Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa serious ndio huyu?, Halaf anaitwa Baby??View attachment 1419479
Wale wa picha...
Huyu ndy alinganishwe na demu wangu kweli? Kamzidi umri tuView attachment 1419479
Wale wa picha...
Mimi ni mumewemods acheni watu waeleze hisia zao hasa kipindi hiki Cha korona mkifuta post zetu mnatusababishia depression.
Bado anaonekana ni bikraView attachment 1419479
Wale wa picha...
Natamani yule m p e n z i wako unayempa sifa nyuma ya keyboard kila leo angeona unavyomsarandia huyu Mama Wallah leo angekuacha. 😅😅😅Yes ukitoa mama yangu huyu baby ndio next to me! The most beautiful and most loved woman in my life.
Acha wivu mkuu hebu muangalie kwenye kipindi anavyoitendea haki taaluma yake angalia tabasamu lake angalia mwanya wake angalia dimpoz zake angalia miguu na vikuku vilimvyokaa kiufupi amekamilika.Khaaa serious ndio huyu?
Mtoa mada Mungu anakuona, acha kumchora huyu mama wa watu.
mtoa maada atakuwa kapewa limbwata sio bure,hamna kitu hapa.View attachment 1419479
Wale wa picha...
LOLNimeamini adui wa ke ni ke
"Utakapo kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya hofu na mashaka n kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu❤, usiku kucha silali nakuota wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glasi....wallahi ntakunywa sumu juu yako"Eti "Wako akupendae" Lol.
Umenikumbusha zile barua za zamani. 😅.
Any way Kila la kheri japo jipange kwani ana akili kubwa.
C mkenya huyu auInasemekana alikataa udisiii,ikabidi apewe yule mwenzie wa kiume