Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

images (2).jpeg

Wale wa picha...
 
Eti "Wako akupendae" Lol.

Umenikumbusha zile barua za zamani. 😅.

Any way Kila la kheri.
Yes ukitoa mama yangu huyu baby ndio next to me! The most beautiful and most loved woman in my life.
 
Eti "Wako akupendae" Lol.

Umenikumbusha zile barua za zamani. 😅.

Any way Kila la kheri.
Yes ukitoa mama yangu huyu baby ndio next to me! The most beautiful and most loved woman in my life.
 
Khaaa serious ndio huyu?
Mtoa mada Mungu anakuona, acha kumchora huyu mama wa watu.
Acha wivu mkuu hebu muangalie kwenye kipindi anavyoitendea haki taaluma yake angalia tabasamu lake angalia mwanya wake angalia dimpoz zake angalia miguu na vikuku vilimvyokaa kiufupi amekamilika.
 
She is smart,lakini kwenye uzuri sio sana! Sema sijui akiwa 6*6 hua anakuaje aiseee!! Aweza kua ana maneno yaki jamaica sana,si kipindi akiwa channel 5,she used to call Sister Dread,na alikua na kipindi cha Reggae! Unganisha dot mwenyewe!!!

Sent using, Mashikoro Mageni
 
Natamani yule m p e n z i wako unayempa sifa nyuma ya keyboard kila leo angeona unavyomsarandia huyu Mama Wallah leo angekuacha. 😅😅😅
Nimeamini adui wa ke ni ke
 
Eti "Wako akupendae" Lol.

Umenikumbusha zile barua za zamani. 😅.

Any way Kila la kheri japo jipange kwani ana akili kubwa.
"Utakapo kujua hali yangu mimi ni mzima wa afya hofu na mashaka n kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu❤, usiku kucha silali nakuota wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glasi....wallahi ntakunywa sumu juu yako"

Hapo barua imechorwa moyo na mkuki umepita katikati kuonyesaha namna gani mtu anaumia. Karatasi imepuliziwa marashi kama yote. Enzi zile hebu na zirudi basiii Shadeeya😀😂😀
 
Back
Top Bottom