Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

Acha wivu mkuu hebu muangalie kwenye kipindi anavyoitendea haki taaluma yake angalia tabasamu lake angalia mwanya wake angalia dimpoz zake angalia miguu na vikuku vilimvyokaa kiufupi amekamilika.
Eheeee....
Sasa hapa nimekupata mkuu...
Tabasamu, mwanya, dimpoz, miguu, vikuku n.k
Hapa Umeongelea physic yake, na ndio vimekuvutia.
Suala la uzuri ni jingne.

Hata jiwe nami nikitaka kumuelezea
Nitasema ana kipara km boga, kichwa km korosho,
Kidevu km kipande cha kashata, n.k km vimenipendeza basi nami nitasema ni Handsome 😝😝😝mungu anisamehe.

Kwaio sidhani km physic ya mtu inatosha kusema ni mzuri..

Hilo la kua vzr upstairs siwezi sema chochote mana simjui, pengne ni kweli km wengine wanavyosema
 
Kwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo.
Ni mzuri
Ana exposure
Si mjivuni
Social
Mambo Safi

Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake.

Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post angalau nipate faraja kwamba umenisoma.

Wako akupendae;

Superbug!


Mkuu umetoka kukurupuka kunya, picha iko wapi?
 
Tuwekeeni kwanza CV yake maana yuko very blight huyu mama,, Hassan Ngoma akasomeee
 
Jf bhana yani kila mtu kwenu ni mbaya!

Wekeni picha zenu hapa tuwaone basi.

Wengine sura zenu mbaya utadhani ndama aliefia kichakani lkn nyuma ya keyboard mwajiona........acheni hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Em kuwa serious na ww.. Kuna nini pale!?
Huyu mwenzio corona ishaanza mtafuna macho.
 
She is smart,lakini kwenye uzuri sio sana! Sema sijui akiwa 6*6 hua anakuaje aiseee!! Aweza kua ana maneno yaki jamaica sana,si kipindi akiwa channel 5,she used to call Sister Dread,na alikua na kipindi cha Reggae! Unganisha dot mwenyewe!!!

Sent using, Mashikoro Mageni
“ohooo baby mi gonna cum mi gonna got a gwan,touch that rastaaa!!!! pull it nigga mi gonna cumm,yeah babylon yeeessss!!! say Hi to rasta ohhhh yessss!!!!”
🤣🤣🤣🤣
 
Aisee... nimejaribu kukupatia picha bwqna Superbag na nimehis ww nawe unaweza ukawa mdingi kwel kweliii.
Anyways, kipendacho roho, hula nyama mbichi
Hapana mkuu Mimi nipo kwenye 30+ na ni modern man nimezunguka nchi nyingi duniani ikiwemo kukaa Italia kwa miaka minne katika miji ya Naples Turin Genoa Milano na Roma kwahiyo nikisifia kitu ujue nimekilinganisha na mengi na vingi nilivyoviona duniani.
 
Hapana mkuu Mimi nipo kwenye 30+ na ni modern man nimezunguka nchi nyingi duniani ikiwemo kukaa Italia kwa miaka minne katika miji ya Naples Turin Genoa Milano na Roma kwahiyo nikisifia kitu ujue nimekilinganisha na mengi na vingi nilivyoviona duniani.
mkuu, tupe connection basi vijana wenzio
 
Back
Top Bottom