata ngebe za kina shaadeya walahi
Vyote ulivyotaja yupo vizuri isipokuwa hiyo ya kitandani anaijua mume wake mkuu namuheshimu Sana huyo mdada yaniiiii mpaka natoa machozi nikimuona na kujisemea one day nitaonana nae uso kwa uso.Mtoa mada fafanua basi uzuri wa huyo Kabae uko wapi? Sura, umbo, kitandani au ni kichwa sana! Mimi nipo Kisarawe kwa Mh. Kidoti........
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi vijana hawajui kubembeleza. Hawana yale maneno tuliyokua tunayaita "ya kumtoa nyoka pangoni". Maneno mataam sana ambayo binti hawezi kuchomoka
Sasa sijui siku hizi kama na Ke nao hawataki maneno matamu! Hebu tuambieni basi maneno ya kumtoa nyoka pangoni siku hizi hayawavutii tena ndio maana wanaume/vijana nao wameacha?
For sure, napenda pia huwa anatabasamu muda wote.
Khaaa serious ndio huyu?
Mtoa mada Mungu anakuona, acha kumchora huyu mama wa watu.
Uwiiii. Nadhani lugha gongana aisee.Picha za BK zimefanya uonekane mwenye wivu maana real ni cute Ila wivu wako kwake ndio maana umemponda .
Wazanzibar wako smart sana Kama huyu ni mzanzibar na marehemu Marin Hassan ni mzanzibar.Mkuu Ni Mzanzibar,amesoma soma nje kidogo.Ameolewa na ana watoto mapacha nadhani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alishachukua uraia wa tz ni mkenya yule.Inasemekana alikataa udisiii,ikabidi apewe yule mwenzie wa kiume
Si mtanzaniaInasemekana alikataa udisiii,ikabidi apewe yule mwenzie wa kiume
Mkenya yuleEti "Wako akupendae" Lol.
Umenikumbusha zile barua za zamani. [emoji28].
Any way Kila la kheri japo jipange kwani yule Mama ana akili kubwa.
Yule sio mtanzania,na wala hakuna mwenzake aliyepewa udisiii alipewa u MDC.Inasemekana alikataa udisiii,ikabidi apewe yule mwenzie wa kiume
Oooh. Sawa Mkuu.Mkenya yule