sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Jamani, tuelimishane kidogo Chato ni Makazi ya Rais, sio Ikulu ndogo Ikulu ndogo ipo hapa Geita mjini na Chato ni miongoni mwa Wilaya zilizopo mkoani Geita.
Ninachokijua mimi ni kuwa Rais wa Tanzania alitambua mapema yakuwa akiwa ndani ya Ikulu kubwa hizi kwa maana ya DSM na Dodoma miingiliano inakuwa mikubwa sana kuepuka ilo ndio maana aliamua kwenda kufanyia kazi Wilayani Chato Nyumbani kwake na si Ikulu ndogo Rais wa Tanzania hayupo ikulu yupo nyumbani kwake.
Ni muhimu ili lieleweke vyema, Rais hayupo Ikulu ndogo wala Ikulu kubwa yupo nyumbani kwake akiendelea na shughuli zake za kulijenga Taifa.
Binafsi mimi sipingani na yeye kuwa kwake maana na yeye ni mtu ana roho, na hata angekuwa ndani ya hizo Ikulu bado yeye sio nesi kama ambavyo watu tunataka awe, yeye ni Rais angebakia hivi hivi tunavyo muona.
Angalizo, na ninachokipinga kama ni kweli kutokumuona akishirikiana na Marais wenzake katika vikao vya mikakati ya kujikinga na maradhi haya ilo mimi siungani naye kama anashindwa yeye kulingana na mazingira au miundo mbinu ya Chato haiko sawa angeteua wawakilishi
Ingawa siamini katika miundombinu maana nakumbuka hapo alipo mandenge yalisha wai kutua yametua.
KUHUSU NYINYI WATANZANGAZAJI KUITWA VIBARAKA!
KATIKA ili mimi sio Mtanzania niliyopo ng'ambo lazima tukubaliane kuwa mmekuwa mashabiki wa vitu vingi vya ovyo, kuliko enzi za yule bwana alie kula uteuzi na yule bwana sijui kama alishawai kuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi kwani aliweza kuwahoji vizuri sana pasipo kujali nafasi zao na hata alipoteuliwa MH Rais katika uapisho alisema kabisa kuwa huyo bwana alikuwa akiwahoji wenzake maswali magumu sasa amempa nafasi ili nae akahojiwe kama alivyokuwa akiwakaanga wenzake.
Sasa hivi kweli Hassani Ngoma kweli wewe ni msomi mwandishi unashindwa kujua kuwa Chato sio ikulu na haina Ikulu pale?
Nyinyi kama wanahabari mntakiwa kwenda mbali zaidi na kujifahamisha na kuwajuza watazamaji ni shughuli gani ambazo Rais wa nchi anaweza kuzifanya akiwa kwake na zipi hawezi, je sheria za nchi yetu zinamruhusu yeye kufanyia kazi nyumbani kwake?
Je, kwanini Rais, hashiriki vikao na marais wenzake?
Je, kamati iliyoundwa kuchunguza Mahabara inatakiwa kufanya kazi muda gani? je wakati kamati inafanya uchunguzi na tunajuzwa mahabara iko moja je zanzibari inapimia wapi mbona wao wanatangaza? wanapimia WAPI?
Leo namwona Hassan Ngoma anatetea Mh Spika kwa mambo ya hovyo anayo yasema hivi ni nani hasiyejua kuwa huyo Spika anafanya mambo ya ovyo? kimsingi nilitegemea hapo kipindi kinawaoji wanasheria manguri, maspika waliopita na kuoji pande zote, hivi mnajua kuwa Mwanahabari nguli anaweza kuwa chanzo cha habari kwa nini hamtaki jukum ilo?sio mnajadiri hata vitu vinavyokinzana katika taifa.
Nianzie hapo.
Ninachokijua mimi ni kuwa Rais wa Tanzania alitambua mapema yakuwa akiwa ndani ya Ikulu kubwa hizi kwa maana ya DSM na Dodoma miingiliano inakuwa mikubwa sana kuepuka ilo ndio maana aliamua kwenda kufanyia kazi Wilayani Chato Nyumbani kwake na si Ikulu ndogo Rais wa Tanzania hayupo ikulu yupo nyumbani kwake.
Ni muhimu ili lieleweke vyema, Rais hayupo Ikulu ndogo wala Ikulu kubwa yupo nyumbani kwake akiendelea na shughuli zake za kulijenga Taifa.
Binafsi mimi sipingani na yeye kuwa kwake maana na yeye ni mtu ana roho, na hata angekuwa ndani ya hizo Ikulu bado yeye sio nesi kama ambavyo watu tunataka awe, yeye ni Rais angebakia hivi hivi tunavyo muona.
Angalizo, na ninachokipinga kama ni kweli kutokumuona akishirikiana na Marais wenzake katika vikao vya mikakati ya kujikinga na maradhi haya ilo mimi siungani naye kama anashindwa yeye kulingana na mazingira au miundo mbinu ya Chato haiko sawa angeteua wawakilishi
Ingawa siamini katika miundombinu maana nakumbuka hapo alipo mandenge yalisha wai kutua yametua.
KUHUSU NYINYI WATANZANGAZAJI KUITWA VIBARAKA!
KATIKA ili mimi sio Mtanzania niliyopo ng'ambo lazima tukubaliane kuwa mmekuwa mashabiki wa vitu vingi vya ovyo, kuliko enzi za yule bwana alie kula uteuzi na yule bwana sijui kama alishawai kuwa mwanachama wa chama cha mapinduzi kwani aliweza kuwahoji vizuri sana pasipo kujali nafasi zao na hata alipoteuliwa MH Rais katika uapisho alisema kabisa kuwa huyo bwana alikuwa akiwahoji wenzake maswali magumu sasa amempa nafasi ili nae akahojiwe kama alivyokuwa akiwakaanga wenzake.
Sasa hivi kweli Hassani Ngoma kweli wewe ni msomi mwandishi unashindwa kujua kuwa Chato sio ikulu na haina Ikulu pale?
Nyinyi kama wanahabari mntakiwa kwenda mbali zaidi na kujifahamisha na kuwajuza watazamaji ni shughuli gani ambazo Rais wa nchi anaweza kuzifanya akiwa kwake na zipi hawezi, je sheria za nchi yetu zinamruhusu yeye kufanyia kazi nyumbani kwake?
Je, kwanini Rais, hashiriki vikao na marais wenzake?
Je, kamati iliyoundwa kuchunguza Mahabara inatakiwa kufanya kazi muda gani? je wakati kamati inafanya uchunguzi na tunajuzwa mahabara iko moja je zanzibari inapimia wapi mbona wao wanatangaza? wanapimia WAPI?
Leo namwona Hassan Ngoma anatetea Mh Spika kwa mambo ya hovyo anayo yasema hivi ni nani hasiyejua kuwa huyo Spika anafanya mambo ya ovyo? kimsingi nilitegemea hapo kipindi kinawaoji wanasheria manguri, maspika waliopita na kuoji pande zote, hivi mnajua kuwa Mwanahabari nguli anaweza kuwa chanzo cha habari kwa nini hamtaki jukum ilo?sio mnajadiri hata vitu vinavyokinzana katika taifa.
Nianzie hapo.