Baby Kabae wa Clouds Tv tupa kule, Kissa Mwaipiana wa Channel ten ni shida!

Baby Kabae wa Clouds Tv tupa kule, Kissa Mwaipiana wa Channel ten ni shida!

Mkuu tuwekee na jina analotumia Instagram !
 
Na halafu tena ni kafupi?na wakati jamaa kasema ana kimo?au apo kweny kimo ndo kakusudia kaandunje?

Mbona ana kitambi
Ndugu, unavijua vitambi vya kina dada siku hizi au??
Sio andunje, nimemuona ktk Tv akiwa kasimama na watu wengine! Yupo kimo kamili cha wanawake.
Anatangazaga pia habari za biashara channel 10 mata moja moja, utapata reference ya ni andunje au la!
 
Au ni huyu
10168470_246953688825013_1718454545_n.jpg
Anajitahidi
 
Kuna uzi ulianzishwa jukwaa hili ukimfagilia kwa umbo la kiafrika mdada/ mshangazi Babe Kabae ambaye ni mtangazaji wa Clouds Tv. Sijawahi kumuona akiwa amesimama, ila hata akiwa amekaa unaona kwa macho jinsi alivyolijaza kochi kwa uvungu!

Leo wakati naangalia habari ya saa moja Channel Ten wamemuonyesha mdada Kissa Mwaipiana, akiripoti kutoka Keko, wamemuonyesha juu mpaka chini! Huyu dada ni shidah, ana shape, ana mguu, ana kimo, HANA KITAMBI, na tacko limechongeka na ana jicho! Kanifanya binafsi nimuone Babe Kabae wa kawaida sana!
Kanisisimua sana kwa umbo matata la kiafrika!!
African beauty rocks!
Alikuwa ana ripoti taarifa gani? Najua hukusikiliza potezea tu....
 
Mkuu hii picha umeitoa facebook
Huyo ni Salma Msangi, umrinushaenda huyo, alikuwa mtangazaji toka niko shule! Kazaa zaa sasa hivi kachoka, anajaribu kujiweka ktk ligi ya kina Shadee ila ndo hivyo tena, wenzake wako spidi kidogo! Ila enzi zake nae alikuwa ni shida!
 
Weka picha! Ni nani huyu? Mtangazaji? Au ndo pia Ufoo Saro?

mtangazaji huyo mkuu mvizie vizie ITV saa mbili utamuona mtamu huyo balaa. afu hawa watangazaji wa habari picha zao wanazificha sjui kwanini.
 
Kuna uzi ulianzishwa jukwaa hili ukimfagilia kwa umbo la kiafrika mdada/ mshangazi Babe Kabae ambaye ni mtangazaji wa Clouds Tv. Sijawahi kumuona akiwa amesimama, ila hata akiwa amekaa unaona kwa macho jinsi alivyolijaza kochi kwa uvungu!

Leo wakati naangalia habari ya saa moja Channel Ten wamemuonyesha mdada Kissa Mwaipiana, akiripoti kutoka Keko, wamemuonyesha juu mpaka chini! Huyu dada ni shidah, ana shape, ana mguu, ana kimo, HANA KITAMBI, na tacko limechongeka na ana jicho! Kanifanya binafsi nimuone Babe Kabae wa kawaida sana!
Kanisisimua sana kwa umbo matata la kiafrika!!
African beauty rocks!
Tacko ndio nini mkuu
 
Kuna uzi ulianzishwa jukwaa hili ukimfagilia kwa umbo la kiafrika mdada/ mshangazi Babe Kabae ambaye ni mtangazaji wa Clouds Tv. Sijawahi kumuona akiwa amesimama, ila hata akiwa amekaa unaona kwa macho jinsi alivyolijaza kochi kwa uvungu!

Leo wakati naangalia habari ya saa moja Channel Ten wamemuonyesha mdada Kissa Mwaipiana, akiripoti kutoka Keko, wamemuonyesha juu mpaka chini! Huyu dada ni shidah, ana shape, ana mguu, ana kimo, HANA KITAMBI, na tacko limechongeka na ana jicho! Kanifanya binafsi nimuone Babe Kabae wa kawaida sana!
Kanisisimua sana kwa umbo matata la kiafrika!!
African beauty rocks!
Hii ndio thread ya mwaka ya kibabaishaji..unatoaje habari kama hii bila picha?
 
Back
Top Bottom